Hospitali Binafsi wana Utu kuliko Hospitali za Serikali

Hospitali Binafsi wana Utu kuliko Hospitali za Serikali

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimeshuhudia mimi mwenyewe. Nilikuwa na mgonjwa aliyehitaji huduma ya dharura katika hospitali moja ya Wilaya ya Ilala. Tena tumemkimbiza usiku wa saa sita. Tulipofika tu akaanza kupimwa na kutokana na hali aliyokuwa nayo alihitaji kufanyiwa upasuaji usiku uleule.

Kwa kuwa mgonjwa hana Bima tulitakiwa kulipa cash. Cash hatukuwa na kiasi cha kutosha tukaambiwa BILA CASH KULIPWA HAMUWEZI KUPATA HUDUMA. Kuna msamaria mmoja kati ya wale waliopeleka wagonjwa akatueleza twende hospitali fulani.

Tulipofika hospitali ile tukaambiwa mgonjwa wenu tutamfanyia upasuaji na malipo mtayalipa baada ya huduma. Ikawa hivyo. Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuwaumba hawa watu wenye Roho Nzuri na tunawatakia maisha marefu.

Lakini hawa wenye kupenda pesa badala ya kuhurumia wanyonge walipa kodi. Mungu awake thawabu zao. Wasikae na hela maisha yao yote. Amina.
 
Huwa ni ngumu sana kumtibu mtu bure kwemye hospitali ya serikali,

kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu

Mfanyakazi wa afya ambae ataona ubinadamu na huruma kumtibu mtu bure uchukuliwa kama kahujumu uchumi au kuikosesha serikal mapato ambapo fedha hizo itabidi hazifidie yeye. Kwani kuna baadhi ya madawa na vifaa tiba vikitumika bila kulipiwa itabidi uwajibu MSD na wakaguzi wa afya ulivipeleka wapi

Mfano: mtu aliegongwa na gari na kuletwa na wasamalia wema hospitalini upatiwa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri ndugu zake kujitokeza ili matibabu mengine yaendelee wakiwa na uhakika wa kulipwa malipo. Wanasema kama ukimpatia/kumuongeza Pakiti ya damu inabidi uwe na uhakika italipiwa au ndugu wataifidia kwa kuchangia kwani ni kitu adimu ambacho wakaguzi wa afya wakikuta kuna upungufu wanalalamikiwa wahudumu wa afya kuwa wamefanya uzembe na upotevu wa rasilimali kazini

HIVYo . Uenda muhudumu wa afya akawa na huruma ya kumsafia mtu ila sheria ndo zina mbana kufanya hivyo sio kama uko private kulipana ni taratibu.

# ndo maana huwezi kupanda ATCL au SGR eti nauli utalipa/ lipiwa ukifika. Mifumo na usimamizi ndo inabana kumsaidia mtu
 
Huwa ni ngumu sana kumtibu mtu bure kwemye hospitali ya serikali,

kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu

Mfanyakazi wa afya ambae ataona ubinadamu na huruma kumtibu mtu bure uchukuliwa kama kahujumu uchumi au kuikosesha serikal mapato ambapo fedha hizo itabidi hazifidie yeye. Kwani kuna baadhi ya madawa na vifaa tiba vikitumika bila kulipiwa itabidi uwajibu MSD na wakaguzi wa afya ulivipeleka wapi

Mfano: mtu aliegongwa na gari na kuletwa na wasamalia wema hospitalini upatiwa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri ndugu zake kujitokeza ili matibabu mengine yaendelee wakiwa na uhakika wa kulipwa malipo. Wanasema kama ukimpatia/kumuongeza Pakiti ya damu inabidi uwe na uhakika italipiwa au ndugu wataifidia kwa kuchangia kwani ni kitu adimu ambacho wakaguzi wa afya wakikuta kuna upungufu wanalalamikiwa wahudumu wa afya kuwa wamefanya uzembe na upotevu wa rasilimali kazini

HIVYo . Uenda muhudumu wa afya akawa na huruma ya kumsafia mtu ila sheria ndo zina mbana kufanya hivyo sio kama uko private kulipana ni taratibu.

# ndo maana huwezi kupanda ATCL au SGR eti nauli utalipa/ lipiwa ukifika. Mifumo na usimamizi ndo inabana kumsaidia mtu
Bila shaka mifumo hii waliona italeta athari hizo. Hebu ona walivyojipitishia sheria za Mafao kwa Viongozi unakuta kila kitu wamejipendelea wao. Mishahara yao haikatwi hata senti moja ya kodi. Wamedhamiria kutuua.
 
