Ndg wameshindwa kuchukua hatua yoyote hata Ku ripoti polisi? Acha uzushi weweHii kitu ni kweli kabisa kwa hapa ipamba kuna jamaa alikuja na mke wake apate kujifungua sasa mke akaingia labour, jamaa akatoka usiku kwenda kumletea chakula mke wake na akurudi mbak leo hii, mke analia na jamaa ndio kapotea hivy, kuna vitu vya ajabu sana hapo.
Mimi nimesoma hapo Tosa miaka hiyoo kitambo sijasikia hii kitu.Tosamaganga famous school miaka ilopita. Walosoma maeneo hayo wanaweza kusaidia kufafanua endapo kweli ama sio kweli
Mwaka gani?Hii kitu ni kweli kabisa kwa hapa ipamba kuna jamaa alikuja na mke wake apate kujifungua sasa mke akaingia labour, jamaa akatoka usiku kwenda kumletea chakula mke wake na akurudi mbak leo hii, mke analia na jamaa ndio kapotea hivy, kuna vitu vya ajabu sana hapo.
Waaaapi; Huku kilabuni tunajinywea Ulanzi na esp. hapa Kitelewasi tunakula nyapula hatunaga hizo stori zisizo na mbele wala nyuma.Hii ni moja ya story za vijiwe vya kahawa.....ila Kwa Iringa hizi ni story za kilabuni
Tanzania hii hii?Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au unapigiwa simu uende umepelekee mgonjwa chakula ukitoka kwenda jikoni umekwisha
Ukikataa kwenda ndio pona yako na kesho ukienda ukimuuliza mgonjwa wako kama alikua anahitaji msaada wowote anakujibu hapana
Swali: Je Hili tatizo serikali inalijua au Ndio serikali yenyewe ndio inafanya au ndio Organ trafficing?
Sababu kuna tetesi za kuwepo kwa handaki ambapo watu hutekwa kwenda kuchukuliwa viungo mbali mbali kwa matumizi mbali mbali ya kimatibabu.
Kuna Mgonjwa alienda pale na Mke kujifungua, Mama Mkwe, Mama ake Na Mke wote wakapotea Kila muhudumu akiulizwa ushirikiano zero jamaa aliacha mbwa wake na gari pale nje akaondoka mbwa hali wala hanywi kalala uvunguni mwa gari Mzungu kajipendekeza kusogeza gari pembeni akafa na kila baada ya muda wahudumu wakawa wanakufa kila aliyehusika na tukio baada ya kuwamaliza jamaa alirudi kuchukua mbwa na gari lake.
Washikaji zangu walienda kumuuguza mama yao Walikimbizwa usiku speed yao ndio iliwaokoa
Je matukio kama haya nani anahusika au ndo biashara za Vigogo?
Lisemwalo lipo😁Mwaka gani?
Vijana wetu wanaosoma Tosa boys so watakwisha?
Wanafuata mademu wanafunzi wa uuguzi hapo Ipamba, Tena wakati mwingine hutoroka shule usiku mkubwa kwenda Ipamba.
Mi nimezaliwa iyo Hosp. Na nimesoma Lyalamo na Tosa. Sijawahi sikia iyo story. We ulisoma enzi za Mkangwa.Nimesoma hapo Tosa 2003-2005. Na nilishalala hapo Ipamba, zamu ya kumuuguza classmate. Sikuwahi kusikia hii.
Binafsi nimesoma kule miaka ya tisini mwishoni mpk elfu mbili mwanzoni ni kweli hata sisi kwa miaka hiyo tulikuwa tukisikia hayo mambo hivyo inawezekana kweli kukawa kuna ukweli wa hilo na ukizingatia haya mambo ya mahospitali na mambo ya kishirikina ni mambo yanayokwenda sambambaTosamaganga famous school miaka ilopita. Walosoma maeneo hayo wanaweza kusaidia kufafanua endapo kweli ama sio kweli
Daah!Mi nimezaliwa iyo Hosp. Na nimesoma Lyalamo na Tosa. Sijawahi sikia iyo story. We ulisoma enzi za Mkangwa.
Ulishiriki maandamano ya kumtoa Pap2?, au wewe ni wale waliokimbilia saadani [emoji3]Daah!
Mkangwa Kama namuona mwili mkubwa "wanaumee mpo?"
Alinicharaza bakora ya kichwani yule mdingi siyo poa.
All in all alikuwa mtu poa sana.
Nashindwa kuelezea zaidi sababu ya kuficha utambulisho wangu.Ulishiriki maandamano ya kumtoa Pap2?, au wewe ni wale waliokimbilia saadani [emoji3]