Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

.
images - 2024-03-10T190459.157 (1).jpeg
 
Waaaapi; Huku kilabuni tunajinywea Ulanzi na esp. hapa Kitelewasi tunakula nyapula hatunaga hizo stori zisizo na mbele wala nyuma.
Nyie wa kitelewasi mpo ok, namzungumzia huyu jamaa wa kilabu cha sambuliti pale mlandege
kanywa komoni analeta story za ajabu
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha.

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana.

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa.

Je, matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
Hii ni imani potofu kama zile za wanyonya damu. Mambo ya kizamani sana haya. Mkiambiwa muweke majina ya waliowahi kupotea, ndugu zao na anuani za makazi yao mnawajua?
 
Mbona kama inafanana na Ile movie ya Leonard di Caprio ,A cure for wellness?
 
Mimi nimesoma hapo Tosa miaka hiyoo kitambo sijasikia hii kitu.

Zitto Kabwe na wengine wengi wamesoma hapo sijawasikia wakilalamikia hizi habari.
Labda ni matukio ya miaka ya karibuni.
Mimi nimefundisha Tosa na nimeuguza wagonjwa wengi pale na tuna connection ya waliofanya kazi Ipamba Tanesco lakini hatujawahi kupata taarifa hii
 
Hizo habari ni za kweli, lakini huwa ni kama za siri sana kwani hata ikitokea huwa hakuna kwa kulalamika kutokana na mazingira ambayo watu huwa wanapotea.
Wapo wenyeji wenye uwezo wa kuthibitisha uwepo wa matukio hayo hasa wale wa mazingira ya vijiji vya jirani (Njiapanda, Kitwiru, Tanangozi, Mlolo, Ng'eza, Nyabula, Ikuvilo, Tagamenda na vingine)
Watu hupotea kimya kimya mithiri ya kutekwa vile.
 
Sijui kwa Nini Nyerere hospitali ya machizi aliweka Dodoma na hapo hapo pakawa na bunge na ikulu
Nyerere hakuiweka hospitali Dodoma.

Hiyo Hospital imejengwa na waingereza mwaka 1927 ikaanza kazi kupokea wagonjwa wenye matatizo ya akili kutoka sehemu mbalimbali za Tannganyika.
 
Nimesoma Tosamaganga 2009-2011 sijawahi sikia ilo swala
Hizi habari hazipo mashuleni, bali zipo mtaani hasa kwa watu wazima. Mata nyingi mtu anapoenda kuuguza mgonjwa wake kule hupewa tahadhari na wanaofahamu.
Wanafunzi wanavokuwa shuleni ni wachache sana ambao hupata habari za uraiani hususani wanafunzi wa shule za bweni kama Tosamaganga
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha.

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana.

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa.

Je, matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
 
 
Back
Top Bottom