GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Mimi ndiyo GENTAMYCINE.Shida ya wabongo mtu yoyote akipata uteuzi kila mmoja atajifanya anamjua.
Vitu vingine unakausha tu maisha yaende.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE.Shida ya wabongo mtu yoyote akipata uteuzi kila mmoja atajifanya anamjua.
Vitu vingine unakausha tu maisha yaende.
Matamanio yaliyojibiwa ni yale ya 'Kukukaza' tu.Niliwahi kuona moja ya matamanio yako CDF awe Mkatoliki. Vipi matamanio hayo yamejibiwa?
Mbona Wewe unavyojipendekeza Kwangu Kutwa tu husemi na wala hujishangai?Je anakujua?
Mi kujipendekeza kwa watu wa juu,siwezagi na siji kuweza.
Mwambie Kwanza awajibuni kwanini alipotia Nia ya kutaka Ubunge Kawe aliambulia Kura Moja tu na sasa hana Ofisi pia?Mkuu Genta unaitwa Mpwayungu huku[emoji23]
Ni Bahati Mbaya sana kuwa nimekuuliza kwa Wema lakini umenitusi. Hujui tu kuwa Mimi Ni miongoni mwa wanaomini kuwa Wakatoliki wengi Ni Viongozi wazuri na Wenye maono. Kambarage na Magufuli Kwa uchache kuwataja.Matamanio yaliyojibiwa ni yale ya 'Kukukaza' tu.
Wacha uongo weye... Sanga sanga ya wapi.. Sanga sanaga huwezi fikia cheo hiyo unataka apindue nchi...Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.
Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.
Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
Oyaaa acha basi 😂🤣😂Ile ID yako ya 'Verified' mbona huwa ( hupendi ) Kuitumia ukiwa unajibizana nami hapa? au ile Kura 1 ya Kawe inakutesa?
Pascal Mayalla unaitwa hukuIle ID yako ya 'Verified' mbona huwa ( hupendi ) Kuitumia ukiwa unajibizana nami hapa? au ile Kura 1 ya Kawe inakutesa?
Yaani ukiona unasifiwa jf na ulikua katika Tena watu wanakushabikia basi jua huna chako. Jf fitna sana ule Uzi uliharibu sana CV za watu.Luteni Jenerali Mkingule hana hamu na mitandao...watu wamemsifia humu kwenye uzi fulani mwisho wa siku haamani macho yake
Tatizo umri baba. Pia kiutendaji CDF akistaafu inatakiwa COS nae ataafu ili CDF mpya apige kazi na COS wakeLuteni Jenerali Mkingule hana hamu na mitandao...watu wamemsifia humu kwenye uzi fulani mwisho wa siku haamani macho yake
Inaelekea wewe ni mdini sana? Jina tu - linakunyima raha.Niliwahi kuona moja ya matamanio yako CDF awe Mkatoliki. Vipi matamanio hayo yamejibiwa?
Nawe ilikuwaje ukawa Mpumbavu?ilikuaje ukasoma SAUT?
🤣🤣🤣Heri wewe hujasemaShida ya wabongo mtu yoyote akipata uteuzi kila mmoja atajifanya anamjua.
Vitu vingine unakausha tu maisha yaende.
[emoji1]You have nothing to do with anafaa au hastahili, usijipe umuhimu.