Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Je ICU haina uangalizi kwamba watu wanajiingilia tu na kufanya yao au Madaktari ndio wanafanya haya ?Ni jambo jema kutolea ufafanuzi mapema
'Spitali' ndio nini?Heads need to roll, period! Kama wahusika ni wafanyakazi wa spitali.
Na sijui utaratibu ni upi, ila simu na other electronic recording devices lazima zipigwe marufuku kwenye sehemu kama hizo.
Totally unacceptable.
Fungua kamusi ya Kiswahili sanifu ujifunze kuhusu spitali!'Spitali' ndio nini?
Wewe kama nani kuzuia hivi vifaa vya kielektroniki?!
Kazi anayofanya huyo dada wa Taifa ni ile ile tangu enzi za JPM, tuendelee tu kufurahia,
Kwamba tuache tu uchafu huu uendelee siyo?Binafsi nisingependa huwe mjadala hata hivyo....
Cut the long shit shortFungua kamusi ya Kiswahili sanifu ujifunze kuhusu spitali!
Huh???Cut the long shit short
Hakuna aliyewahi kupambana na Chadema akashindaKazi anayofanya huyo dada wa Taifa ni ile ile tangu enzi za JPM, tuendelee tu kufurahia,
[emoji120]
Huyu Mange Kimavi ni shida sana pamoja na hao wanaomtumia hizo clips.
Kumbe Mange Kimavi ndio CDM yenyewe au?Hakuna aliyewahi kupambana na Chadema akashinda
Ingekuwa huko kwenu kuna mtu angejiuzulu kwa kashfa hii.Heads need to roll, period! Kama wahusika ni wafanyakazi wa spitali.
Na sijui utaratibu ni upi, ila simu na other electronic recording devices lazima zipigwe marufuku kwenye sehemu kama hizo.
Totally unacceptable.