nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,673
- 5,402
Yawezekana, ila wasukuma hatuna mila wala tamaduni za kutahiriMkuu wote ni wasukuma,wawili ni wa Igoma na mwingine ni wa Pasiansi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana, ila wasukuma hatuna mila wala tamaduni za kutahiriMkuu wote ni wasukuma,wawili ni wa Igoma na mwingine ni wa Pasiansi
Aaaaa sio kweli mkuu hatupo hivyo labda ulikutana na mchunga ng'ombe!!UWIIII WANAUME WA KISUKUMA KITANDANI NI OVYO KABISA, hawana hata muda wa kumuandaa mama kimahaba, yaani wao wanarukia tu, puuuuuuuuuuuuuuuuuu
sawa mkuuYawezekana, ila wasukuma hatuna mila wala tamaduni za kutahiri
hahahaha umenichekesha Nkoi, mimba mnatandika lakini tatizo ni kwamba hawajui mahaba, hawajui kumchezea mwanamke hadi akapata raha, wao wanaendekeza penetration sex utasikia "HEBU MJE TULALE HUKU" hahahahahah ukitaka kujua mengi ingia inbox (pm) tuongee mengi maamiAaaaa sio kweli mkuu hatupo hivyo labda ulikutana na mchunga ng'ombe!!
Wanaume wa kisukuma ni mashababi haswaa tunaongoza kwa kuwatundika mimba kama ilivyo avatar yako!!!
Na hawa wanawake wa "WAJITA" Tabia zao zikoje mana nina kaka angu anataka kutuletea MJITA.Ukerewe kuna wajita.
Sio kweli kabisa labda hao wazazi wao walikulia ama kuzaliwa Singida/Dodoma/Mara hivyo wakajikuta wamefuata mila za wenyeji wa huko!Mkuu wote ni wasukuma,wawili ni wa Igoma na mwingine ni wa Pasiansi
Teh teh teh nashikaga mnyha wane!!hahahaha umenichekesha Nkoi, mimba mnatandika lakini tatizo ni kwamba hawajui mahaba, hawajui kumchezea mwanamke hadi akapata raha, wao wanaendekeza penetration sex utasikia "HEBU MJE TULALE HUKU" hahahahahah ukitaka kujua mengi ingia inbox (pm) tuongee mengi maami
Ndo Leo nasikia,mbona hili kabila hawana utaratibu wa kukeketa.Wengi wao wameondolewa kiharage
Asante kwa kunielimisha!Ukerewe sio kwa wajita ndugu, wajita ni wenyeji wa mkoa wa Mara, Musoma sehemu inaitwa Majita.
Binafsi siwafahamu vizuriNa hawa wanawake wa "WAJITA" Tabia zao zikoje mana nina kaka angu anataka kutuletea MJITA.
Binafsi siwafahamu vizuriNa hawa wanawake wa "WAJITA" Tabia zao zikoje mana nina kaka angu anataka kutuletea MJITA.
KaribuAsante kwa kunielimisha!
hata watokee mbinguni wakiingia jiji hili tu basi washakuwa wazaramo kitabia. wanaanza umbea na kuchomeka dera kwenye pichu.WA dar wana vinasaba vya kizaramo!!
oooooh kumbeeeeeeeWengi wao wameondolewa kiharage
Mmh sio kweli mnakwepa kuoa wachaga bhana.Wanaume wa Kisukuma ni mashababi hasaa tupo vizuri kwenye sekta zote inapokuja kwenye suala zima la mahusiano. Yaani kuanzia kupenda, caring hadi ukweni, kujituma kitandani hadi utafutaji wa mali.
Hatuli chips na ukipika ubwabwa lazima uweke kijiugali pembeni kukamilisha mlo kamili!
Kutokana na kuwa marijali sana, kiukweli kuna wakati huwa tunalazimika kuoa mke zaidi ya mmoja!!!
Ukiolewa na msukuma usiwe na wivu na uchoyo kwetu mwiko ndiyo maana kaya nyingi za kisukuma ni kawaida sana kukuta watu zaidi ya 10 wengi wakiwa ndugu jamaa na marafiki!!
Wasukuma wengi tunakwepa kuoa wanawake kutoka kabila hizi; wahaya, wachagga, wapale na wagogo make asili yenu sio watu wa "kutoa ni moyo"
Picha tafadhali
KaribuAsante kwa kunielimisha!