Kwani hilo ni kanisa au ni Hospitali.Au unataka kwavile ni hospitali ya kanisa itoe huduma bure?.Hakunaga kitu kama hicho duniani.kwahiyo baki na hiyo dini yako hewa.Haya ndo makanisa yanajifanya ya mungu dini ni moja tu japo inapigwa vita sana
Covid-19 alazwe miezi miwili on oxygen!!?Updates: Confirmed, ni Mama mtu mzima zaidi ya miaka 60 ambaye kwa sera ya wizara ya afya alipaswa kutibiwa kwa bima lakini pamoja na bima anadaiwa zaidi ya milioni 30 kutokana na kuwekewa oxygen kwa zaidi ya miezi miwili aliyolazwa hospitalini hapo.
Kitengo Cha uhasibu, menejimenti ya hospital ambayo ina viongozi wa dini pia ndiyo inayofanya haya. Tatizo la kukataliwa dhamana ni mgongano wa kisheria uliopo kwamba deni si la familia Bali ni la Marehemu hivyo kuliamishia kwa familia itasumbua kulipa.
Uongozi wa serikali wamekaa kimya na baadhi wameungana na Hospitali hiyo kwamba kinachofanyika ni sahihi. Kwa Mimi nadhani tatizo hizo hili la matumizi ya gesi ni kubwa kutokana na COVId na wanaopata changamoto hizi ni wazee zaidi. Endapo serikali itaendelea kujitenga na gharama za matibabu ya covid familia nyingi zitaongia mgogoro na serikali pamoja na Hospitali.
Wizara ya Afya najua mnaelewa mkasa huu kwa sababu naambiwa familia hiyo imeripoti serikalini zaidi ya wiki na nusu Sasa na hakuna hatua.
Awali nilidhani Hospitali ndiyo ina makosa kumbe ni msimamo wa baadhi ya viongozi japo unapingana na tamko la serikali. Nani yupo sahihi? Msimamo wa serikali, msimamo wa hospital na ofisi za Wilaya serikali Wilaya?
Naendelea kuchimba ntaleta majina ya mhusika na eneo exactly msiba ulipo ili vyombo vya habari vifike kuanika ukweli
Seliani n moja ya hospital zilizo chini ya umiliki wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania zingine n Hydom-Manyara, Nkoaranga-Arusha, Machame-Kilimanjaro, Kcmc-Kilimanjaro, zipo nyingine karatu, Mwanza bukoba na kwingineko.Usipende kuongea usiyoyajua ilimradi tu yakutoke. Hiyo sio hospital ya kanisa, ni jengo ndio mali ya KKKT ila imepangishia wengine wakaweka hospital.
Nakubaliana kwamba hiyo hospital ipo zaidi kifedha watu hapo wanajali zaidi fedha kuliko utu.
Hiyo dini moja tu inayopigwa vita sema hapa kama mwakilishi wake unadhani deni zaidi ya Tsh 30 millions ingeweza kulifidia vipi ili hiyo taasisi iendelee kuhudumia jamii kesho?Haya ndo makanisa yanajifanya ya mungu dini ni moja tu japo inapigwa vita sana
Nipo kwenye kona hapa nasubiri jibuFamilia ikishindwa kulipa deni hatima ya mwili wa marehemu ni nini?
Hali Ni mbaya, serikali inakopa trilion na moja ya kipaombele Cha hizo fedha Ni kununua gesi, je gesi zikinunuliwa gharama itapungua?Ni kweli..na hiyo familia imeamua kuuza nyumba iliyopo kikatiti ili walipe gharama wanazodaiwa.....bado nyumba hiyo haijapata mteja
Aliyefariki Ni mwana CCM. Chadema hawatakubali adui yao asilipiwe hela.Najua wengi mtakimbilia KUSEMA au mnawaza itakuwa ya wakatolik ila jamani sio,. ni ya LUTHERAN
Marehemu atalipaje?Dawa ya deni ni kulipa.
