Tetesi: Hospitali ya Seliani Arusha inayomilikiwa na Kanisa yazuia mwili wa Marehemu wakidai walipwe fedha za matibabu cash

Tetesi: Hospitali ya Seliani Arusha inayomilikiwa na Kanisa yazuia mwili wa Marehemu wakidai walipwe fedha za matibabu cash

We ndo mala ya kwanza kuona maiti imezuliwa? Nenda muhimbili kaulizie. Vitaarifa vya kichonganishi sana eti inamilikiwa na kanisa.
Hiyo hospitali haisemwi vizuri linapokuja suala za bili za marehemu.

Nimeshashuhudia msiba mpaka watu wakawa wanashangaa sana kuhusu bili alizoacha marehemu kwa siku kama nne tu nafikiri alizokaa hapo ambapo alifika mwenyewe akiwa anaendesha gari akawa anajisikia vibaya akaenda kupima hapo.

Akaambiwa inabidi awekewe sijui oxgyen, mara ICU mara kafariki.

Bili sasa ndo ilishtua watu kwamba kijana wa miaka 30's mmepima nn na kutoa huduma gani kutoa bili kubwa hivyo ndani ya muda mfupi?
 
Nimepata Taarifa kutoka kwa familia moja ambao wameoa huko Mkoani Arusha zikisema walipata msiba wa Mkwe zaidi ya wiki Sasa lakini mazishi hayajafanyika kwa sababu Hospitali inadai haitotoa mwili hadi walipwe deni la matibabu. Taarifa zinadai wanafamilia wamepeleka zaidi ya nusu ya fedha na hati za nyumba lakini Hospitali imekataa kutoa mwili.

Hii inatokea siku chache baada ya Viongozi wa awamu ya sita kupiga marufuku utaratibu huu wakutoa adhabu kwa Marehemu au kulazimisha familia kulipa frdha ambazo kiukweli awana uwezo nazo.

Nazidi kufuatilia jina la wahusika na viongozi waliohusika kupingana na maelekezo ya Mhe. Rais na ntawaweka adharani hapa pale ntakapofanikiwa kupata Taarifa rasmi.

Aidha, ni wakati muafaka wizara ya Afya kufuatilia kadhia hii ambayo naambiwa imeripotiwa kwa mkuu wa Wilaya na Mganga mkuu na hakuna hatua walizochukua Hadi Sasa. Wizara mnapaswa kusimamia kwa vitendo maelekezo ya Mhe Rais ikiwezekana mkatoa mwongozo wa Nini hospital binafsi na hospital za serikali zifanye pale wanapobaini deni la mgonjwa linaongezeka kuliko kung'ang'ana na mwili wa Marehemu ambao kwa vyovyote vile hautaweza kulipa hizo gharama.

Lakini pia taasisi za dini angalieni utaratibu huu mnaotumia kwenye taasisi .
Hii inatokea siku chache baada ya Viongozi wa awamu ya sita kupiga marufuku utaratibu huu wakutoa adhabu kwa Marehemu au kulazimisha familia kulipa frdha ambazo kiukweli awana uwezo nazo.

Nazidi kufuatilia jina la wahusika na viongozi waliohusika kupingana na maelekezo ya Mhe. Rais na ntawaweka adharani hapa pale ntakapofanikiwa kupata Taarifa rasmi.

Aidha, ni wakati muafaka wizara ya Afya kufuatilia kadhia hii ambayo naambiwa imeripotiwa kwa mkuu wa Wilaya na Mganga mkuu na hakuna hatua walizochukua Hadi Sasa. Wizara mnapaswa kusimamia kwa vitendo maelekezo ya Mhe Rais ikiwezekana mkatoa mwongozo wa Nini hospital binafsi na hospital za serikali zifanye pale wanapobaini deni la mgonjwa linaongezeka kuliko kung'ang'ana na mwili wa Marehemu ambao kwa vyovyote vile hautaweza kulipa hizo gharama.

Lakini pia taasisi za dini angalieni utaratibu huu mnaotumia kwenye taasisi zenu
ni wakati gani unaiamini na kuihitaji serikali ms Kamugisha?

Je rules za private sector unazijua?
 
Mlipe deni mlichagua kwenda hospital binafsi mkiamini huduma ni bora sasa kwa nini hamtaki lipia huduma iyo.

Serikali yetu inakosa vipaumbelee sana. Swala la bima ya afya walipigia debe kisa kampenj za urais ila sahivi kila mmoja kimya. Pesa ya mkopo wa imf wangeweza kuweka kwenye afya inge boost sana ila ndio ccm hao.
 
Kwani walilazimishwa kumpeleka huko private, bado sielewi msingi wa hizi lawama. Hizo gharama mnataka nani azilipie?
 
Back
Top Bottom