Elections 2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

Julius...very brilliant...very inspirational....touchy words..."!!

Tuko pamoja...daima na milele...


Ukawa, for life....👏👏👏👏👏
 
Shikamoo Kaka Mtatiro.... Naamini katika zile Nafasi 10 za Mhe. Rais, ya kwako ipo. Natamani nikuone umekamata Wizara fulani ili maccm yaone tulivyo tofauti...
Shikamoo tena..
 
Wewe unastahili kuwa mbunge wa kwanza wa kuteuliwa na rais wa UKAWA. Hata hivyo, hazina yako si lazima iwe bungeni, huenda Mungu ameishakuandalia njia nyingine mbadala ya mafanikio.
 
Ina maana wakati majimbo yanagawiwa na unchukua fomu ya kuomba kuteuliwa, UKAWA haikuwepo!?
 
mkuu nipm namba yako nikutumie laki moja upate soda kidogo.Tz ingekuwa na watu wa aina yako milioni moja tu tusingeongozwa na viongozi mafukara wa akili toka ccm,viongozi wanaoamini watanzania milioni 45 hatuwezi kujenga barabara ya lami bila kwenda kuomba kwa wazungu.
 
MTATIRO kuna nafasi moja hapa ACT wazalendo ,mwl kaijage kantonya wahi nafasi chache ,prof kashapewa yake.#oktoba asubuhi.
 
wanasiasa wenye hulka kama ww ni hazina kwa taifa, hongera sana na mwenyezi Mungu akutangulie
 
Julius Mtatiro lazima uingie bungeni hata kwa nafasi za kuteuliwa na rais kama vile mh mbatia
Maana unastahili kuwepo huko,pigana kwanza EL aingie ikulu mengine yatafwata
 
Last edited by a moderator:

Heshima Kwako Mkuu, Hakika Taifa Linahitaji Watu Kama Nyinyi Wenye Uwezo Wa Kujitoa Kwa Ajili Ya Taifa Na Wala Si Maisha Yao Binafs, Nami Nasema Mungu Akutangulie Katika Kila Jambo Unalolifanya, Akuongee Hekima Na Maarifa Katika Shughuri Zako

tuko pamoja kiongozi
 
Shikamoo Kaka Mtatiro.... Naamini katika zile Nafasi 10 za Mhe. Rais, ya kwako ipo. Natamani nikuone umekamata Wizara fulani ili maccm yaone tulivyo tofauti...
Shikamoo tena..

Ni kichaa tu anayeamini CHADEMA itashinda.
 
Hujui kusoma.mbona kaandika.soma tena thread utapata jibu
 

Taifa linahitaji vijana wenye msimamo thahiti kama wewe, umeonyesha njia kama kiongozi...safi kamanda
 
mimi nina mtizamo tofauti na wako. baada ya Prof. Lipumba kuondoka naona chadema watachukua kila kitu. kuwa makini bro.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…