We ndo mala ya kwanza kuona maiti imezuliwa? Nenda muhimbili kaulizie. Vitaarifa vya kichonganishi sana eti inamilikiwa na kanisa.Nimepata Taarifa kutoka kwa familia moja ambao wameoa huko Mkoani Arusha zikisema walipata msiba wa Mkwe zaidi ya wiki Sasa lakini mazishi hayajafanyika kwa sababu Hospitali inadai haitotoa mwili hadi walipwe deni la matibabu. Taarifa zinadai wanafamilia wamepeleka zaidi ya nusu ya fedha na hati za nyumba lakini Hospitali imekataa kutoa mwili.
Hii inatokea siku chache baada ya Viongozi wa awamu ya sita kupiga marufuku utaratibu huu wakutoa adhabu kwa Marehemu au kulazimisha familia kulipa frdha ambazo kiukweli awana uwezo nazo.
Nazidi kufuatilia jina la wahusika na viongozi waliohusika kupingana na maelekezo ya Mhe. Rais na ntawaweka adharani hapa pale ntakapofanikiwa kupata Taarifa rasmi.
Aidha, ni wakati muafaka wizara ya Afya kufuatilia kadhia hii ambayo naambiwa imeripotiwa kwa mkuu wa Wilaya na Mganga mkuu na hakuna hatua walizochukua Hadi Sasa. Wizara mnapaswa kusimamia kwa vitendo maelekezo ya Mhe Rais ikiwezekana mkatoa mwongozo wa Nini hospital binafsi na hospital za serikali zifanye pale wanapobaini deni la mgonjwa linaongezeka kuliko kung'ang'ana na mwili wa Marehemu ambao kwa vyovyote vile hautaweza kulipa hizo gharama.
Lakini pia taasisi za dini angalieni utaratibu huu mnaotumia kwenye taasisi zenu
Hiyo hosp ya Arusha kuna matukio 2 ya kuhusu BILI kubwa za oxygen baada ya mtu kufariki nimezisikia.More updates: Msiba upo Kijiji Cha Ulonga karibu na Tengeru, familia ilipata bill ya milion 38+ baada ya ndugu yao kufariki
Wakalipa 20M wakakataliwa kuchukua mwili hata baada ya kupeleka nyaraka za nyumba Kama dhamana
Walikuwa wanatumia bima ya NHIF wakiamini inacover kila kitu hivyo awakujua Kama wanadaiwa, walipokwenda kuchukua mwili wakiwa tayari wameshakamilisha tartibu za mazishi ikiwemo kuchimba kaburi ndipo walipojulishwa kwama kitengo Cha uhasibu wanadai mgonjwa wao hakutibiwa kw gharama za bima na hivyo gharama wanazotakiwa kulipa Ni milioni 38.
Kwa taarifa hizi za ndanu ya familia inabidi tujue bima ya NHIF inatibu vitu gani?
Mgonjwa anadaiwa kukaa hospitalin hapo kwa miezi miwili muda mwingi akitumia oxygen means gharama kubwa zilikuwa za oxygen na hospital inadai bima ailipii oxygen.
Lakini pia inaelezwa hii siyo familia ya Kwanza, watu wengi wanaotibiwa kwenye hospital hiyo uishia kuuza Mali kutokana na gharama. Mnaofahamu hospital hii tusaidieni kujua inavifaa gani vizito hivyo?
Tumeshuhudia wagonjwa wakipelekwa Hadi India kwa gaharama za milioni ishiri na utibiwa na kurudi.
Hii milioni 38 kwa mgonjwa ambaye yupo kwenye uangalizi tu inatokana na huduma gani zaidi ya matibabu?
Tunaomba tupate elimu ili tujue namna ya kukabiliana na changamoto Kama hizi, unalazwa hospital miezi miwili unalipa milion 40+? Hii hospital ina hadhi gani kubwa kwa gharama hizi?
Dawa ya deni ni kulipa. Hata kama ni taasisi ya kidini, madam inajiendesha kibiashara, ni lazima ikusanye mapato. Tusitake vya bure kwa kichaka cha hudua za taasisi ya kidiniLakini pia taasisi za dini angalieni utaratibu huu mnaotumia kwenye taasisi zenu
Atazikwa na wafungwa pasipojulikanaFamilia ikishindwa kulipa deni hatima ya mwili wa marehemu ni nini?