Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

Nimesoma Tosamaganga miaka sita yaani kutoka kidato Cha kwanza mpaka Cha sita sijawahi sikia hilo. Na tulikuwa tunauguzana yaani classmate wako akiumwa tunapeana zamu alafu full kuzurula USIKU magengeni, ila sijawahi sikia ama kuona hili usemalo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoa mada toa fact za ushahidi ulioonekana ili tuamini.
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa

Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
dah aise..
hii ulisimuliwa, inasemekana au uliwahi kwenda mpka pale, na ukanusurika kupotea au unaogopa kupotea?

na hao waliokusimulia wapo na walinusurika kupotea?🐒

vp wajenzi wa hiyo hospitali nao walipotea, akina nani hupeleka vifaa tiba eneo hilo na je waliwahi kupotea 🐒

unadhani ni tangu lini matukio kama hayo yanatokea eneo hilo 🐒

unadhani ni zaidi ya watu wangap wanaweza kua wamehusika kati kasumba hiyo 🐒

na jee, unadhani ni ushirikina au uchawi 🐒

unaweza kuelezea handaki kwa ufupi 🐒
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa

Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
Hizi ni Hekaya za Abunuwasi.
 
Hizi ni Hekaya za Abunuwasi.
Nakazia hoja. Mara nyingi masimulizi kama hayo huwa yanalengo kuu la kuwaogopesha/kuwatisha watu ili wale wanaopeleka wagonjwa wao pale wawe na nidhamu ya utulivu kuzingatia kilichowapeleka hapo yan kumwuguza mgonjwa wao na sio tena kujitumbukiza kwenye kuzurura nje usiku. Je , unatoka nje kwenda kufanya nini ilhali vyoo vipo humo ndani na umekuja hapo kwa kazi moja tu ya kumuuguza mgonjwa wako? Tulia na acha kusumbua watu wengine na wagonjwa pia bila kusahau na Wahudumu wa matibabu Dokta na Manesi.
 
Hizi story zako hata haziaminiki 😂😂 yan mtu apoteze mama mkwe, mke na mtoto kirahisi tu, tena mtu mwenye gari ? Si angewajazia polisi huko,

Tafuta story nyingine 😂😂😂😂 hizi ndo zile hakuna anaeweza nyanyua fimbo ya Nyerere 😂😂😂
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa

Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?


Story za Abunuwasi, na ni dharau kwa serikali kuongea haya mambo ambayo najua serikali tungeshughulika nayo.
 
Story za Abunuwasi, na ni dharau kwa serikali kuongea haya mambo ambayo najua serikali tungeshughulika nayo.
Yap! Na mtoa mada asipokuwa mwangalifu wakati mwingine anaweza kutakiwa atoe ushahidi au athibitishe hilo kwani Hospitali ni Taasisi nyeti - Sio vizuri na haikubaliki kuizushia mambo na kuipaka matope ilhali inashughulikia mustakabali wa Afya za watu kwa nia njema kabisa.
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa

Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
Stori za vijiweni.

Kwamba mtu mzima anapotezwa ili viungo vyake vitumike kutibu wagonjwa?
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa

Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
JamiiCheck watusaidie kwa hili
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa

Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
Bullshit ...
 
Kama wagonjwa na wahudumu upoteaa tu wewe unabakia hapo kufanya nn au kwenda kutibia kwa lipi Kama hbr za kupoteaa kwa watu una,zijuwa
 
Back
Top Bottom