Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Ndio inawezekana, yaan hio inakatwa inavalishwa kipira, unatuoia boxer unaendelea na shughuli ikikauka kipira kinaanguka chenyeweAisee na mi naomba nkuulize,, nna ndugu yangu anaenda miaka 30 sasa hajatairiwa,,vp anaweza akafanyiwa ivo na akaendelea na shuhuli zake bila kumuathiri,, maana anahitaji kufanyiwa jambo hili