Ukiondoa mapenzi, ngono, maisha ya wasanii, vijana wa Tanzania upuuzi mwingine wanaoweza kuujadili ni Mpira hasa Simba na Yanga.Ushahidi mwingine utauona kwenye vyombo vya habari hasa vya kielektroniki. Wakisema vipindi vya vijana automatically unapata picha ya maudhui ya namna gani? Wanajustify kwa kusema ndio soko linataka. Hata bila utafiti, unajiuliza kijana wa hata hapo Pwani tu hitaji lake kuu ni habari za Kendrick na Drake?
Mbaya zaidi, hamna unafuu wowote kwenye hivyo vipindi vinayoitwa vya watu wazima.
Na huu utapatikana wakipatana tu Wanajeshi wenye akili wakawaondoa hawa CCM na kulijenga hili taifa upya.Kinachohitajika ni Ukombozi wa Fikra!
We are fucked upNoma sana!
Acha kuhusianisha matukio tofauti....Ukitaka kujua future ya Taifa lolote angalia vijana wake! Fikra zao na priorities zao! Yaani wana maarifa sahihi?
Leo nimejaribu tu kufanya kautafiti kadogo kuhusu tofauti iliyopo baina ya vijana wa Tanzania na wa Rwanda ili niweze tu kubashiri Taifa gani lina vijana hodari wanaolifanya liwe juu ya Taifa lingine.
Kwenye utafiti wangu niliofanya kwenye mtandao wa X haya ndo mawazo na fikra za vijana wa Tanzania na watu wake,
View attachment 3256294
View attachment 3256296
View attachment 3256297
View attachment 3256298
View attachment 3256300
View attachment 3256301
View attachment 3256302
Alafu jionee mwenyewe mawazo na fikra za vijana wa Rwanda!
View attachment 3256304
View attachment 3256305
View attachment 3256306
View attachment 3256307
Conclusion niliyofikia ni kuwapongeza CCM kwa kutuangamizia Taifa letu kwa kutengeneza utamaduni uliowafanya vijana wasiwe na tamaduni ya kutafuta maarifa ya kuifanya nchi yao kuwa bora na ya mfano kwa maendeleo na kila kitu.
Kuna kipi cha maana umekiona kutoka kwa vijana wa Kitanzania?Acha kuhusianisha matukio tofauti....
Upande mmoja umechukua vijana ambao wako katika "forum" ya FIKRA....na upande mwingine umechukua forum ya UDAKU.....double standard hii ...kila nchi ina vijana wa maeneo yote hayo.....
Unataka utokee uasi na mapinduzi dhidi ya serikali halali ?!!Na huu utapatikana wakipatana tu Wanajeshi wenye akili wakawaondoa hawa CCM na kulijenga hili taifa upya.
Utatokea tu! Kwa mlipolufikisha hili Taifa?Unataka utokee uasi na mapinduzi dhidi ya serikali halali ?!!
Jidanganye.....
Hautotokea kamwe.....
Double standards na tuhuma zisizo mshiko ndio hulka yako....Kuna kipi cha maana umekiona kutoka kwa vijana wa Kitanzania?
Uchawa kama wako au?
Tuhuma zisizo na mshiko wakati umepewa ushahidi hapo.Double standards na tuhuma zisizo mshiko ndio hulka yako....
Vijana wa kitanzania ni sawa na vijana wengine popote tu pale....wako pia wazushi na wanaoichukia serikali yao bila sababu kama uichukiavyo wewe.....
Post hivyo vya maana wanavyopost watanzania kama sio mipira, mapenziUnaweza ukawa una hoja ila ulivyowasilisha na mifano uliotumia inaonyesha jinsi gani wewe ni delusional. Kwan hamna vijana wa Tz wanaopost vitu vya maana? Yaan compare nchi kwa tweets kadhaa tena za watu wachache out of millions people. Research ya wapi hio? sampling technique ipi hio? Kama CCM wamedhalisha wajinga basi na ww ni kiongoz wa wajinga kwa the way ulivyojenga hoja yako na mifano yako.
Mapinduzi ni njia murua sana ya kudeal na Watawala wajinga.Kuna wakati huwa nawaza namna ya kuitoa madarakani ccm kidemokrasia najua haiwezekani, yameshika hatamu...basi Mungu atusaidie ikitokea kwenye ule mkutano wao mkuu (sindio wanakutana humo wote hadi wastaafu) itokee gharika kama radi au tetemeko la ardhi tumalize huu ugomvi uliodumu kwa zaidi ya miaka 60...au mnasemaje wazalendo?!.
Tuzidishe maombi tu wenye uwezo wafanye maamuzi. Nchi hii ni upuuzi tu left, right and centre.Tumekuwa taifa la hovyo la wakata mauno uchawa kuendekeza upuz upuz tu
Wajing wajing ndy wanapewa kipaumbele
Ova