Hospitali za Gaza zafurika majeruhi, Wapalestina huko Gaza waiomba Dunia iingilie kati

Hospitali za Gaza zafurika majeruhi, Wapalestina huko Gaza waiomba Dunia iingilie kati

HIi vita iendelee tu, unaambiwa Usrael wanashushiwa kichapo huko hsijapata kutokea.
Wameingia gaza kichwa kichwa wamechinjwa wote, Halafu Gaza wala hawana wasiwadi, maisha yanaendelea kama kawaida. Zile videos za eti Gaza inashambuliwa kumbe ni uongo mtupu
Na wameshauliwa askari zaidi ya 1,500 😀😀😀

c96d38b9cdbe4fc3a7c59dfa7e4a3422.jpg



Gaza bado haijafutika kwenye ramani ya wajinga wafilisti!
 
Kwa kweli hali ilivyo Jumuia ya Kimataifa inabidi iingilie kati kuishawishi Israel isitishe mashambulizi ya anga kwa muda ili kuruhusu raia wasio na hatia mf.akina mama, watoto na wazee kutoka Gaza!
Otherwise ni maafa ya kutisha!
Kwani Hammas kipindi wanashambulia wananchi waisrael waliruhusu wanawake na watoto kutoka mbona mnatafuta huruma kwa wapalestina ila kwa Israel hamuoni huo ugaidi anaofanyiwa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kwa usalama wa Israel inabidi mpaka usogee ndani ya Gaza kwa km 100, kusiwepo na nkazi wala shuguli yoyote ndani ya hizo km 100
 
Hakuna haja ya salamu.

Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo.

Wapalestina wengi wameonekana wakisikitishwa na vita hivyo kutokana na maafa ambayo yanaendelea. na kuomba jamiii za kimataifa kuingilia katika kuleta hali ya amani nchini humo. Huku Waisrael wakiendeleza kuchafua hali ya hewa katika maeneo mengi wakilipiza mauaji yaliyofanyika kwa watu wao. wamesikika wakisema kuwa kama wapalestina wametaka kiti. wao wanawapata hadi kitanda wakalale.

taarifa kamili kutoka al jazeera.
ACha wavune walichokitafuta wenyewe. Huwezi kuua watu wasio na hatia afu ukaachwa tu. Yani watapigwa nila kujali. Idadi ya walio uliwa israel itazidishwa mara 20 sasa waamue wenyewe wakimbie au wageuzwe majivu..
 
Kwa kweli hali ilivyo Jumuia ya Kimataifa inabidi iingilie kati kuishawishi Israel isitishe mashambulizi ya anga kwa muda ili kuruhusu raia wasio na hatia mf.akina mama, watoto na wazee kutoka Gaza!
Otherwise ni maafa ya kutisha!
Walipo ipiga israel na kuteka raia wasio na hatia huo umoja wa mataifa mliuomba uingilie kati..? Unafiki ni mbaya saaba
 
Hakuna haja ya salamu.

Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza na kuleta hali ya Umauti Mauti kwa wakazi wa eneo hilo.

Wapalestina wengi wameonekana wakisikitishwa na vita hivyo kutokana na maafa ambayo yanaendelea. na kuomba jamiii za kimataifa kuingilia katika kuleta hali ya amani nchini humo. Huku Waisrael wakiendeleza kuchafua hali ya hewa katika maeneo mengi wakilipiza mauaji yaliyofanyika kwa watu wao. wamesikika wakisema kuwa kama wapalestina wametaka kiti. wao wanawapata hadi kitanda wakalale.

taarifa kamili kutoka al jazeera.
Kwani wanataka Amani au wanataka Uhuru? Maana ninachofahamu hakuna amani pasipo na Uhuru, si kwa mtumwa wala bwana wake, wote hawawezi kuwa na amani kamwe!
 
Changa la macho hilo, ili wapalestina waendelee kupigwa tu.Waisrael wanataka Gaza iwe majivu tu halafu wahamie Lebanon wakatoe kibano kwa Hizbollah halafu ndio watulie.
Yaani kibano kitolewe kwa hao washenzi. Yule jamaa yao wa hizbollah aliwapongeza wapalestina akijua israel watalala usingz sahv huko alipo anatama ajinyeee
 
Yaani kibano kitolewe kwa hao washenzi. Yule jamaa yao wa hizbollah aliwapongeza wapalestina akijua israel watalala usingz sahv huko alipo anatama ajinyeee
Kwani 1947 kurudi nyuma, nchi ya Israel ilikuwa wapi hapa duniani?
 
Kwa usalama wa Israel inabidi mpaka usogee ndani ya Gaza kwa km 100, kusiwepo na nkazi wala shuguli yoyote ndani ya hizo km 100
Huko kumega ardhi ya Wapalestina kutaongeza zaidi matatizo na kusukuma vijana wa kipalestina kujiunga na makundi ya Hamas na Islamic Jihad kupambana na Israel.

Suluhisho la kudumu ni kuundwa kwa taifa huru la Wapalestina lenye mipaka yake halali isiyomegwa kila kukicha.
 
Kwani 1947 kurudi nyuma, nchi ya Israel ilikuwa wapi hapa duniani?
Ka google maswala ya kufundishana historia ya dunia sio mahala pake hapa. Wote hao pale walirudishwa soo ubinafsi wa wapalestina kutaka wakae wenyewe ndio unawafikisha hapo.
 
Waarabu waungane waiondoe hiyo izrael
Hawataiweza Israel hata wakiungana. Israel inaungwa mkono karibu na mataifa yote makubwa ya West. Kwa vita, Gaza Strip inaweza kuwa jangwa bila hata kiumbe hai mmoja. Solution ni kuendelea na political dialogue, with UN oversight. Sijui Hamas walifikiria au walitarajia nini baada ya kufanya unprecedented mashambulizi makubwa kiasi hicho kwa Waisrael. I feel sorry for both countries. Ila Hamas watakiona sasa. Sadly, vita haibagui yupi ni yupi. Sadly, kutakuwa na mass killing of innocent people. Hamas wamelianzisha ila hamakuwa na strategy ya kulimaliza. Sasa watamalizwa.
 
Waarabu waungane waiondoe hiyo izrael
wakiungana ndio watapigika wachake na israel kama kawaida yake itateka tena maeneo mengia. Wasithubutu kuungana kuipiga israeli. We umezaliwa lini kiasi cha kutokujua kwamba waarabu waliwahi kuungana na wakapokea kipigo cha mbwa mwizi? Labda marekani ikae pembeni ndio wataweza kuishinda ikiwa itaishiwa silaha
 
Ka google maswala ya kufundishana historia ya dunia sio mahala pake hapa. Wote hao pale walirudishwa soo ubinafsi wa wapalestina kutaka wakae wenyewe ndio unawafikisha hapo.
Unaonaje ukagoogle wewe halafu ulete majibu?
 
Back
Top Bottom