Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Basi poa. Makabila mengine ambayo mnataka "shout-outs" pia, karibuni PM tupeane terms & conditions.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangoni hatutairi wanawake wala makabila ya kusini hayatairi wanawake ongea vitu unavyovijua sio uropokajiSio kweli kabisa labda hao wazazi wao walikulia ama kuzaliwa Singida/Dodoma/Mara hivyo wakajikuta wamefuata mila za wenyeji wa huko!
Wasukuma wote hatuna utaratibu huo ndugu!
Ndiyo maana wanawake wa kisukuma ni watulivu kwa ndoa zao coz ni rahisi kumkojoza ke mwenye "kinaniliu" kuliko aliyekeketwa!
Huoni wagogo, warangi,wanyaturu,wangoni,wakurya, wamatumbi, wayao, wamwera na akina njomba chilumbile na mulungu chingile mnyavu chakumemena hawana utulivu kwa ndoa zao coz wanatafuta kukojozwa!
Nashangaa Gadner alimkojoza Jde....!
Ukerewe kuna wakerewe mkuuUkerewe kuna wajita.
Hakuna ukeketaji usukumani mkuuPicha tafadhali
Hao siyo wasukuma labda wakurya mkuuNimekutana na wa 3 wote wamekeketwa.
Sio kwa wahaya mkuu?Nasikiaga mvua inanyesha sana kwa hao wanawake wa Kisukuma.
Huu ni uongo unaongoza East Africa we jamaaWengi wao wameondolewa kiharage
SijakuelewaHuu ni uongo unaongoza East Africa we jamaa
Mmmh huyo uliekutana nae wa wapi!! Kiukweli wasukuma wanapendwa na wasichana wa makabila mengine kwa upole na kujali kwao, pia they know how to climb up with ladies though some may not be good, but many of them are good and they've big*** for ladies.UWIIII WANAUME WA KISUKUMA KITANDANI NI OVYO KABISA, hawana hata muda wa kumuandaa mama kimahaba, yaani wao wanarukia tu, puuuuuuuuuuuuuuuuuu
Yaani East Africa nzima hakujawahi kutokea uongo kama huo.usukumani huku hakuna ukeketaji kwa msukuma,labda umekutana na kabila jingine ila liko usukumani lakini siyo wasukumaSijakuelewa
Wandebha ghete ahenahoTeh teh teh nashikaga mnyha wane!!
Wamekufanyaje mkuu?Wasukumaa sina ata amu nao...![emoji23] [emoji23]
Siwezi kuelezea hapa.isije ikawa muhusika yupo umu..!Wamekufanyaje mkuu?
Dah...poa mkuuSiwezi kuelezea hapa.isije ikawa muhusika yupo umu..!
Hao wanaowakalia wanaume kwa madawa ni wasukuma wa wapi kiongozi?Kwa maushepu ni kweli pia asililimia kubwa ya wasukuma wana usafiri ni balaa ila wanapenda kuwakalia wanaume( ht kwa kutumia mitishamba)