Elections 2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

Mtatiro, u have political maturity. But please don't say u will not contents in any constituency, we need you mjengoni. Consult with UKAWA leadership ili wakupe jimbo. This is the feedback kwa wapenda maendeleo wote.

Contest, not contents mkuu.
 

Hakika kaka yangu MTATIRO kwa hekima na busara iliyokuongoza katika jambo zito kama hili.
 
Kwanza mamlaka ya kupanga wagombea wa vyama vingine wanayatoa wapi hawa Chadema?
 
hongera sana umeonyesha uzalendo Mkubwa sana na pia ukomavu wa kisiasa ulio washinda ma Dr na prof,taifa linahitaji watu kama wewe,umenifunza jambo kubwa sana
 
Nahisi mtatiro atakaimu uenyekiti wa CUF atakuwa ameshauriwa asigombee tu.

Kwani akigombea na akawa Mwenyekiti kuna shida gani?He is still young anaweza kusubiri 2020.
 
Kti ya watu ambao huwa nawafuatilia ili kunipanua kuhusu siasa ni wewe Kaka yangu JM, Hakika ulialiw umekmilika nakufuatilia sahemu nyingi makala zako kwenye gazeti la mwananchi, kwenye tv na sehemu yeyote nikayoweza ili kupata uchambuzi wako, hongera sana wewe ni kizazi halisi cha akina Nyerere, Kwame, Mandela na wengine, siku zote nitaedelea kukusoma ili kupata maarifa na ufahamu.
 
Hatuweki maneno mengi bali tu tunasema, shukrani kwa kupata hekima na kubali kuitumia.
 
Duh UKAWA umekuwa ni umoja wa kugawana vyeo, haya Mtatiro wenzako wanakufariji kwa ndoto za abunuasi eti utakuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam UKAWA ukichukua nchi.

Utasubiri sana na baada ya uchaguzi mkuu UKAWA utasambaratika na kila chama kitakuwa kinajilia karuzuku kake huku chama chako kikiwa tayari kimekufa kifo cha mende kimewekwa musiums na wanaokupongeza sasa wakiwa wanakudhihaki na kukwambia kwanini hukujiunga na CHADEMA siku nyingi? huku wakiendelea kusema ona sasa sie CHADEMA bado ni chama kikuu cha upinzani na CUF ni CCM B.
 
Mtatiro mwanangu mungu akubari sana kukubali mstokeo. Tunakuomba uwe kampain meneja yeyote ambae jina lake litakae rudi kwa ajili ya kupigia kura.
 
Kaka, we ni mtu wa ajabu saana, nakuheshimu na unafaa kuwa kiongozi mkubwa saana hapa Tanzania, leo yako kaka nitaiweka mpaka kesho. Nitaja simulia watoto wajifunze kwako. Kuna vitu nimesoma within a lines nimefarajika saaana, pigania UKAWA, pigania mabadiliko ili siku moja wa Tanzania wajue nini ulikuwa unafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…