TEAM VIBAJAJI
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,858
- 2,298
Ipo maeneo gani hii hotel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajifunza kuwa mkali msamehe bureMkuu mbona kama unadhani mimi ndio mtoa mada?? Halafu ni tetesi sio habari rasmi ujue
apunguze mhemko inasaidiaAnajifunza kuwa mkali msamehe bure
HahahaaTutaongeza room ili tutoshee
Uzushi na upuuzi mtupu hotel hiyo haiwezi bomolewa kwani IPO away 123m away kutoka hifadhi ya reli. Wadanganye wa dar. Labda use me wakiibomoa basi reli itabidi ipite ndani ya ziwa kitu ambacho ni impossible. Tafuta mada nyingine kilaza wewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi bado anaumwaKuna Mwenzio Alipewa Offer Ya Flat Screen Ya Samsung Saiv Hawezi Kubana Miguu. Beware!!
yaani tukifika mwezi wa 12,_milembe patakuwa pamejaaReli na hotel bora nini? Bora Reli!
Reli na Hotel bora nini? Bora Hotel!
Kati ya Mvua na Jua bora nini? Bora Mvua!
Kati ya Mvua na Jua bora nini? Bora Jua!
Hahah pole huo ni upotoshwaji wa kiwango cha bashite watu wa fanye investigation analysis ndo wakurupuke kuja humuMkuu mbona kama unadhani mimi ndio mtoa mada?? Halafu ni tetesi sio habari rasmi ujue
Ok poa mkuuHahah pole huo ni upotoshwaji wa kiwango cha bashite watu wa fanye investigation analysis ndo wakurupuke kuja humu
Mrejesho sasa inakaribia saa 4 tunaondoka kabla hujatimiza ahadiNitapita hapo muda si mrefu kisha nitawapa jibu sahihi. Yawezekana bei ninayoijua zikawa zimepanda zaidi. kuweni subira niwaletee bei ambazo ni current
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Mwenzio Alipewa Offer Ya Flat Screen Ya Samsung Saiv Hawezi Kubana Miguu. Beware!!
Oh! Yale makaburi ya wajindi wa Shia ithnashery?Ila kile kiwanda nao wamesogea mno relini, pia na yale makaburi ya wahindi nayo pia wanasema yatapitiwa
Nikupe offer mkuu twende?hahahahah, sasa misosi shost si mpaka niagize! misosi ya pale bei iko juu utadhani unanunua sijui kitu gani tu! Pale huwa ninaenda kama "nina offer" sio pesa yangu. hahahahahahahahahahah
Hko ndio hom sweet hmHahahaa
Hko ndio hom sweet hm