Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

Ni vizuri hopitali zikawa na mifumo ya CCTV. Itakuwa ajabu sana kama ICU haina CCTV cameras as anaweza tokea kichaa mmoja ama mfanyakazi au si mfanyakazi akamzimia mgonjwa mashine kwa sababu zake tu.
 
Heads need to roll, period! Kama wahusika ni wafanyakazi wa spitali.

Na sijui utaratibu ni upi, ila simu na other electronic recording devices lazima zipigwe marufuku kwenye sehemu kama hizo.

Totally unacceptable.

Huyu Mange amelelewa na wana jf wenyewe na wengine wanao jiita wana harakati hasa wanachadema na amekuwa akishangiliwa sana na amedharirisha watu wengi sana sana na wengi walikuwa wanamuona shujaa na wakitaka aendelee kudhalilisha watu....

Maumivu ya dhambi yana tabia ya kumrudi anayeishangilia... sasa waliokuwa wanashangilia dhambi zile zile zimegusa watu wanao wauma sasa wameanza kutafuta mchawi....

Huyu Mange anasifiwa kuwa shuja sasa ndio matokeo yake......
 
Ingekuwa huko kwenu kuna mtu angejiuzulu kwa kashfa hii.

Lakini sishangai hata wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa hayati Magufuli kuna mtu alipiga picha na walinzi wako pale pale kisha akaisambaza mitandaoni!

Na watu walikuwa wanashangilia sasa leo tuna hamaki nini?
 
Inasikitisha sana watu wanakosa utu kiasi hicho.

Na hilo lidada lililopost aisee lilaaniwe.

Na kuna mizombie inachekelea tu,inalipia na hela kuona mambo ya kipumbavu.

Hawa wote ilitakiwa wazolewe na kutupwa ndani jumlajumla(kwa sauti ya Mwanri)
 
Huyu Mange amelelewa na wana jf wenyewe na wengine wanao jiita wana harakati hasa wanachadema na amekuwa akishangiliwa sana na amedharirisha watu wengi sana sana na wengi walikuwa wanamuona shujaa na wakitaka aendelee kudhalilisha watu....

Maumivu ya dhambi yana tabia ya kumrudi anayeishangilia... sasa waliokuwa wanashangilia dhambi zile zile zimegusa watu wanao wauma sasa wameanza kutafuta mchawi....

Huyu Mange anasifiwa kuwa shuja sasa ndio matokeo yake......
Ana ushujaa gani huyo takataka?
 
Uchafu hajaanza kufanya leo sema unachagua uchafu wa kuusema...kwakuwa hili limekugusa basi unaona huu ni uchafu ...Mange ni mjinga na ni mjinga toka zamani hajaanza leo kwa hiyo pengine umechelewa kwakuwa alikuwa hajakugusa
Sawa, hajaanza leo na alikuwa anashangiliwa na walioguswa leo, Kwahiyo aachwe aendelee na tabia hiyo?
 
Wanaingia watu wengi kuona wagonjwa hauwezi just ni yupi.

Ni chumba chenye wagonjwa wengi.na wote uwa wanapumulia mipira. Mungu atuepushe
Je ICU haina uangalizi kwamba watu wanajiingilia tu na kufanya yao au Madaktari ndio wanafanya haya ?
 
Inasikitisha sana watu wanakosa utu kiasi hicho.
Na hilo lidada lililopost aisee lilaaniwe.
Na kuna mizombie inachekelea tu,inalipia na hela kuona mambo ya kipumbavu.
Hawa wote ilitakiwa wazolewe na kutupwa ndani jumlajumla(kwa sauti ya Mwanri)
Yaaan waliolipia app watupwe sero? Kwa kosa gani?[emoji848][emoji848]
 
Sawa, hajaanza leo na alikuwa anashangiliwa na walioguswa leo, Kwahiyo aachwe aendelee na tabia hiyo?

Kwanini aliachwa na akaonekana anafanya jambo la maana na anao uhuru wa kufanya hivyo? Kwanini tusiendelee kumuacha afanye atakavyo maana ndio uhuru ?
 
Back
Top Bottom