Hongereni sana Kitengo cha CMI JWTZ na wale TISS mliokuwa 'penetrated' JWTZ kwa Kazi nzuri ya CDF mpya Jenerali Mkunda

Hongereni sana Kitengo cha CMI JWTZ na wale TISS mliokuwa 'penetrated' JWTZ kwa Kazi nzuri ya CDF mpya Jenerali Mkunda

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
 
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
Hongera kwake.
 
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
Unasifia mtu Kwa tetesi?
 
Unasifia mtu Kwa tetesi?
Yani utadhani anamjua, mtu hujulikani hata na mwenyekiti wa serikali za Mtata unakuja huku kutoa sifa za mkuu wa majeshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]shida ya jamiiforum kila mtu mjuaji hatutaki kuweka wazi uhalisia wa maisha yetu, chaajabu hapo ana jero ya mihogo tu mfukoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
Niliwahi kuona moja ya matamanio yako CDF awe Mkatoliki. Vipi matamanio hayo yamejibiwa?
 
Yani utadhani anamjua, mtu hujulikani hata na mwenyekiti wa serikali za Mtata unakuja huku kutoa sifa za mkuu wa majeshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]shida ya jamiiforum kila mtu mjuaji hatutaki kuweka wazi uhalisia wa maisha yetu, chaajabu hapo ana jero ya mihogo tu mfukoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio wale utakuta wanamu wish Cristiano Ronaldo au Messi happy birthday kwenye WhatsApp status zao utadhani hao jamaa wanaziona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
Kwel kbs
 
Yani utadhani anamjua, mtu hujulikani hata na mwenyekiti wa serikali za Mtata unakuja huku kutoa sifa za mkuu wa majeshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]shida ya jamiiforum kila mtu mjuaji hatutaki kuweka wazi uhalisia wa maisha yetu, chaajabu hapo ana jero ya mihogo tu mfukoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile ID yako ya 'Verified' mbona huwa ( hupendi ) Kuitumia ukiwa unajibizana nami hapa? au ile Kura 1 ya Kawe inakutesa?
 
Back
Top Bottom