Huwa ni ngumu sana kumtibu mtu bure kwemye hospitali ya serikali,

kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu

Mfanyakazi wa afya ambae ataona ubinadamu na huruma kumtibu mtu bure uchukuliwa kama kahujumu uchumi au kuikosesha serikal mapato ambapo fedha hizo itabidi hazifidie yeye. Kwani kuna baadhi ya madawa na vifaa tiba vikitumika bila kulipiwa itabidi uwajibu MSD na wakaguzi wa afya ulivipeleka wapi

Mfano: mtu aliegongwa na gari na kuletwa na wasamalia wema hospitalini upatiwa tu huduma ya kwanza huku wakisubiri ndugu zake kujitokeza ili matibabu mengine yaendelee wakiwa na uhakika wa kulipwa malipo. Wanasema kama ukimpatia/kumuongeza Pakiti ya damu inabidi uwe na uhakika italipiwa au ndugu wataifidia kwa kuchangia kwani ni kitu adimu ambacho wakaguzi wa afya wakikuta kuna upungufu wanalalamikiwa wahudumu wa afya kuwa wamefanya uzembe na upotevu wa rasilimali kazini

HIVYo . Uenda muhudumu wa afya akawa na huruma ya kumsafia mtu ila sheria ndo zina mbana kufanya hivyo sio kama uko private kulipana ni taratibu.

# ndo maana huwezi kupanda ATCL au SGR eti nauli utalipa/ lipiwa ukifika. Mifumo na usimamizi ndo inabana kumsaidia mtu
Kumbe ndivyo ilivyo aisee
 
Siyo hosipitali tu, taasisi nyingi za umma zinatoa huduma mbovu sana hasa kwenye hii awanu ya sita.
Umemaliza mpaka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu usisahau kuitaja na yenyewe huduma 0 sorry kwa inayowahusu ila message sent
 
kuna watu wa ustawi wa jamii ambao kazi yao ni kuhakikisha ata kama mgonjwa hajiwez kiuchumi nfugu zske watafutwe angalau wachangie nusu ya malipo au atibiwe kwa msamaha ambapo ni process ndefu
Kiini macho hiki hawa watu hawapo acheni kudanganyana humu na wenyewe hua wanapita kujipamba kwenye redio na upuuzi mwingine ukienda huko mahospitali huwakuti watu km hawa, sawa unasema wapo kwanini wahusika wa hospitali walipoona hawa ndugu wamefika sehemu ya kushindwa kulipia gharama za matibabu kwanini hawakuwadirect kwa hao unaowataja?

Hao wamepewa vyeo tu vya mchongo ila hospitalini hawapo sijui maofisa ustawi wa jamii hawapo hao, sawa tuchukulie mfano hospitali ya Amana tu pale ofisi yao ni room namba ngapi na unaingilia wapi ili kufika kwenye ofisi yao? Jibu utasema hujui sababu hawapo wapo kiini macho tu

We mpaka uende ustawi wa jamii ukajaze mafomu mpaka urudi mgonjwa si ameshakufa unaleta mzaha kwenye afya za watu?
 
Kiini macho hiki hawa watu hawapo acheni kudanganyana humu na wenyewe hua wanapita kujipamba kwenye redio na upuuzi mwingine ukienda huko mahospitali huwakuti watu km hawa, sawa unasema wapo kwanini wahusika wa hospitali walipoona hawa ndugu wamefika sehemu ya kushindwa kulipia gharama za matibabu kwanini hawakuwadirect kwa hao unaowataja?

Hao wamepewa vyeo tu vya mchongo ila hospitalini hawapo sijui maofisa ustawi wa jamii hawapo hao, sawa tuchukulie mfano hospitali ya Amana tu pale ofisi yao ni room namba ngapi na unaingilia wapi ili kufika kwenye ofisi yao? Jibu utasema hujui sababu hawapo wapo kiini macho tu

We mpaka uende ustawi wa jamii ukajaze mafomu mpaka urudi mgonjwa si ameshakufa unaleta mzaha kwenye afya za watu?
Ishu hapo ni kutokujua mifumo. Kuna social worker, mtumishi wa afya ngazi ya jamii, specialist, mtu wa mochwari, wahudumu wa bima afya, wote hao wapo hospitali na muda mwingine wanavaa makoti. BILA kujua taratibu utaendelea kulalamika hao watu hawapo.

Nikuibie siri hao social worker wanapenda kuvaa nguo za watu wa kawaida. Hua wanaitwa pale ambapo mteja atadai hana pesa za kujitibu ili wathibitishe kua ni kweli hajiwezi. Kigezo cha harakaharaka wanachoangalia ni muonekano wako usije ukawa umevaa vizuri, una make up , wigi la million na smart phone ya bei kali ukasema hujiwezi. Huyo social worker ataondoka tu na kuacha maagizo kwa nurse huyo anazuga mwambie awatafte ndugu wamchangie.

