Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #41
Nincompoop.Psychopath.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nincompoop.Psychopath.
what goes around comes around ukiishi kwa upanga lazima ufe kwa upangaUmefurahi mwenyeweee....
Pray for peace in Gaza.
Kwanza unachanganya vitu viwili tofauti, dini (Uislamu) na kabila (Uarabu). Ingawaje asili mia kubwa ya Waarabu ni Waislamu, lakini kuna Waarabu wakristu. Hivyo ndivyo ilivyo kwa wazungu, asilimia kubwa yao ni wakristu lakini pia kuna wazungu waislamu. Kama umependezewa na Uislamu fuata moyo unapokupeleka, achana na Ukrito ingia Uislamu. Achana na taarifa kuota au kuitwa au kuvutana kwa Mtume na Yesu. Hakuna kitu kama hicho. Dini yoyote ile hata zile za asilia kazi yake ni kufundisha jinsi ya kuishi na binadamu wenzako kwa amani, usalama, na mapenzi. Epuka tabia zinazohatarisha amani, usalama, na mapenzi. Habari ya mbinguni achana nayo. Mbinguni ni hapa hapa duniani na malipo ya dhambi ni hapa hapa duniani. Acha vitendawili vya starehe za mbinguni, ambazo kwa maelezo inaonekana huko (mbinguni) kama kupo kutakuwa VERY BORING.Hakuna haja ya salamu.
Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo.
Wapalestina wengi wameonekana wakisikitishwa na vita hivyo kutokana na maafa ambayo yanaendelea. na kuomba jamiii za kimataifa kuingilia katika kuleta hali ya amani nchini humo. Huku Waisrael wakiendeleza kuchafua hali ya hewa katika maeneo mengi wakilipiza mauaji yaliyofanyika kwa watu wao. wamesikika wakisema kuwa kama wapalestina wametaka kiti. wao wanawapata hadi kitanda wakalale.
taarifa kamili kutoka al jazeera.
![]()
Israel-Hamas updates: US set to deploy ‘additional assets’ to Middle East
These are the updates from Tuesday October 10, 2023www.aljazeera.com
bado hujasema na utasema tu [emoji23]Hivi kuna haja gani ya kufurahia vifo vya wanadamu wenzako?Kama vile wewe hutakufa na hujui kifo kipi!Hamas na Israel wote ni makatili tu.
sheria ya vita inatak mpigne jeshi kw jeshi sio rai kw raia , yaan lenga sehem rasmi kwa shughuli za kijeshi au lenga walio kwenye sare za kijeshiKwanini wavamie kambi za jeshi kwamba wanajeshi ndiyo walipaswa kuuawa tu bila sababu ya msingi? Kwanini usiseme wavamie viongozi wa serikali?
nlikuambiq majuz ulikuwa unakenua tu ulihis israel anaiogopa duniaDunia imeipa mgongo palestina na kumuacha Israeli aendelee kufanya mauaji ya Kimbari.
tulikuambia uache kushabikia ugaidi wa hamas utawaponza wapalestina , ww ulikuwa unashangilia ugaidi wa wapalestina sijui kichwan kwako ulihis waisrael hawatajibuNilisema hili swala Jumapili iliyopitaJe, Netanyau anataka kufanya Mauaji ya halaiki Ukanda wa Gaza, Palestina!?
Kitu ambacho watu wengi humu JF hawakifahamu vizuri ni kuhusu ukanda wa Gaza, moja ya maeneo ambayo ni kitovu cha mzozo kati ya Palestina na Israeli. Kwanza kabisa, ukanda wa Gaza una idadi ya watu wapatao zaidi ya 2.2 milioni na ukubwa wa kilomita za mraba 365 (sawa na wilaya ya Bagamoyo...www.jamiiforums.com
kvpSasa waisrael wamekufa 900 wapalestina 700! Halafu hapa naona watu mnasema mpalestina kapigwa au Mimi ndo sijui hesabu..?
Mi nafikiri huku tunapata taarifa zikiwa zimeshachakachuliwa!
ww ndo mnafiki dunia nzima ilikemea kuhus walichofanya hamas ila hamas hawakujali , ss unaingiliaje wkt mmoja hasikiliz ushaur , solution ni wapalestina kuwakataa hamas ili israel ajue kuwa wanachofany hamas hakina uhusiano na wqpalestina ila kukaa kwao kimya ndo itawaumiza zaidDunia ni ya kinafiki sana. Hata katika mauji ya Kimbari, Rwanda walikaa kimya hivyo hivyo mpaka maiti zilipotapaa kila kona na kuanza kuokotwa katika mito ya nchi jirani ndipo wakajifanya wanaingilia kati.
nan mkolon wakat wote walipelekwa hapo kama ilivyo liberia na sierra leon ila wapalestina ni wabaguz hwwakutaka kuinda nchi moja na wayaudi ila wenzao waafrika wa liberia na sierra leon waliwapokea wageni kwa amani kbs bila kinyongoUkoloni hauna nafasi katika Dunia ya sasa.
yaan akili zako banaUrusi ndie kawatumia hamas kuipiga Israel ili aweze kuitandika vizuri Ukraine kwa maana nguvu zote zinaelekezwa Israel kulko Ukraine, michezo ya warusi hii
Hawa wamebahatika kufika kwenye mpaka wa Egypt na Gaza.Washawekwa mtu kati, kinachofuata ni kujipigia tu! (WAR IS HELL!)View attachment 2777856
Changa la macho hilo, ili wapalestina waendelee kupigwa tu.Waisrael wanataka Gaza iwe majivu yaani waisambaratishe Hamas for good, halafu wahamie Lebanon wakatoe kibano kwa Hizbollah halafu ndio watulie.Sasa waisrael wamekufa 900 wapalestina 700! Halafu hapa naona watu mnasema mpalestina kapigwa au Mimi ndo sijui hesabu..?
Mi nafikiri huku tunapata taarifa zikiwa zimeshachakachuliwa!
Intelligence ya Israel ilifeli na gharama zake wamezipata, muhimu ni wapatanishi waingilie Kati kutuliza haliHadi huruma,nyie si ndio juzi mlikua mnafurahia ambushi ya hamas na kusema intelijensia ya israel ya mchongo,mbona mnaanza kulialia mapema,watumeni tena vidume vyenu hamas wakafanye ambushi.
HIi vita iendelee tu, unaambiwa Usrael wanashushiwa kichapo huko hsijapata kutokea.Sasa waisrael wamekufa 900 wapalestina 700! Halafu hapa naona watu mnasema mpalestina kapigwa au Mimi ndo sijui hesabu..?
Mi nafikiri huku tunapata taarifa zikiwa zimeshachakachuliwa!
Israeli ni wachovu tu hao na walala hoi. Hawana chochote cha kuogopwaWaisraeli ni taifa la kuogopa sana,hata mtoa roho anaitwa Israeli ebu angalia hapo,taifa lipo kwenye viatu vyote vya dini