Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

Hii kitu ni kweli kabisa kwa hapa ipamba kuna jamaa alikuja na mke wake apate kujifungua sasa mke akaingia labour, jamaa akatoka usiku kwenda kumletea chakula mke wake na akurudi mbak leo hii, mke analia na jamaa ndio kapotea hivy, kuna vitu vya ajabu sana hapo.
 
Huyu mleta mada ana IQ ndogo sana na ni mzushi. Watu kama hawa wanatakiwa kukamatwa wathibitishe huu upuuzi wao na stories zao za kutengeneza na kuzua taharuki
 
Hii kitu ni kweli kabisa kwa hapa ipamba kuna jamaa alikuja na mke wake apate kujifungua sasa mke akaingia labour, jamaa akatoka usiku kwenda kumletea chakula mke wake na akurudi mbak leo hii, mke analia na jamaa ndio kapotea hivy, kuna vitu vya ajabu sana hapo.
Ndg wameshindwa kuchukua hatua yoyote hata Ku ripoti polisi? Acha uzushi wewe
 
Tosamaganga famous school miaka ilopita. Walosoma maeneo hayo wanaweza kusaidia kufafanua endapo kweli ama sio kweli
Mimi nimesoma hapo Tosa miaka hiyoo kitambo sijasikia hii kitu.

Zitto Kabwe na wengine wengi wamesoma hapo sijawasikia wakilalamikia hizi habari.
Labda ni matukio ya miaka ya karibuni.
 
Hii kitu ni kweli kabisa kwa hapa ipamba kuna jamaa alikuja na mke wake apate kujifungua sasa mke akaingia labour, jamaa akatoka usiku kwenda kumletea chakula mke wake na akurudi mbak leo hii, mke analia na jamaa ndio kapotea hivy, kuna vitu vya ajabu sana hapo.
Mwaka gani?
Vijana wetu wanaosoma Tosa boys so watakwisha?
Wanafuata mademu wanafunzi wa uuguzi hapo Ipamba, Tena wakati mwingine hutoroka shule usiku mkubwa kwenda Ipamba.
 
Nipo Iringa na sijawahi kusikia hii issue
Na nimeuguza wagonjwa hapo na mimi kutibiwa pia

[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa

Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
Tanzania hii hii?
 
Huu ni uchochezi na story za kwenye kahawa... Mimi nimezaliwa maeneo hayo.. Nimekulia maeneo hayo.. Nimejenga maeneo hayo hayo.... Familia-ukoo uko upo maeneo hayo...

Hizi story zinatoka kwenye midomo ya wachawi!!!!!
 
Tosamaganga famous school miaka ilopita. Walosoma maeneo hayo wanaweza kusaidia kufafanua endapo kweli ama sio kweli
Binafsi nimesoma kule miaka ya tisini mwishoni mpk elfu mbili mwanzoni ni kweli hata sisi kwa miaka hiyo tulikuwa tukisikia hayo mambo hivyo inawezekana kweli kukawa kuna ukweli wa hilo na ukizingatia haya mambo ya mahospitali na mambo ya kishirikina ni mambo yanayokwenda sambamba

Nb.Nashukuru kwa kipindi chote nilichosoma pale sikuwahi kulazwa pale wala kuugua ugonjwa serious🙏
 
Mi nimezaliwa iyo Hosp. Na nimesoma Lyalamo na Tosa. Sijawahi sikia iyo story. We ulisoma enzi za Mkangwa.
Daah!
Mkangwa Kama namuona mwili mkubwa "wanaumee mpo?"
Alinicharaza bakora ya kichwani yule mdingi siyo poa.
All in all alikuwa mtu poa sana.
 
Ipamba kwa manesi?[emoji3][emoji3] tulikuwa tunapunguza upwiru kwa manesi hapo. Kidogo tu nimpate sister X, wakamhamisha, sister mwingine akaanza kunishauri nisivute bangi!. Anyways, hiyo story imekaa kiuongo tu, maana hapo Ipamba kuna kituo cha Polisi, wameshindwa kufuatilia matukio hayo kama yapo?. Ni uongo, baadhi ya wahehe wana tabia ya kutengeneza uwongo uwongo. Enzi hizo tulikuwa tunazunguka tu kote hadi mto ruaha humo, kweny makaburi ya mapadri huko chini, kweny mashamba ya mabrother huko wanalima miwa tulikuwa tunazama tu humo kula mapera. Hakuna matukio ya namna hiyo
 
Ulishiriki maandamano ya kumtoa Pap2?, au wewe ni wale waliokimbilia saadani [emoji3]
Nashindwa kuelezea zaidi sababu ya kuficha utambulisho wangu.
Sikushiriki katika hayo yote na sikuwepo wakati wa matukio hayo.
 
Back
Top Bottom