Waliofanikiwa kutibiwa bure kwa njia hio basi hua ni operation tu dawa utajinunulia ukipata pesa au upimwe vipimo bure siku ukipata pesa utakuja kutibiwa. Unge kuwa una tembea mawodini ndo unge kutana nao hao watu wamelazw mwishoni ata miezi imepita kisa hawana pesa zs kuwatibu

Ni mifumo ilio wekwa ili kuhakikisha serikal haingii hasara .
Na ndo Tatizo la kumchagua waziri wa Afya alie somea ualimu kusimamia sekta ya afya. Timbwili za mule hazijui hata akifanya kazi miaka 100 ndo maana hujawahi kuskia ishu za hivyo zikilalamikiwa bungeni kwa sababu hawakai masaa 24 mahospitalini ku waangalia wagonjwa wanapoingia kutibiwa
waombe JF kupaza sauti kwa serikali labda watasikia kero hii
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimeshuhudia mimi mwenyewe. Nilikuwa na mgonjwa aliyehitaji huduma ya dharura katika hospitali moja ya Wilaya ya Ilala. Tena tumemkimbiza usiku wa saa sita. Tulipofika tu akaanza kupimwa na kutokana na hali aliyokuwa nayo alihitaji kufanyiwa upasuaji usiku uleule.

Kwa kuwa mgonjwa hana Bima tulitakiwa kulipa cash. Cash hatukuwa na kiasi cha kutosha tukaambiwa BILA CASH KULIPWA HAMUWEZI KUPATA HUDUMA. Kuna msamaria mmoja kati ya wale waliopeleka wagonjwa akatueleza twende hospitali fulani.

Tulipofika hospitali ile tukaambiwa mgonjwa wenu tutamfanyia upasuaji na malipo mtayalipa baada ya huduma. Ikawa hivyo. Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuwaumba hawa watu wenye Roho Nzuri na tunawatakia maisha marefu.

Lakini hawa wenye kupenda pesa badala ya kuhurumia wanyonge walipa kodi. Mungu awake thawabu zao. Wasikae na hela maisha yao yote. Amina.
Pesa Yako ndio utu wenyewe
 
Ila wao wakiumwa wanaenda prívate kwa kisingizio cha staff huko alipotola anatoa huduma za ovyo inasikitisha sana na Sio hospital sehemu zote mwendokasi Ona Majibu yao wakiwa hawana chenji wewe ndio ukatafute,,,nida, Nssf ndio balaa wazee wanavyosumbuliwa mpaka huruma wakati hela zao,,,,
 
Hivi Kwanini serikali isiwaajir kwa mikataba pengine ufanisi utaongezeka,,,
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimeshuhudia mimi mwenyewe. Nilikuwa na mgonjwa aliyehitaji huduma ya dharura katika hospitali moja ya Wilaya ya Ilala. Tena tumemkimbiza usiku wa saa sita. Tulipofika tu akaanza kupimwa na kutokana na hali aliyokuwa nayo alihitaji kufanyiwa upasuaji usiku uleule.

Kwa kuwa mgonjwa hana Bima tulitakiwa kulipa cash. Cash hatukuwa na kiasi cha kutosha tukaambiwa BILA CASH KULIPWA HAMUWEZI KUPATA HUDUMA. Kuna msamaria mmoja kati ya wale waliopeleka wagonjwa akatueleza twende hospitali fulani.

Tulipofika hospitali ile tukaambiwa mgonjwa wenu tutamfanyia upasuaji na malipo mtayalipa baada ya huduma. Ikawa hivyo. Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuwaumba hawa watu wenye Roho Nzuri na tunawatakia maisha marefu.

Lakini hawa wenye kupenda pesa badala ya kuhurumia wanyonge walipa kodi. Mungu awake thawabu zao. Wasikae na hela maisha yao yote. Amina.

Mkuu pole sana. Ila usipende kuonewa huruma. Hizo gharama wallioweka possibly siyo hao waliokwambia, ni serikali yako. Usipende kuitwa Mnyonge. Ukishakuwa mnyonge, you are useless and hopeless. Usikubali binadamu yeyote akudefine kwa lolote. Akiku define kama mnyonge, he will place you in any box, where he thinks you can fit.

Tunaposema raia tuwe macho kuiwajibisha serikali ni kwa mambo kama haya. kuna vitu vingi sana vya hovyo vinafanyika, wakati raia tukiwa tunachekelea. Sasa hivi kuna uchaguzi wa serikali za mitaa na bunge next year, wengi tunachukulia powa. lakini hawa watu wanafanya maamuzi makubwa na yenye impact kwenye maisha yetu.

Raia tuamke...
 
Hua wanaitwa pale ambapo mteja atadai hana pesa za kujitibu ili wathibitishe kua ni kweli hajiwezi.
Unazingua hii sio Siri ni upuuzi haya ndio maelezo yao kila wakiitwa kwenye vipindi vya redioni ila in reality hawapo, wote wanataka ulipe pesa ndio upatiwe matibabu labda upate kibari kutoka kwa Waziri, Mbunge au Mkuu wa Mkoa ndio utawapata kinyume na hapo hawapatikani hospitali
 
Back
Top Bottom