Mkataba wao ni ndani ya siku 60, hospitali isiyo na fraud issues isimame mahakamani waseme hawajalipwa.Unapoandika haya, unajua hizi hospitali zinadai kiasi gani huko NHIF? Himiza serikali yako iwajibike! Au unafikiri hizo hospitali madawa wanaokota? Watumishi wanalipwaje? Anzisha wewe hospitali yako ukatoe huduma for free.
Ushawahi kufuatilia kwanini hizo hospitali haziendi mahakamani maana wanauhuru huo ndani ya mkataba wao. Ushawahi jiuliza kwanini hawaendi.Nhif, haina pesa,pesa zinaliwa, na ma CCM, hosptari binafsi, zinafsnya biashara, hazina ruzuku, zisipopata pesa kwa wakati kwa huduma walizotoa(kupitia nhif), mustakabali wake na ajira za wafanyakazi, zinakuwa mashakani, haya, mamifuko hayalipi pesa, kabisa.
Yaani, umuhudumie, mgonjwa, dawa,consultation, harafu pesa, ije baada, ya, miezi Sita! Hiyo ofc si utwfunga?
Hakuna NHIF premium.Premium ndo zinakuaje mkuu ? Tusije kudhalilika huko ! Bei na sifa tafadhali
Supplementary package sio premium ni maamuzi ya muajiri husika.NHIF walianzisha kadi za Premium ambazo zinalipiwa na Taasisi binafsi kama vile CRDB, NMB zinalipiwa pesa ndefu kulinganisha na hizo za taasisi za serikali
Umesema Abdul, nikakumbuka kumuona juzi pale Hyatt ana Cadillac Escalade ya 2022.Na bado watasimama bungeni kusema kazi nzuri aliyofsnya mama abdul haijawahi kufsnywa na mtu yoyote
Sijui kama ndivyo zilivyo ila Bima ya NHIF ya Mwalimu Mtunguja C, haifanani na Bima ya NHIF mwajiriwa wa CRDB.Supplementary package sio premium ni maamuzi ya muajiri husika.
MBONA PRIVATE ZA MAKANISA ZINAPATA RUZUKU?.Siyo kweli.imagine tangia 2016 bei ya dawa ni ile ile.sasa kweli bei mitaani since 2016 ni ilele.2016 lita moja ya petrol ilikuwa inauzwa shilling ngapi compare na bei ya leo.isitoshe pia private hospital hazipati ruzuku from the government tofauti na hospitali za serikali mishahara inatoka hazina .in fact private hospital ni hasara sana .binafsi siwezi wekeza hela zxangu kwenye secta ya afya .
Ndio maana nikakwambia inaitwa supplementary package na wengine comprehensive package ila mtumishi wa kawaida hutumia standard package.Sijui kama ndivyo zilivyo ila Bima ya NHIF ya Mwalimu Mtunguja C, haifanani na Bima ya NHIF mwajiriwa wa CRDB.
Niliwauliza pale ndio jamaa akanielewesha utofauti wake kwenye package.
CRDB walikuwa wanatumia Strategies wakahamia NHIF baada yakuwa na hiyo package.
ready to be corrected.
Na pia siku za nyuma kidogo.
Hospital kama Aga khan na Saifee walikuwa hawapokei bima za NHIF
Saivi twala kwa urefu wa kamba zetuBei Zenyewe Zipo Wapi
Nchi Imejaa Muhari Sana, Wakati Wa Mzilankende Alisema Wazi
Kwenye Awamu Yangu Hakuna Kubembelezana, Subirini
Rais Mwingine Aje Kuwabembeleza
Naona Tumempata Sasa
Bila nudhanu ya Kazi Uliyoyataja hayana tija yoyoteMiradi aliyoiacha magu inaendelea japo kwa kususua,mishahara imepanda japo ni kituko,watumishi wanapanda madaraja,ajira zinatolewa japo kwa kujuana sana,mama alipofeli ni kusimamia nidhamu kwenye ofisi za umma na kutokemea rushwa,hapo amefeli vibaya sana
Asante kwa ufafanuzi mkuu.Ndio maana nikakwambia inaitwa supplementary package na wengine comprehensive package ila mtumishi wa kawaida hutumia standard package.
Ndio maana nimeuliza.Kwani Hakuna ?
Yule alikuwa mwamba haswa,Bei Zenyewe Zipo Wapi
Nchi Imejaa Muhari Sana, Wakati Wa Mzilankende Alisema Wazi
Kwenye Awamu Yangu Hakuna Kubembelezana, Subirini
Rais Mwingine Aje Kuwabembeleza
Naona Tumempata Sasa
Mkuu kama wewe unaona ni wauaji fungua hospitali ya kwako halafu utibie watu kwa hasara tuone, unapanua mdomo hapa kama kiboko amiayapo kufurahia hasara ya wengine!Hapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Nadhani rudia kusoma issue siyo madai bali ni bei mpya za kuanza kutumika 2024Uchawa ni utumwa na ufungwa sasa serikali yako haitaki kuwalipa madai yao unategemea wanajiendesha vipi. Wanawafanyakazi watawalipwa lini ?
Kwa nini wakamatwe bwashee ni haki yao hospitali si ni zao?kama hizo zitawapelekea kupata hasara kwa wapokee bima?Hapa ndiyo utamkumbuka mtu km Magu, maana jibu lao ni moja "wajaribu" na hakuna kima angejikuna. Huyu mama wanamchezea sana, eti watagoma kumhudumia mwananchi? Wauaji hao walitakiwa wakamatwe mara moja kwa tishio la kuua. Km wanaona hiyo biashara hailipi watafute kazi zingine
Niliandika makala ndefu juu ya hii mada (Bima ya Afya Kwa Wote) lakini werevu tu ndiyo walinielewa, sasa post hii imekazia makala yangu hiyo. Lakini hata leo pale Ocean Road Cancer Institute Chemo haiko kwenye NHIF na cash ni 600K kwa wiki, fremu ya miwani haiko kwenye NHIF, hospitali zingine kuna dawa haziko kwenye NHIF, hospitali zingine consultation fee haiko kwenye NHIF, gharama za mortuary haziko kwenye Bima ya Afya Kwa Wote.Mbona zipo Ambazo hazipokei hata sasa?
Kama kadi yako ya NHIF sio Premium ukinda Aga khan au Seifee hawakuhudumii