didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Shida nimeiona hata kwako wewe mwenyew hivyo sijabishaKama hujaona tatizo na shida kwa vijana wa Tanzania basi na wewe ni sehemu ya tatizo hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida nimeiona hata kwako wewe mwenyew hivyo sijabishaKama hujaona tatizo na shida kwa vijana wa Tanzania basi na wewe ni sehemu ya tatizo hilo
Hujaelewa nini?Sijaelewa...
Ni sawa tu kuwa na mtizamo huo. Akili yako ndo ilipoishia hapo.Shida nimeiona hata kwako wewe mwenyew hivyo sijabisha
Kwani huu uzi unahusu nini? Ukisikia mtu anaangalia sinema halafu hadi mwisho hajui stelingi ni yupi, ndio hii sasa
Hujaelewa nini?
Bahati mbaya sana ndo ukweli. Hata chizi akiwa mgonjwa hajijui. Ila usijali unaweza pona kwa kujifunza jinsi ya kuweka hoja zako vizuri na mifano halisi yenye utashi ambao mtu akipewa hatokubishia wala kudoubt pia jifunze research skills.Ni sawa tu kuwa na mtizamo huo. Akili yako ndo ilipoishia hapo.
Kweli kabisa. Na ni kweli pia kuwa hata chizi anaweza kumuita asiye chizi jina chizi.Bahati mbaya sana ndo ukweli. Hata chizi akiwa mgonjwa hajijui. Ila usijali unaweza pona kwa kujifunza jinsi ya kuweka hoja zako vizuri na mifano halisi yenye utashi ambao mtu akipewa hatokubishia wala kudoubt pia jifunze research skills.
Wana maneno Yao utasikia mama katufikia, ila nzi wa kijani noma sanaaaTuwape tu maua yao Mboga mboga FC a.k.a Nzi wa kijani.
Big time man...We are doomed....DF is wrong with our country..We are fucked up
Ni sahihi. Wanyarwanda vijana wao kushabikia vita peke yake haitoshi kuwa vijana bora. Labda mtoa mada angeonyesha post za maarifa, ujuzi, ugunduzi sawa.Unaweza ukawa una hoja ila ulivyowasilisha na mifano uliotumia inaonyesha jinsi gani wewe ni delusional. Kwan hamna vijana wa Tz wanaopost vitu vya maana? Yaan compare nchi kwa tweets kadhaa tena za watu wachache out of millions people. Research ya wapi hio? sampling technique ipi hio? Kama CCM wamedhalisha wajinga basi na ww ni kiongoz wa wajinga kwa the way ulivyojenga hoja yako na mifano yako.