Hongereni Yanga kwa usajili mzuri 2021/2022

Hongereni Yanga kwa usajili mzuri 2021/2022

Tate Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2019
Posts
33,092
Reaction score
96,127
Naomba nichukue nafasi hii nikiwa kama mdau wa michezo na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga (Timu ya Wananchi), kuupongeza uongozi wa timu, chini ya Mwenyekiti Mshindo Msolla, Wadhamini wa timu, benchi la ufundi, na wadau wote kwa ujumla! Kwa kufanya usajili mzuri.

Nimekiona hiki kikosi mahali fulani! Baada ya kukikagua kwa muda mrefu, nimejiridhisha ni kikosi bora! Na nina imani kubwa kitafanya vizuri kwenye ligi yetu ya ndani, na pia kwenye mashindano ya kimataifa.

Magolikipa;
Djgui Diarra, na Eric Johora.

Walinzi;
Djuma Shaban, Kibwana Shomari, David Bryson, Adeyun Saleh, Yassin Mustapha, Abdallah Shaibu, Dickson Job, Bakary Mwamnyeto, Yanick Bangala.

Viungo;
Khalid Aucho, Mukoko Tonombe, Deus Kaseke, Feisal Salum, Zawadi Mauya, Saido Ntibazonkiza, Farid Mussa, Balama Mapinduzi, Jesus Moloko, Ditram Nchimbi, Dickson Ambundo.

Wasambuliaji;
Fiston Mayele, Heritiel Makambo, Yacouba Sogne, Yusuph Athumani!

Binafsi nilitamani sana kumuona pia mlinda mlango Metacha Mnata akiwemo, badala ya huyo golikipa Mrundi! Lakini ndiyo hivyo tena.

Kwa usajili huu, unaona kabisa viongozi wa Yanga wamekubali kubadilika. Hawajasajili kishabiki, au kwa kukurupuka kama ilivyokuwa kwa misimu miwili iliyopita. Badala yake wamesajili watu wa kazi!!

Hakika naamini kati ya Yanga na Azam, mmojawao kati yao atachukua ubingwa wa ligi kuu! Huku Yanga ikiwa na nafasi kubwa zaidi! Hakika Yanga ya msimu ujao ni 🔥🔥
 
Utopolo mtakuja zikimbia nyuzi zenu hivi karibuni! Nyie vimbeni mibichwa kama mmesajili messi! Mkumbuke raly bwalya, bm3, mugalu, bocko, kagere, onyango na manula bado wapo! Nawapa tahadhari msije angushia jumba bovu Tff.
😁😁😁 Simba isiyo na Clotus Chama au Konde Boy, ni sawa na Simba kibogoyo!

Bora hata angebakishwa mmojawapo kati ya hawa mastaa wenu wawili.
 
Naomba nichukue nafasi hii nikiwa kama mdau wa michezo na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga (Timu ya Wananchi), kuupongeza uongozi wa timu, chini ya Mwenyekiti Mshindo Msolla, Wadhamini wa timu, benchi la ufundi, na wadau wote kwa ujumla! Kwa kufanya usajili mzuri.

Nimekiona hiki kikosi mahali fulani! Baada ya kukikagua kwa muda mrefu, nimejiridhisha ni kikosi bora! Na nina imani kubwa kitafanya vizuri kwenye ligi yetu ya ndani, na pia kwenye mashindano ya kimataifa.

Magolikipa;
Djgui Diarra, Ramadhan Kabwili na Eric Johora.

Walinzi;
Djuma Shaban, Kibwana Shomari, David Bryson, Adeyun Saleh, Yassin Mustapha, Abdallah Shaibu, Dickson Job, Bakary Mwamnyeto, Yanick Bangala.

Viungo;
Khalid Aucho, Mukoko Tonombe, Deus Kaseke, Feisal Salum, Zawadi Mauya, Saido Ntibazonkiza, Farid Mussa, Balama Mapinduzi, Jesus Moloko, Ditram Nchimbi, Dickson Ambundo.

Wasambuliaji;
Fiston Mayele, Heritiel Makambo, Yacouba Sogne, Yusuph Athumani!


Binafsi nilitamani sana kumuona pia mlinda mlango Metacha Mnata akiwemo, badala ya huyo golikipa Mrundi! Lakini ndiyo hivyo tena.

Kwa usajili huu, unaona kabisa viongozi wa Yanga wamekubali kubadilika. Hawajasajili kishabiki, au kwa kukurupuka kama ilivyokuwa kwa misimu miwili iliyopita. Badala yake wamesajili watu wa kazi!!

Hakika naamini kati ya Yanga na Azam, mmojawao kati yao atachukua ubingwa wa ligi kuu! Huku Yanga ikiwa na nafasi kubwa zaidi! Hakika Yanga ya msimu ujao ni [emoji91][emoji91]
Rivers anakuzoom tu hapa...

Sarpong mmemuuza wapi?
 
Back
Top Bottom