Thebroker JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 3,334 Reaction score 5,829 Oct 25, 2024 #41 mond_eli said: Aisee na mi naomba nkuulize,, nna ndugu yangu anaenda miaka 30 sasa hajatairiwa,,vp anaweza akafanyiwa ivo na akaendelea na shuhuli zake bila kumuathiri,, maana anahitaji kufanyiwa jambo hili Click to expand... Ndio inawezekana, yaan hio inakatwa inavalishwa kipira, unatuoia boxer unaendelea na shughuli ikikauka kipira kinaanguka chenyewe
mond_eli said: Aisee na mi naomba nkuulize,, nna ndugu yangu anaenda miaka 30 sasa hajatairiwa,,vp anaweza akafanyiwa ivo na akaendelea na shuhuli zake bila kumuathiri,, maana anahitaji kufanyiwa jambo hili Click to expand... Ndio inawezekana, yaan hio inakatwa inavalishwa kipira, unatuoia boxer unaendelea na shughuli ikikauka kipira kinaanguka chenyewe
maranguvillage JF-Expert Member Joined Sep 8, 2023 Posts 935 Reaction score 2,096 Oct 25, 2024 #42 Nenda kwa Ngariba mkuu. Chapu tu mjomba wetu anakuwa Mwanaume
M mond_eli New Member Joined Dec 14, 2018 Posts 2 Reaction score 0 Nov 4, 2024 #43 and 300 said: Dr abbas anatahiri vizuri tu Click to expand... Ndo anapatikana wapi uyu?