Hospitali za Gaza zafurika majeruhi, Wapalestina huko Gaza waiomba Dunia iingilie kati

Hospitali za Gaza zafurika majeruhi, Wapalestina huko Gaza waiomba Dunia iingilie kati

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hakuna haja ya salamu.

Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo.

Wapalestina wengi wameonekana wakisikitishwa na vita hivyo kutokana na maafa ambayo yanaendelea. na kuomba jamiii za kimataifa kuingilia katika kuleta hali ya amani nchini humo. Huku Waisrael wakiendeleza kuchafua hali ya hewa katika maeneo mengi wakilipiza mauaji yaliyofanyika kwa watu wao. wamesikika wakisema kuwa kama wapalestina wametaka kiti. wao wanawapata hadi kitanda wakalale.

taarifa kamili kutoka al jazeera.
 
War is HELL!
Screenshot_2023-10-10-16-21-15.jpg
 
Hakuna haja ya salamu.

hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo...
Hivi kuna haja gani ya kufurahia vifo vya wanadamu wenzako?Kama vile wewe hutakufa na hujui kifo kipi!Hamas na Israel wote ni makatili tu.
 
Hivi kuna haja gani ya kufurahia vifo vya wanadamu wenzako?Kama vile wewe hutakufa na hujui kifo kipi!Hamas na Israel wote ni makatili tu.
halafu ukifurahia au ukihuzunika haibadilishi kitu. katika maisha usijitie wazimu usio wako. utapata kichaa bure. so wewe hapo unalia au unafanya nini?
 
Waarabu waungane waiondoe hiyo izrael
Unavamia tamasha la muziki na kuua watu ovyo halafu nani akusaidie zaidi ya kufanya ugaidi?

Mpalestina hana akili, alitakiwa avamie kambi za jeshi la israel na siyo raia.

Huyo atakayemsaidia atakuwa ni miongoni mwa kikundi cha kigaidi cha HAMAS.

Walibipu, acha wapigiwe mpaka wajute
 
Unavamia tamasha la muziki na kuua watu ovyo halafu nani akusaidie zaidi ya kufanya ugaidi?
Mpalestina hana akili, alitakiwa avamie kambi za jeshi la israel na siyo raia.
Huyo atakayemsaidia atakuwa ni miongoni mwa kikundi cha kigaidi cha HAMAS.
Walibipu, acha wapigiwe mpaka wajute
Umefurahi mwenyeweee....
 
Back
Top Bottom