Hongereni sana NEMC kwa kuanza udhibiti kelele kwenye bar lakini fanyeni haya kuboresha zoezi

Noma
 
Wangekuwa wanaenda wanabeba maspika na miziki na kuacha wanaokunywa waendelee kunywa
Good approach... Ila naona wamechukua approach ya kugonga nyoka kwa kichwa hahaaaa...
 
Hii haikubaliki kabisa kiongozi...
 
Tatizo limeanza baa zinakesha badala ya night club yan night club ka zimekufa hvi...


Sasa cha msingi hzo baa ziwe na indoor na out door kwa nje kuwe mziki mdogo afu ndan mziki mnene na sound proof
 
Tatizo limeanza baa zinakesha badala ya night club yan night club ka zimekufa hvi...


Sasa cha msingi hzo baa ziwe na indoor na out door kwa nje kuwe mziki mdogo afu ndan mziki mnene na sound proof
Wakeshe tu kimya kimya
 
Wakeshe tu kimya kimya
Kuna wakati pale uhuru peak ilikuwa shida sana makelele majirani hawalali
Kuna siku walikuja wazee walimbebq sijui dj crazy na miziki yake,wakaenda kumuweka mahailli salama
Mbona badaye waliweka soundproof kwa ndani
So ni utaratibu kufata

Ova
 
View attachment 2614513

Acha na huyu mjuaji. Hii meipokea jana toka jimbo as a music operator kukumbushwa kumaintaint. Serikali yenyewe inaelewa thamani ya kuabudu.
... nyumba ya mkazi (nyumbani) tunaambiwa mchana max. dB 50; usiku dB 35. Napimaje? Wawagawie wananchi vifaa vya kupimia na elimu ya kuvitumia kabla ya kuwaadhibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…