Hongereni Yanga kwa usajili mzuri 2021/2022

Hongereni Yanga kwa usajili mzuri 2021/2022

Kila msimu maneno ni haya haya.... Twendeni Morocco Waarabu wanatusubiri Bana Congo
 
😀😀😀 Nikazie mwaka wetu huu.

Kule tumewaachia ukimya kama mmefiwa vile 😉 hamna amsha amsha sasa , si usajili si 5imba day.

Ila mtafika tu Kaka. 😀😀
Kila msimu maneno ni haya haya.... Twendeni Morocco Waarabu wanatusubiri Bana Congo
 
Muda ni rafiki mzuri. Msimu ujao Simba kuwa bingwa, ni ndoto ya mchana! Naitabiria kushika nafasi ya 3 nyuma ya Yanga 1 na Azam 2.
Muda ni rafiki mzuri. Msimu ujao Simba kuwa bingwa, ni ndoto ya mchana! Naitabiria kushika nafasi ya 3 nyuma ya Yanga 1 na Azam 2.
ninahisi unatumia ugoro, Yanga yenye wachezaji 10 wapya wachukue ubingwa? labda wa ndondo kap
 
Utopolo mtakuja zikimbia nyuzi zenu hivi karibuni! Nyie vimbeni mibichwa kama mmesajili messi! Mkumbuke raly bwalya, bm3, mugalu, bocko, kagere, onyango na manula bado wapo! Nawapa tahadhari msije angushia jumba bovu Tff.
We mkia usipopata msaada wa Tff uwanjan humfungi yanga miaka 10 mbele
 
Yanga ni moto, sioni timu ya bongo hii itakayoshindwa kuachia points 3 mbele ya Yanga
 
Naomba nichukue nafasi hii nikiwa kama mdau wa michezo na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga (Timu ya Wananchi), kuupongeza uongozi wa timu, chini ya Mwenyekiti Mshindo Msolla, Wadhamini wa timu, benchi la ufundi, na wadau wote kwa ujumla! Kwa kufanya usajili mzuri.

Nimekiona hiki kikosi mahali fulani! Baada ya kukikagua kwa muda mrefu, nimejiridhisha ni kikosi bora! Na nina imani kubwa kitafanya vizuri kwenye ligi yetu ya ndani, na pia kwenye mashindano ya kimataifa.

Magolikipa;
Djgui Diarra, Ramadhan Kabwili na Eric Johora.

Walinzi;
Djuma Shaban, Kibwana Shomari, David Bryson, Adeyun Saleh, Yassin Mustapha, Abdallah Shaibu, Dickson Job, Bakary Mwamnyeto, Yanick Bangala.

Viungo;
Khalid Aucho, Mukoko Tonombe, Deus Kaseke, Feisal Salum, Zawadi Mauya, Saido Ntibazonkiza, Farid Mussa, Balama Mapinduzi, Jesus Moloko, Ditram Nchimbi, Dickson Ambundo.

Wasambuliaji;
Fiston Mayele, Heritiel Makambo, Yacouba Sogne, Yusuph Athumani!

Binafsi nilitamani sana kumuona pia mlinda mlango Metacha Mnata akiwemo, badala ya huyo golikipa Mrundi! Lakini ndiyo hivyo tena.

Kwa usajili huu, unaona kabisa viongozi wa Yanga wamekubali kubadilika. Hawajasajili kishabiki, au kwa kukurupuka kama ilivyokuwa kwa misimu miwili iliyopita. Badala yake wamesajili watu wa kazi!!

Hakika naamini kati ya Yanga na Azam, mmojawao kati yao atachukua ubingwa wa ligi kuu! Huku Yanga ikiwa na nafasi kubwa zaidi! Hakika Yanga ya msimu ujao ni [emoji91][emoji91]
Hiyo ni Yanga au ni As Vita club timu B.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Simba isiyo na Clotus Chama au Konde Boy, ni sawa na Simba kibogoyo!

Bora hata angebakishwa mmojawapo kati ya hawa mastaa wenu wawili.
River United Ni timu ya gani tena
 
ila Utopolo safari hii inatisha, kipindi kilichoisha walikuwa na hakina Sarpong wakatuenyesha, safari hii wako vizuri
 
Naiona Vita Kali Sana ya kugombea namba 2 Kati ya Simba na Azam
 
Naomba nichukue nafasi hii nikiwa kama mdau wa michezo na shabiki mkubwa wa timu ya Yanga (Timu ya Wananchi), kuupongeza uongozi wa timu, chini ya Mwenyekiti Mshindo Msolla, Wadhamini wa timu, benchi la ufundi, na wadau wote kwa ujumla! Kwa kufanya usajili mzuri.

Nimekiona hiki kikosi mahali fulani! Baada ya kukikagua kwa muda mrefu, nimejiridhisha ni kikosi bora! Na nina imani kubwa kitafanya vizuri kwenye ligi yetu ya ndani, na pia kwenye mashindano ya kimataifa.

Magolikipa;
Djgui Diarra, Ramadhan Kabwili na Eric Johora.

Walinzi;
Djuma Shaban, Kibwana Shomari, David Bryson, Adeyun Saleh, Yassin Mustapha, Abdallah Shaibu, Dickson Job, Bakary Mwamnyeto, Yanick Bangala.

Viungo;
Khalid Aucho, Mukoko Tonombe, Deus Kaseke, Feisal Salum, Zawadi Mauya, Saido Ntibazonkiza, Farid Mussa, Balama Mapinduzi, Jesus Moloko, Ditram Nchimbi, Dickson Ambundo.

Wasambuliaji;
Fiston Mayele, Heritiel Makambo, Yacouba Sogne, Yusuph Athumani!

Binafsi nilitamani sana kumuona pia mlinda mlango Metacha Mnata akiwemo, badala ya huyo golikipa Mrundi! Lakini ndiyo hivyo tena.

Kwa usajili huu, unaona kabisa viongozi wa Yanga wamekubali kubadilika. Hawajasajili kishabiki, au kwa kukurupuka kama ilivyokuwa kwa misimu miwili iliyopita. Badala yake wamesajili watu wa kazi!!

Hakika naamini kati ya Yanga na Azam, mmojawao kati yao atachukua ubingwa wa ligi kuu! Huku Yanga ikiwa na nafasi kubwa zaidi! Hakika Yanga ya msimu ujao ni [emoji91][emoji91]
KAWAIDA YENU KUWASIFU KIPINDI HIKI. MWISHO WA MSIMU ZNAKUWA POROJO
 
Back
Top Bottom