Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

Tetesi: Hospitali ya Ipamba wagonjwa na wauguzi hupotea tu

Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha.

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana.

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa.

Je, matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
Nimeisoma mara mbili bado sijaelewa.
Wageni wanaokwenda pale wanakufa. Wahudumu pia wanakufa.
Sasa,lawama( zako) zinaelekezwa kwa nani?
 
Nishawahi sikia hizo story ila za zamani sana kipindi cha wanyonya damu.
 
Nimesoma tosamaganga 6 yrs na nilikuwa naenda Sana ipamba kwa kuwa ndo hosptl wanayotibiwa wanafunzi pua... Sijawah sikia hii kitu.. Ndo Naona hapa...
 
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha.

Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana.

Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?

Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.

Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.

Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa.

Je, matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
We jamaa muongo sana, umedhamiria kuichafua Hospitali na Mkoa mzima. Niliwahi kulazwa pale na kamwe sijawahi kusikia na wala hakuna tukio lililotokea kipindi chose nilichokuwa pale. You need to do research before publishing such a thing. Hospital ya Ipamba imepanda hadhi na kuwa Referral Hospital, inatibu kwa mionzi wagonjwa wa cancer. Tuheshimu biashara na huduma za mashirika ya dini.
 
Back
Top Bottom