Singe, Singe , Singe yanichomachoma ×2JWTZ waturudishoe heshma tuliyokuwa nayo wakati wa JKs
Askari eee vitamin si lelemama......×2Mkuu mandate imebadilika baada ya SADC deployment ya SA, TZ na Malawi forces sana ni offensive sio piece protection
Nyuma yao si yupo yule slim boy anayepandikiza vimelea vyake huku kanda ya MagharibiM23 wameandika taarifa kwa umma wakilalamika TPDF kutembeza kichapo kisicho na Kisimbuzi. Ikumbukwe hawa M23 wameua RAIA wengi na Jumuia za Kimataifa ipo kimya.
Malalamiko yao yanakuja baada ya Jeshi la Tanzania kuamua kumalizana nao kwa kichapo hasa ikizingatiwa waliwahi kuwaua wanajeshi wetu.
Soooooo up!!! Up up sooooooo up!!!Singe, Singe , Singe yanichomachoma ×2
Nilipofika Msata... Singe yanichoma choma
Nilipofika Oljoro.... Singe yanichomachoma
Nilipofika Monduli.... Singe yanichoma choma🎷🎸🎹
JWTZ ni kama maroboti ya CCM. Hata wafanye jema gani as long as CCM inawacontrol nawaona Kama marobot.
Wanatishia kutumia mapandikizi yao kuleta shida nchiniNyuma yao si yupo yule slim boy anayepandikiza vimelea vyake huku kanda ya Magharibi
Mkuu Lord,Wanatishia kutumia mapandikizi yao kuleta shida nchini
TPDF kumbe wanapeleka moto huko hatari sio..
Sijamuona wa kuharibu amani ya TanzaniaMkuu Lord,
Hata mimi nimjaribu kufikiria hili jambo.
Yaani kuna kila aina ya viashiria kuna Justification inatumika hapa kuharibu Amani ya nchi.
They are soooo welcome. Ndio maana juzi kabla ya kichapo tuliwa bip kwamba "tunajua kuna wakimbiz wako kwemye ngazi za maamuzi".Mkuu Lord,
Hata mimi nimjaribu kufikiria hili jambo.
Yaani kuna kila aina ya viashiria kuna Justification inatumika hapa kuharibu Amani ya nchi.
Watu walidhani CDF alijiongelea tu vile..alikuwa na kusudi na kusudi hilo sio Rais alijue bali majirani zetu wajue..They are soooo welcome. Ndio maana juzi kabla ya kichapo tuliwa bip kwamba "tunajua kuna wakimbiz wako kwemye ngazi za maamuzi".
Hakunaga kitu kinafanyika kwa bahati mbaya wazee.. kwenye masuala sensitive kama haya watu huwa wanajitahid kukaa chini na kupiga hesabu vizuri maana one mistake u make, will make u suffer.
Wewe utakuwa mjeda kabisa. Layman kama mimi siwezi kutaja hayo mambo kama deployment, offensive. Konge sana wanajeshi wetu. Tembezeni kichapo mpaka sauti ya kung'aka itomee jijini Kigali.Mkuu mandate imebadilika baada ya SADC deployment ya SA, TZ na Malawi forces sana ni offensive sio piece protection
Kila kitu lazima kiwe under control.
Thinitisha haya usemyo kama ni kweli.
Sasa kama wewe unalijua hilo unafkkir wao watakua hawajajiuliza. Hiz sio vita zile za nyerere za kupigania uzalendo..Siku hizi kila kitu uchumi, tofauti na zamani, ilikuwa siasa, uwepo wa jeshi kongo una maslahi ya kiuchumi kwetu? Kongo wameweka komitment za kiuchumi kwetu?