Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikosea code unatoka kama mzee siunajua tena 😂😂
[emoji16][emoji16][emoji16] sasa boss unakoenda siko, unakosoa hadi uumbaji wa MunguMiguu utafikiri sio yako. Kama imechomekwa tu hivi. Halafu miguu mpaka kwenye kiuno ni mirefu sana haina uwiano na kipande cha juu. Basi na hizo nywele ni kama wale si riziki. Kihivyo sivutiwi kabisa. Sorry
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe ushauri namna ya kupigilia ili wale watu wanase wenyewe kwenye nyavu.Huyu mwamba amefeli mzee wangu siwezi mpasupport kabisa kabolonga vitu hapo code inasoma error [emoji23]
Nakuaminia mzee wa suti kareeeUkikosea code unatoka kama mzee siunajua tena [emoji23][emoji23]
I see. Please slow down. Mambo mengine ni majaaliwa ya muumba wajameni.Miguu utafikiri sio yako. Kama imechomekwa tu hivi. Halafu miguu mpaka kwenye kiuno ni mirefu sana haina uwiano na kipande cha juu. Basi na hizo nywele ni kama wale si riziki. Kihivyo sivutiwi kabisa. Sorry
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...tuko tofauti...mie kitambaa nadhani mwisho kuvaa ni miaka ya 70 mwanzoni mkuu...Sasa hivi ni jeans tu au kadet kwenye minuso [emoji2960][emoji41]Aisee mara ya mwisho kuvaa jinzi ilikua 2008 i guess. baada ya hapo ni suruali za vitambaa tu na kadet.
Sorry mkuuI see. Please slow down. Mambo mengine ni majaaliwa ya muumba wajameni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine ukivaa shati la mikono mirefu usikunje
ukitaka kukunja,tafuta tshirt au shati za mikono mifupi tu
ukivaa shati la mikono mirefu kunjua acha kuleta usela halafu
hiyo saa si ya hayo mavazi uliyovaa,usirudie kuvaa hiyo saa
ukiwa unavaa suruali ya kitambaa au upo ki oficial kama hivyo
tafuta saa nyingine,isiwe hiyo. halafu mwisho kabisa Hiyo Body spray
usipende jipulizia hiyo spray ina makelele mingi sana tafuta spray iliyotulia[emoji23][emoji23][emoji23]
Aje tu pm nimyooshe ataelewa tu vzr anaweza wadatisha.Mpe ushauri namna ya kupigilia ili wale watu wanase wenyewe kwenye nyavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda mwingine sio uumbaji ni vile tu uvaavyo na jinsi unavyoamua kujiweka. Mwanaume uwe mkakavu hata kama sio sana. Fanya mazoezi yapo mengi kukuweka fit mkuu. Sio unaregeza miguu kama mrenda[emoji16][emoji16][emoji16] sasa boss unakoenda siko, unakosoa hadi uumbaji wa Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 acha na hilo bango mzee wangu jiandae mchana unamaswali mengi sana ya kujibu hapo baadaye.