chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Ooohhh, mimi sizijui,ni zipi? SGR corridor?Sasa kama wewe unalijua hilo unafkkir wao watakua hawajajiuliza. Hiz sio vita zile za nyerere za kupigania uzalendo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooohhh, mimi sizijui,ni zipi? SGR corridor?Sasa kama wewe unalijua hilo unafkkir wao watakua hawajajiuliza. Hiz sio vita zile za nyerere za kupigania uzalendo..
JWTZ this time wasiishie DRC tu,waende mpaka Kigali tatizo linapoanzia!M23 wameandika taarifa kwa umma wakilalamika TPDF kutembeza kichapo kisicho na Kisimbuzi. Ikumbukwe hawa M23 wameua RAIA wengi na Jumuia za Kimataifa ipo kimya.
Malalamiko yao yanakuja baada ya Jeshi la Tanzania kuamua kumalizana nao kwa kichapo hasa ikizingatiwa waliwahi kuwaua wanajeshi wetu.
Niwape kongole jeshi la Tanzania kwa kutoa kichapo na niwape rai wateketeze kundi la M23 ili wananchi wawe free kwenye ardhi waliyopewa na Mungu.
Meseji iko send and delivered.They are soooo welcome. Ndio maana juzi kabla ya kichapo tuliwa bip kwamba "tunajua kuna wakimbiz wako kwemye ngazi za maamuzi".
Hakunaga kitu kinafanyika kwa bahati mbaya wazee.. kwenye masuala sensitive kama haya watu huwa wanajitahid kukaa chini na kupiga hesabu vizuri maana one mistake u make, will make u suffer.
Usiseme kwa Sauti. Hawakawii kubadilisha manenoSiku hizi kila kitu uchumi, tofauti na zamani, ilikuwa siasa, uwepo wa jeshi kongo una maslahi ya kiuchumi kwetu? Kongo wameweka komitment za kiuchumi kwetu?
Wataishije wakati kuna serikali inawasupport? Dawa ni kukata mzizi mkuu tuHivi nao M23 hawaishi?
Thinitisha haya usemyo kama ni kweli.
Tumekomboa Southern Sahara yote wakati huo hata kupata Unga wa sembe kwa foleniTunapigana vita nchi za watu ila hapa nyumbani umeme tu kuuwasha unatushinda.
kabisa, mwendazake alikuja kuvuruga kila kitu.JWTZ waturudishoe heshma tuliyokuwa nayo wakati wa JKs
Mtazamo wako binafsiTuna jeshi nzuri,sema siasa chafu zimeanza kulitia doa jesh letu.
hao wanatakiwa wapigwe, alafu wakileta ujinga, tuanze kupiga kupitia huku kigali, tunaweza kumpata mwizi wetu njiani. DR Congo asizubae, huu ndio wakati wa kushiriki kushambulia na kutoa silaha kwa FDLR wajiimarishe ili warudi kigali. mr. slim kuna siku atakimbia na taulo.
Meaning????Ni kujichosha tu,siku zitakuja haya maamuzi yatajutiwa,endeleeni kufurahi
Ana watu wake hadi huko JWTZHabari zimfikie PK!
hizo ni simulizi za abunuasi, Tanzania sio wajinga kiasi hicho. kuna watu wazalendo hapa Tanzania hadi huwezi amini walivyo, kama wangekuwepo wangeshafutwa kimyakimya kitambo sana.Ana watu wake hadi huko JWTZ
Hili nalo neno. Charity begins at home.Hawastahili pongezI hawa JWTZ. Mbona serikali ya Tanzania inaongozwa kizwazwa lkn hawaipindui??
Iweke hiyo taarifa yao hapa kama unayo.M23 wameandika taarifa kwa umma wakilalamika TPDF kutembeza kichapo kisicho na Kisimbuzi. Ikumbukwe hawa M23 wameua RAIA wengi na Jumuia za Kimataifa ipo kimya.
Malalamiko yao yanakuja baada ya Jeshi la Tanzania kuamua kumalizana nao kwa kichapo hasa ikizingatiwa waliwahi kuwaua wanajeshi wetu.
Niwape kongole jeshi la Tanzania kwa kutoa kichapo na niwape rai wateketeze kundi la M23 ili wananchi wawe free kwenye ardhi waliyopewa na Mungu.
Mzee jiandae kurudi Nyumbani.....Acha ujinga mwenyewe. Halafu usinipangie Cha kusema. JWTZ inabakia kuwa robot machine ya CCM. 2015 walizunguka jengo matokeo yalipokuwa yanatangazwa Zanzibar na kumtishia Jecha mpaka kufuta matokeo. Wakabakia Zanzibar kuzunguka na mavifaru yao. Very stupid robots.
2020 ndio wakatumika kuiba kura na ujinga wote. Yani wakatumika kuongeza siku moja ya kupiga kura kwa akili ya JWTZ. Very stupid robots.
hizo ni simulizi za abunuasi, Tanzania sio wajinga kiasi hicho. kuna watu wazalendo hapa Tanzania hadi huwezi amini walivyo, kama wangekuwepo wangeshafutwa kimyakimya kitambo sana.