Hospitali zote zaagizwa zihudumie wagonjwa ndani ya masaa matatu, je hospitali zetu zimejengewa uwezo huu?

Facilities na uhalisia wa kimazingira unaruhusu?

Wana kazi ya kutoa maagizo huku mambo yenyewe yapo ovyo ovyo. Akimaliza hapo anapanda zake V8 yake yenye kiyoyozi anaenda kulala.
Staff kwanza hakuna, vitendea kazi ndiyo usiseme ni shida tupu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…