Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma eeeeeeehMchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde.
Halafu TFF, Serikali (hasa Wizara husika ya Michezo) BMT na Watu wa TAKUKURU hongereni sana kwa Kuuchekea huu Upuuzi unaofanywa wa Rushwa za waziwazi (Match Fixing) ambayo nina uhakika wa 100% kuwa mnaijua ila mnainyamazia kwakuwa 85% mpo katika payroll ya GSM.
Paul Nonga (Mshambuliaji Mwandamizi) wa Mbeya City FC nisalimie mno Mkeo (Shemeji) yangu Jacklyn Marandu kama bado hamjatemana (hamjaachana) ambaye ni nae ni mwana Yanga SC lia lia Mwenzako mwambie Masela wa Magomeni Mwembechai Jirani na kwa Hayati Sheikh Yahaya Hussein tunamsalimia na ukiweza ukimaliza Kuwalegezea Yanga SC Jumamosi kabla hujarejea Mbeya pitia hapa (pale) tukupe Zawadi zake kadhaa ukampelekee.
Ila nawashauri Wachezaji wa Mbeya City FC tafadhali hiyo Hoteli ya Kifahari mliyopangiwa na Yanga SC ni ya Kimataifa hivyo chonde chonde hakikisheni huko Vyooni mnakuacha kama mlivyokukuta halafu hayo Maparachichi yenu mljyotoka nayo Mbeya msije mkasahau mkiyala na Kushiba mkaanza Kuyapakazia katika hizo Kuta za Vyumba na Vioo.
Hizo Tv Screen zilizopo Ukutani tafadhali msije mkazinyofoa na Kuondoka nazo halafu hizo Feni za Pangaboi ni za Kuwapepeeni tu mkishashiba na Kuvimbiwa hayo Maparachichi yenu mliyokuja nayo kutoka Mbeya na si za Kubembea kwani kwa mlivyokomaa kwa kula Viazi Mbatata mtazivunja na mtadaiwa.
TFF kama vipi wapeni tu Yanga SC Kombe.
Kama unaushahidi si uuwasilishe ofisi yeyote ya karibu ya TAKUKURU ili waanze kazi ya kusukuma ndani wote, kama ushahidi huna nawe umesimuliwa huku nikuchafuana ipo siku nawe utachafuliwa hivi hivi.Mchezaji (Mshambuliaji) Paul Nonga (Mwalimu Kitaaluma) na mwana Yanga SC Kindakindaki ambaye uliifunga Simba SC Mbeya hadi Kushangilia kwa Kuizunguka Mbeya yote hongera mno kwa kuwa Mratibu Mkuu wa Kuchukua Pesa za GSM Yanga SC na kuwapa Wachezaji wenzako wa Mbeya City FC ili Jumamosi mlegeze na Washinde.
Halafu TFF, Serikali (hasa Wizara husika ya Michezo) BMT na Watu wa TAKUKURU hongereni sana kwa Kuuchekea huu Upuuzi unaofanywa wa Rushwa za waziwazi (Match Fixing) ambayo nina uhakika wa 100% kuwa mnaijua ila mnainyamazia kwakuwa 85% mpo katika payroll ya GSM.
Paul Nonga (Mshambuliaji Mwandamizi) wa Mbeya City FC nisalimie mno Mkeo (Shemeji) yangu Jacklyn Marandu kama bado hamjatemana (hamjaachana) ambaye ni nae ni mwana Yanga SC lia lia Mwenzako mwambie Masela wa Magomeni Mwembechai Jirani na kwa Hayati Sheikh Yahaya Hussein tunamsalimia na ukiweza ukimaliza Kuwalegezea Yanga SC Jumamosi kabla hujarejea Mbeya pitia hapa (pale) tukupe Zawadi zake kadhaa ukampelekee.
Ila nawashauri Wachezaji wa Mbeya City FC tafadhali hiyo Hoteli ya Kifahari mliyopangiwa na Yanga SC ni ya Kimataifa hivyo chonde chonde hakikisheni huko Vyooni mnakuacha kama mlivyokukuta halafu hayo Maparachichi yenu mljyotoka nayo Mbeya msije mkasahau mkiyala na Kushiba mkaanza Kuyapakazia katika hizo Kuta za Vyumba na Vioo.
Hizo Tv Screen zilizopo Ukutani tafadhali msije mkazinyofoa na Kuondoka nazo halafu hizo Feni za Pangaboi ni za Kuwapepeeni tu mkishashiba na Kuvimbiwa hayo Maparachichi yenu mliyokuja nayo kutoka Mbeya na si za Kubembea kwani kwa mlivyokomaa kwa kula Viazi Mbatata mtazivunja na mtadaiwa.
TFF kama vipi wapeni tu Yanga SC Kombe.
Akishiba kande na uji anakuja kutype ugoroAlieandika huu izi hana akili