Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Seriously binti wa kisukuma under 30, awe na kazi inayoeleweka asiwe na mtoto na anifuate pm serious husband. Usijaribu if yr not serious.
 
Wasukuma tupo matabaka mengi sana.
Mabinti wa kisukuma tabaka la wanyantunzu (wale weupee) wana nyodo sana na mara zote hawathamini utafutaji wa mwanaume. Ikitokea umeteteleka kidogo kiuchumi lazima akukimbie.
Halafu niwepesi sana kulubuniwa na mwanaume hata kama yupo kwenye ndoa na mna watoto anaweza akakutoroka na kwenda kuolewa kwingine!
 
Labda wa zaman, lakin hawa wa sasa wanamuita Magufuli Braza / Anko, hawana sifa hizo .....!!

Samahan lakini ....!!
 
Toa na mtazamo wa wanaume wa kisukuma nao tujue tabia zao
Wanaume wa Kisukuma ni mashababi hasaa tupo vizuri kwenye sekta zote inapokuja kwenye suala zima la mahusiano. Yaani kuanzia kupenda, caring hadi ukweni, kujituma kitandani hadi utafutaji wa mali.
Hatuli chips na ukipika ubwabwa lazima uweke kijiugali pembeni kukamilisha mlo kamili!
Kutokana na kuwa marijali sana, kiukweli kuna wakati huwa tunalazimika kuoa mke zaidi ya mmoja!!!
Ukiolewa na msukuma usiwe na wivu na uchoyo kwetu mwiko ndiyo maana kaya nyingi za kisukuma ni kawaida sana kukuta watu zaidi ya 10 wengi wakiwa ndugu jamaa na marafiki!!
Wasukuma wengi tunakwepa kuoa wanawake kutoka kabila hizi; wahaya, wachagga, wapale na wagogo make asili yenu sio watu wa "kutoa ni moyo"
 
Wanaume wa Kisukuma ni mashababi hasaa tupo vizuri kwenye sekta zote inapokuja kwenye suala zima la mahusiano. Yaani kuanzia kupenda, caring hadi ukweni, kujituma kitandani hadi utafutaji wa mali.
Hatuli chips na ukipika ubwabwa lazima uweke kijiugali pembeni kukamilisha mlo kamili!
Kutokana na kuwa marijali sana, kiukweli kuna wakati huwa tunalazimika kuoa mke zaidi ya mmoja!!!
Ukiolewa na msukuma usiwe na wivu na uchoyo kwetu mwiko ndiyo maana kaya nyingi za kisukuma ni kawaida sana kukuta watu zaidi ya 10 wengi wakiwa ndugu jamaa na marafiki!!
Wasukuma wengi tunakwepa kuoa wanawake kutoka kabila hizi; wahaya, wachagga, wapale na wagogo make asili yenu sio watu wa "kutoa ni moyo"
UWIIII WANAUME WA KISUKUMA KITANDANI NI OVYO KABISA, hawana hata muda wa kumuandaa mama kimahaba, yaani wao wanarukia tu, puuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom