Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Hakuna aliyewahi kupambana na Chadema akashinda

Hapa ndio unapokosea kudhani hili ni swala la chadema badala ya kusema ni swala la kudhalilisha utu wa watu au mtu!

Kwa hiyo unataka kusema umeguswa kwakuwa aliyefanyiwa ni mwanachadema?

Ninyi ndio mmelea hili tatizo! Kwa hiyo asingekuwa mwanachadema amefanyiwa haya wewe usingelilalamika?
 
Wao ndio wana majukumu ya kulinda privacy zetu na lolote likitokea ni wao
Lazima wawe wapole tu
 
huo ni utaratibu wa aga Khan.

Ila Mimi nakumbuka mwaka 2015 niliingia kumuona babu yangu muhimbili pale.

nilipotoka mule ndani nilipigwa baridi ya ghafla.sikutaka kuingia tena kumuona mpaka anafariki
Kwa mfano agakhan ndugu wanaoingia ICU wanasajiliwa ili likitokea la kutokea ijulikane nani aliingia siku hiyo!
 
25B6D586-A21A-485F-82EA-EFF806DDE884.jpeg
 
huo ni utaratibu wa aga Khan.
Ila Mimi nakumbuka mwaka 2015 niliingia kumuona babu yangu muhimbili pale.
nilipotoka mule ndani nilipigwa baridi ya ghafla.sikutaka kuingia tena kumuona mpaka anafariki
Mambo yamebadilika sana bwashee.

ICU akiingia mchawi mgonjwa haunaye ndio maana siku hizi wanadhibiti sana.

Waliompiga picha Jay watakuwa wahudumu wa hospital tu.
 
Muhimbili kusema video haijarekodiwa na kusambazwa na “hospital” haipo wazi!

Hii inamaanisha pia wafanyazi wa muhimbili hawausiki au ni hospital haija authorised kurekodi na kusambaza?
 
Kwaio nani mwenye access na mgonjwa aliyepo ICU? au ni moja ya ndugu?
Nadhani uko uwezekano wakujuwa video imetoka wapi na hatua kali zichukuliwe, Ila tunaongea sababu ya Pro J mtu anajulikana ila kitendo hichi ni kibaya kwa mtu yoyote, haya mambo tunayaona yanatokea hata katika makundi ya social media hata ya kifamily.

Nimewahi kuona mjukuu kaenda kumuona bibi hosp wakati mgonjwa yuko katika hali mbaya anapiga picha ana post kwenye whatup nadhani nia yake apate kitu cha kupost au kutaka kuonesha kuwa bibi ni mgonjwa niko Hosp anaona alichofanya ni sawa tu.

Mimi sio Bibi yangu nikachukizwa na kuona picha ile nikaifuta kabisa siku 2 bibi kafariki na haya ndio siku hizi yanatokea. Misiba ya wakristo zamani watu wakiaga maiti wanapiga picha japo siku hizi wana control kidogo lakini kwa ndugu zetu hivi dini inataka hivyo au ni mapenzi tu kwanini isiwe family tu nyumbani wakaaga ila public funga sanduku wapite watoe heshima kwani hatuwezi kumstiri maiti mbele ya public.

Ila kama dini inasema taratibu ndio hizo basi waendelee tu no comments.
 
Back
Top Bottom