Hongereni sana Kitengo cha CMI JWTZ na wale TISS mliokuwa 'penetrated' JWTZ kwa Kazi nzuri ya CDF mpya Jenerali Mkunda

Hongereni sana Kitengo cha CMI JWTZ na wale TISS mliokuwa 'penetrated' JWTZ kwa Kazi nzuri ya CDF mpya Jenerali Mkunda

Kitengo alichotoka akiwa Meja Jenerali halina ubishi kuwa anafaa na anastahili kuwa Mkuu mpya wa Majeshi nchini Tanzania.

Na hata Kimuonekano tu anaonekana ni Mtu wa Kazi Kweli na nasikia ( naendelea Kuthibitisha bado ) kuwa anatoka katika Kikosi Maalum 'Wazee wa Sanga Sanga ' hali iliyonifanya nifurahi zaidi.

Mwisho nitoe pongezi zangu Kubwa kwa outgoing CDF General Mabeyo kwani pamoja na kwamba Watu wa CMI JWTZ na wale wa TISS kufanya Kazi zao Kiuweledi, ila huu Uteuzi pia una baraka zake na Ushawishi wake kwa 85%.
Wacha uongo weye... Sanga sanga ya wapi.. Sanga sanaga huwezi fikia cheo hiyo unataka apindue nchi...
 
Watanzania mnapenda Sana kumsifia MTU akiteuliwa na rais hata kabla ya kuona matokeo katika hicho cheo kipya.
MTU anaweza akamudu Sana nafasi ndogo lkn kubwa ikamshinda.
Naamini Leo hii akiteuliwa mpwayungu village kuwa mkuu wa Sungusungu kata ya 14 Temeke Kuna watu watasifia huo uteuzi lkn pia kumsifia mteule kwamba nafasi anaimudu.
 
Back
Top Bottom