Hongereni sana mabinti/wanawake wa Kisukuma kwa haya

Shukran sana mkuu kwa ufafanuzi yakinifu.
 
hata wasukuma wa katavi-MPANDA ni wakarimu mno na ni wachapaki balaa, tunswashuhudia kwenye upandaji mpunga nomaa Sana. Sasa huku katavi msukuma kumchukua ni gharama, wanahitaji mpaka ng'ombe kumi na..., ila bure unapata pia but inategemea na familia
 
Yani wachaga ndo wabaya chah sema hushare interests. Wasukuma wapole kwa lipi mkuu nimekaa nao roho mbaya yao labda wa Mwanza kidogo huo upole labda zama za kale wangekuwa wapole na wakarimu wasingeongoza kuua huko kanda ya ziwa kwa mauaji. In short mzuri labda aliyeelimika na ushamba hawauishi
 

Wabaya unawajua wewe?
 

PICHA NI MUHIMU KULIKO HIIESSAY.
 
Mkuu pole sana nahisi ulikutana na wanyantunzu hawa kiasi flani wana nyodo nyodo!
Katika tabaka zote za wasukuma, wa Mwanza hasa wilaya ya Sengerema na huko Geita hawana makuu kabisa!
Halafu kuwa mshamba sidhani kama ina athari yoyote katika kuishi na mtu otherwise ndo nyodo zenyewe tusemazo kabila nyingine mmeendekeza!
Kuhusu kuua vikongwe, hilo siwezi kuliongelea make limekaa kiimani zaidi.
Kama ungekulia kule wala usingepata kigugumizi cha kukiri kuwa kweli jamii ya watu hawa ipo tofauti sana na wengine!
 

Kiukweli sisi ushilikina hatutaki kusikia kabisa,achilia mbali kukutwa, hata tukikuhis tu kuhusika na ushirikina ujue mapanga yanakuhusu tena mchana kweupe! Na serikali kule haiingilii!! Kule huwezi kusikia mtu analalamika sijui mapaka yananisumbua usiku yanakuja juu ya paa mara sijui nimekutana na vituko gani, mara kwa jirani kuna mtoto amefariki kwenye mazingira ya kutatanisha. Ikitokea kesi ya namna hiyo tu unapita msako wa kufa mtu na ole wako watu wakuhis imekula kwako! Kule mtu akianza tu tabia zisizoeleweka anaambiwa kabisa huku pamekushinda hama kabisa vinginevyo siku zako zinahesabika!
 
hata wasukuma wa katavi-MPANDA ni wakarimu mno na ni wachapaki balaa, tunswashuhudia kwenye upandaji mpunga nomaa Sana. Sasa huku katavi msukuma kumchukua ni gharama, wanahitaji mpaka ng'ombe kumi na..., ila bure unapata pia but inategemea na familia


Hao wa mpanda mbona sio wa gharama mkuu?!! Mimi dada yangu wa kwanza niliswaga ng'ombe 45! Dada wa pili ng'ombe 34 na mbuzi 8! Inshort usukumani mwanamke ni wa gharama sana! Nadhani katika ndoa zao wanakua wapole, wakarim, wavumilivu, watiifu na wenye bidii kazini coz wanakua kama wanalipa fadhira kwa waume zao coz jamaa aligharamia sana kuoa. Lakini haimaanishi kwamba waloolewa kwa gharama ndogo au waloolewa bure wanakosa hizo sifa, hiyo ni kama nature yao tu!! Lakini pamoja na kugharamika kote usithubutu kumnyanyasa mwanamke wa kisukuma itakula kwako, hawapendi kabisa kunyanyaswa na ukizingua kuna njia nyingi za kidiplomasia wanatumia kusolve (wanafundishwa ) ukikaidi sana haoni shida kukutanguliza huko wazungu wanaita ( hell ) kazi ya kusameh atamwachia Mungu (if you diserve it anyways)
 
Shida ya majibizano haya wengi wanaopinga juu ya ukeketaji humu ni hawa vijana wa juz na jana alafu mnakuja humu mnataka kutuaminisha vijana wazamani kwamba makabila yenu hamna ukeketaji ! Kaeni chini na wazee wenu mzungumze watawambia juu ya mambo ayo.
 
Hao wanyatunzu wenye nyodo ni wanawake tu au na wanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…