Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kila msimu maneno ni haya haya.... Twendeni Morocco Waarabu wanatusubiri Bana Congo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila msimu maneno ni haya haya.... Twendeni Morocco Waarabu wanatusubiri Bana Congo😀😀😀 Nikazie mwaka wetu huu.
Kule tumewaachia ukimya kama mmefiwa vile 😉 hamna amsha amsha sasa , si usajili si 5imba day.
Ila mtafika tu Kaka. 😀😀
Muda ni rafiki mzuri. Msimu ujao Simba kuwa bingwa, ni ndoto ya mchana! Naitabiria kushika nafasi ya 3 nyuma ya Yanga 1 na Azam 2.
ninahisi unatumia ugoro, Yanga yenye wachezaji 10 wapya wachukue ubingwa? labda wa ndondo kapMuda ni rafiki mzuri. Msimu ujao Simba kuwa bingwa, ni ndoto ya mchana! Naitabiria kushika nafasi ya 3 nyuma ya Yanga 1 na Azam 2.
Yanga jipangeni msimu ujao, Simba watakuwa washachukua 5 times back to backKila msimu maneno ni haya haya.... Twendeni Morocco Waarabu wanatusubiri Bana Congo
We mkia usipopata msaada wa Tff uwanjan humfungi yanga miaka 10 mbeleUtopolo mtakuja zikimbia nyuzi zenu hivi karibuni! Nyie vimbeni mibichwa kama mmesajili messi! Mkumbuke raly bwalya, bm3, mugalu, bocko, kagere, onyango na manula bado wapo! Nawapa tahadhari msije angushia jumba bovu Tff.
Tunaukosaje?kwamba yule bwana mwenye tumbo kubwa pale Tff atawapendelea na msimu huu,thubutu,chezeni mpira acheni kutegemea mbelekoYanga msimu huu mkikosa ubingwa aulizwe nani?
Muwapige makofiWasipochukua kombe tukufanye nini
Hiyo kwa kilugha chetu tunaita punietoYanga ni moto, sioni timu ya bongo hii itakayoshindwa kuachia points 3 mbele ya Yanga
Hiyo ni Yanga au ni As Vita club timu B.Naomba nichukue nafasi hii nikiwa kama mdau wa michezo na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga (Timu ya Wananchi), kuupongeza uongozi wa timu, chini ya Mwenyekiti Mshindo Msolla, Wadhamini wa timu, benchi la ufundi, na wadau wote kwa ujumla! Kwa kufanya usajili mzuri.
Nimekiona hiki kikosi mahali fulani! Baada ya kukikagua kwa muda mrefu, nimejiridhisha ni kikosi bora! Na nina imani kubwa kitafanya vizuri kwenye ligi yetu ya ndani, na pia kwenye mashindano ya kimataifa.
Magolikipa;
Djgui Diarra, Ramadhan Kabwili na Eric Johora.
Walinzi;
Djuma Shaban, Kibwana Shomari, David Bryson, Adeyun Saleh, Yassin Mustapha, Abdallah Shaibu, Dickson Job, Bakary Mwamnyeto, Yanick Bangala.
Viungo;
Khalid Aucho, Mukoko Tonombe, Deus Kaseke, Feisal Salum, Zawadi Mauya, Saido Ntibazonkiza, Farid Mussa, Balama Mapinduzi, Jesus Moloko, Ditram Nchimbi, Dickson Ambundo.
Wasambuliaji;
Fiston Mayele, Heritiel Makambo, Yacouba Sogne, Yusuph Athumani!
Binafsi nilitamani sana kumuona pia mlinda mlango Metacha Mnata akiwemo, badala ya huyo golikipa Mrundi! Lakini ndiyo hivyo tena.
Kwa usajili huu, unaona kabisa viongozi wa Yanga wamekubali kubadilika. Hawajasajili kishabiki, au kwa kukurupuka kama ilivyokuwa kwa misimu miwili iliyopita. Badala yake wamesajili watu wa kazi!!
Hakika naamini kati ya Yanga na Azam, mmojawao kati yao atachukua ubingwa wa ligi kuu! Huku Yanga ikiwa na nafasi kubwa zaidi! Hakika Yanga ya msimu ujao ni [emoji91][emoji91]
Hao Sarpong waliochangamka.Ngojea tuwaone uwanjani,halafu ndio tuseme usajili mzuri au mbaya.
River United Ni timu ya gani tena[emoji16][emoji16][emoji16] Simba isiyo na Clotus Chama au Konde Boy, ni sawa na Simba kibogoyo!
Bora hata angebakishwa mmojawapo kati ya hawa mastaa wenu wawili.
KAWAIDA YENU KUWASIFU KIPINDI HIKI. MWISHO WA MSIMU ZNAKUWA POROJONaomba nichukue nafasi hii nikiwa kama mdau wa michezo na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga (Timu ya Wananchi), kuupongeza uongozi wa timu, chini ya Mwenyekiti Mshindo Msolla, Wadhamini wa timu, benchi la ufundi, na wadau wote kwa ujumla! Kwa kufanya usajili mzuri.
Nimekiona hiki kikosi mahali fulani! Baada ya kukikagua kwa muda mrefu, nimejiridhisha ni kikosi bora! Na nina imani kubwa kitafanya vizuri kwenye ligi yetu ya ndani, na pia kwenye mashindano ya kimataifa.
Magolikipa;
Djgui Diarra, Ramadhan Kabwili na Eric Johora.
Walinzi;
Djuma Shaban, Kibwana Shomari, David Bryson, Adeyun Saleh, Yassin Mustapha, Abdallah Shaibu, Dickson Job, Bakary Mwamnyeto, Yanick Bangala.
Viungo;
Khalid Aucho, Mukoko Tonombe, Deus Kaseke, Feisal Salum, Zawadi Mauya, Saido Ntibazonkiza, Farid Mussa, Balama Mapinduzi, Jesus Moloko, Ditram Nchimbi, Dickson Ambundo.
Wasambuliaji;
Fiston Mayele, Heritiel Makambo, Yacouba Sogne, Yusuph Athumani!
Binafsi nilitamani sana kumuona pia mlinda mlango Metacha Mnata akiwemo, badala ya huyo golikipa Mrundi! Lakini ndiyo hivyo tena.
Kwa usajili huu, unaona kabisa viongozi wa Yanga wamekubali kubadilika. Hawajasajili kishabiki, au kwa kukurupuka kama ilivyokuwa kwa misimu miwili iliyopita. Badala yake wamesajili watu wa kazi!!
Hakika naamini kati ya Yanga na Azam, mmojawao kati yao atachukua ubingwa wa ligi kuu! Huku Yanga ikiwa na nafasi kubwa zaidi! Hakika Yanga ya msimu ujao ni [emoji91][emoji91]
kama unaona hivyo basi utakua una macho mabovuNaiona Vita Kali Sana ya kugombea namba 2 Kati ya Simba na Azam
Hahahaaaa. Yaliyopita si ndwele.kwani last season ulisemaje?