MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Ulishawai peleka Mgonjwa?Huduma mbovu ,watu wanakufa sana kisa eti wanatibiwa na wanagunzi
Jibu swali mkuu,achana na kusikia mimi nishauguza mgonjwa hapo ndio maana nimekuuliza usilete story za vijiweniHujawahi sikia malalamiko?
Nan alikuambia intern ni mwanafunzinilipeleka mgonjwa Ijumaa, wanafunzi wa intern ndiyo walikuwa wanampa huduma ya kwanza
kuwauliza doctor(ambaye si mwanafunzi) yuko wapi wakajibu atakuja JumaNne
Jumamosi jioni mgonjwa anafariki
hakuna matibabu pale, kinachotolewa na wale interns ni huduma ya kwanza tu
Unataka upewe majibu ili uyafanyie nn majibu ni kwa ajili ya wahudumu wajue shida wamsaidie mgonjwa ww kujua majibu ni umbea tuMimi hospital yangu ni kcmc tu basi hizo zingine mnajuwa wenyewe. Kcmc Wana kubembeleza wanakupetipeti Hadi unatamani uongezwe siku za kulazwaππ
Bugando Hadi Dr aje kukuona asee umepamban mnoo wengi Huwa wanakimbia tu
Γray kupewa majibu unaweza sota wiki sio ajabu
Sasa Hivi hata kama na umwa UTI tu huyoo kcmc
Ww ndo umeelewa sasaNilisikia ukipelekwa hapo haurudi ukiwa Mzima au ndio Siasa unazozisema?
Tupe experience yako kuhusu mloganzilaUtarudi ukiwa Maiti maana mpaka Maiti wanataka wazifanyie majaribio zinaonekanaje
Ww ulikuwa wapi na ilikuwajeAlipangiwa Wapi VIP room? Maana unaweza ukawa unasemasema tu wenzio wanaosota kwenye Meli ya Kijeshi ya waChina kule hawajui Mloganzila ilipo?
Sasa nikupe siri ukiona unapetiwa ujue hiyo ni palliative care wanakuwaga ukipona mshukuru sana MUNGUKwamba ukienda pale Kifo Mkononi, Mimi sio Mloganzila tu hospital yoyote nikienda nikiona Dokta na Manesi hawanipetipeti najua hapa Muda wowote nakufa Hawa wataishia kuniangalia tu hivi mwisho wanifunike lile shuka la blue au Jeupe
Agha Khan wanatibu wateja siku ukiwa mgonjwa watakupa rufaa utakuja ya serikali muhimbiliSjafika hospital ya serikali Kwa Zaid ya miaka 20 .
Natibiwa Agha khan Zaid.
Hawa jamaa ni Bora sana
Nitajie hospital ambayo ukienda hatutakutana na wanafunziWanapelekwa hapo wakiamini watakutana na mabingwa kumbe ni tofauti wanaenda kukutana na wanafunzi ambao wapo lab kwa hio ikifika mtu IPO dhofurihali wanaiona km Maiti fulani hivi imefika kwenye mafriji ya mochwari kiufupi wale wanafunzi wamekula Mafunzo ya kukaa mochwari zaidi kuliko kuokoa Uhai wa watu
KWANINI waseme majibu hayajatokaUnataka upewe majibu ili uyafanyie nn majibu ni kwa ajili ya wahudumu wajue shida wamsaidie mgonjwa ww kujua majibu ni umbea tu
Nna Mwaka wa 15 huu sijawahi kukanyaga hospitalTupe experience yako kuhusu mloganzila
Ukijiona mfalme ww unakuwa huumwi unakuwa unajiskia vibaya tuKm mfalme fulani nimeingia hospital
Ndio treatment iwe ya kifalmeUkijiona mfalme ww unakuwa huumwi unakuwa unajiskia vibaya tu
Sasa hujawahi kukanyaga hospital unasemaje huduma ni mbovuNna Mwaka wa 15 huu sijawahi kukanyaga hospital
Kwa sababu ni mbovuSasa hujawahi kukanyaga hospital unasemaje huduma ni mbovu
Ubovu wake umeuonajeKwa sababu ni mbovu
WanafunziUbovu wake umeuonaje