Hongereni sana Law School of Tanzania kwa kulinda ubora wa fani ya sheria hapa Nchini

Kiboko yao ni chama chetu
 
If this is the case, kwamba kabla ya mtu kwenda Law School sharti apite law firm ili kujifunza kwa vitendo, basi waweke hiyo instruction kwenye form zao za kujiunga, mwanafunzi anapojiunga awe na barua inayomtambulisha alipita firm fulani.

Japo najua, hapo Law School baada ya masomo ya theory kwisha, mwanafunzi hutakiwa kwenda field, atapita law firm then mahakamani, au vice versa, sasa kama huo muda wa field ni mdogo, basi wauongeze ili kuondoa hizo failures nyingi kupita kiasi.
 
Haha nimekukamata vizuri popoma wewe.

Narudia tena kukusahihisha; Law school inatoa mawakili sio wanasheria.

Mwanasheria na wakili ni watu wawili tofauti kabisa ila layman kama wewe hawezi kuelewa kamwe.
Mi nafkiri Law school haitoi mawakili tu, but ili uwe wakili lazima upitie law school, ndio maana sasa hiv hata ili uwe jaji au hakimu lazma uwe umepitia law school

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
"Smart ones" wapi? sio wewe unaedai huku kila siku taifa halina mawakili competent aina ya kina Murtaza Lakha?

Mbona hauna consistence Mayalla?!

Nakuona wewe "wakili msomi" ndie unatuletea siasa kwenye haya mambo, msitetee huu ujinga unaofanyika huko Law School kisa nyie mmefaulu, simply, usiwe selfish.
 
Kuwa introvert ndio kunamfanya mtu ashindwe hata kujitambulisha mbele ya darasa ? ,Mimi ni introvert mbona na nina rafiki introvert wengi tu ila wana confidence ,

Pia Mimi ninawajua watu kama watatu pia hawajui kuandika barua yoyote ile,Mkuu hii mada ni pana sana Boss wangu, lazima ukubali kutokana na mifano halisi hiyo niliyokupa kwamba kuna watu Elimu haijawasaidia chochote, au ngoja nikuongeze mfano mwingine

Siku yangu ya kwanza kuingia darasani chuo kikuu alikuja madam fulani na akatutaka kila mtu asimame na kujitambulisha (unasimama hapo hapo ulipokaa) unatakiwa useme wewe ni nani na umetokea wapi,kuna watu wengi walishindwa

Nahitimisha kwa kumquote lecturer mmoja alisema "darasa hili hamjawahi ku present na watu wengi hawajui presentation"
 
Sawa mkuu naona km hatuelewani sababu Chuo ulisoma sicho nilichosoma utofauti unaanzia hapo Chuo chenu kinazalisha vilaza wengi ambao hawapo competent

Naweka kalamu chini...
 
Kufeli Kwa wanafunzi ndio mafanikio ya hiyo Taasisi?
 
WANAFUNZI VILAZA MKUU
 
Sasa kama mtu ana akili ya kufaulu hayo madude unataka afelishwe?
 
Idadi ya waliofaulu itapatikana baada ya supplementary kufanyika, so namaanisha itakuwa ni zaidi ya 26, hao 26 ni walio clear tu, binafsi sijaona kitu cha kushangaza hapo kwenye hayo matokeo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sio kwamba hao 26 ndo wamefaulu bila sap?? Yan wame score kuanzia “C”

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wape Elimu hao hawajui hata Utaratibu wa Mtu kuwa Wakili Law school inapokea Wanafunzi kutoka Vyuo Tatizo lipo kwenye Vyuo na Uwezo wa Wanafunzi kiakili kwani wengi wao wananunuliwa Ufaulu kwa kuhonga Fedha na Ngono .Wanafunzi wetu wamezoea kununua Mitihani kitu ambacho hakipo Law school
 
SAHIHI MKUU Degree nyingi ni MAGUMASHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…