Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Heads need to roll, period! Kama wahusika ni wafanyakazi wa spitali.

Na sijui utaratibu ni upi, ila simu na other electronic recording devices lazima zipigwe marufuku kwenye sehemu kama hizo.

Totally unacceptable.
 
Heads need to roll, period! Kama wahusika ni wafanyakazi wa spitali.

Na sijui utaratibu ni upi, ila simu na other electronic recording devices lazima zipigwe marufuku kwenye sehemu kama hizo.

Totally unacceptable.
'Spitali' ndio nini?

Wewe kama nani kuzuia hivi vifaa vya kielektroniki?!
 
Heads need to roll, period! Kama wahusika ni wafanyakazi wa spitali.

Na sijui utaratibu ni upi, ila simu na other electronic recording devices lazima zipigwe marufuku kwenye sehemu kama hizo.

Totally unacceptable.
Ingekuwa huko kwenu kuna mtu angejiuzulu kwa kashfa hii.

Lakini sishangai hata wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa hayati Magufuli kuna mtu alipiga picha na walinzi wako pale pale kisha akaisambaza mitandaoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…