Hoteli ya Sugu iwafumbue macho vijana kuhusu nguvu ya uwekezaji

Hoteli ya Sugu iwafumbue macho vijana kuhusu nguvu ya uwekezaji

Ni vigumu sana kujua the story behind any successful person,kwa kuwa mambo mengi maovu yanafanywa kwa siri kubwa.Hata hivyo nikuhakikishie kwamba there is a story behind Sugus' success,only that people do not know it.Nimefanyia utafiti most of the success stories of the richest families on the Planet including the Rothschild family, the Bruce family, the Kennedys, the Medici family, the House of Hanover, the House of Hapsburg, the Krupp family, the House of Plantagenet, the Rockefeller family, the House of Romanov, the Sinclair family, the Warburg family and the House of Windsor,
they are dirty stories behind their success.Kwa hiyo usijifariji kwamba all is well with Sugu.There is "most likely" a dirty side to his success,you just do not know it.
wacha kuwaza jana
 
Si walitaka kumbomolea kwa kile kinachodaiwa kujenga kwenye chanzo Cha maji wivu wa kisiasa Magu kamtuma Mkuu wa mkoa na kampiga stop hoteli hiyo kubomolewa.Shame on them.Impala pale Arusha imejengwa wapi!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni vigumu sana kujua the story behind any successful person,kwa kuwa mambo mengi maovu yanafanywa kwa siri kubwa.Hata hivyo nikuhakikishie kwamba there is a story behind Sugus' success,only that people do not know it.Nimefanyia utafiti most of the success stories of the richest families on the Planet including the Rothschild family, the Bruce family, the Kennedys, the Medici family, the House of Hanover, the House of Hapsburg, the Krupp family, the House of Plantagenet, the Rockefeller family, the House of Romanov, the Sinclair family, the Warburg family and the House of Windsor,
they are dirty stories behind their success.Kwa hiyo usijifariji kwamba all is well with Sugu.There is "most likely" a dirty side to his success,you just do not know it.
Another dirty CCM nincompoop trying to justify the riches of thieving Party leaders to be genuine while trying to portray all other rich people's riches of nonmembers are questionable obtained fraudulently according to findings of your research. Only a stupid CCM member can travel the world snooping on highly regarded rich people instead of findind out how our own Government leaders got filthy rich as soon as we voted them into office. What's it to us the families researched are rich and how they got there? It would have made sense, had you sense, if you found out how our leaders from humble beginnings got rich to start dispensing money to cronies wherever they go. The Krupp family in Germany, for example, is well known and respected industrialist family involved in many industries but you may not find a worker of that name in all the Krupp companies because they started humbly, grew and died out. Wajinga wa CCM wanataka wao tu ndo watajirike, Wapinzani akina Sugu na wenzake hata kidogo walichonacho wanyang'anywe!
 
Habarini za boxing day wananchi,

Sisi tulio uzeeni tunafarijika sana kuona kijana Kama Sugu ambaye ameishi maisha ya taadhari zote za kiuchumi akifanikiwa kuwekeza kwenye hoteli huku akiwa hana skendo yoyote ya wizi wa fedha za umma.

Tumezoea kwa miaka mingi miradi ya vijana wa chama Cha Mapinduzi ikihusianishwa na biashara haramu na utakatishaji fedha ingawa hakuna ambaye amewahi kuhojiwa kuhusu tuhuma ambazo uelekezwa kwao.

Kwa mfumo wa siasa za Tanzania kila tajiri lazima awe ndani ya chama Tawala la sivyo atafilisiwa hata Kama hakuna ushahidi wa jinai ndani ya utajiri wake.

Nichukue fursa hii kuwaomba vijana wenzangu tujitahidi sana kutafuta na kuwekeza kwa kesho yenu na vizazi vijavyo. Sugu amejaribu akifuata nyayo za Mwenyekiti wake wa chama, Profesa Jay yupo vyema, Msigwa pia yupo vyema.

Vijana wengine fanyeni kazi, wekezeni bila kulazimishwa kujiunga na chama Tawala. Utajiri ni moja ya nguzo kubwa yakufanikisha maamuzi kwenye jamii

Tunataka wapinzani wenye nguvu ya kiuchumi na si wapinzani wenye mawazo yakufadhiliwa.
Eti wanasema Sugu ametepeta mideni bank inamsumbua 309mil atalipaje
 
Makonda ana miradi gani halali? Huyo Hapi zaidi ya per diem na mshahara wa kila mwezi ana vyanzo gani vingine vya mapato?
Hotel yake iko Mwanza ....sijui kama anaweza kuelezea alipataje
 
Ni vigumu sana kujua the story behind any successful person,kwa kuwa mambo mengi maovu yanafanywa kwa siri kubwa.Hata hivyo nikuhakikishie kwamba there is a story behind Sugus' success,only that people do not know it.Nimefanyia utafiti most of the success stories of the richest families on the Planet including the Rothschild family, the Bruce family, the Kennedys, the Medici family, the House of Hanover, the House of Hapsburg, the Krupp family, the House of Plantagenet, the Rockefeller family, the House of Romanov, the Sinclair family, the Warburg family and the House of Windsor,
they are dirty stories behind their success.Kwa hiyo usijifariji kwamba all is well with Sugu.There is "most likely" a dirty side to his success,you just do not know it.
The good story is...you too have your "dark" side
 
Hiyo Hotel aliijenga kabla ya kuwa mbunge au baada ya kukusanya masurufu yakutosha ya bungeni?
Tuwaambie ukweli vijana kujiajiri sio rahisi kama wengi wanavtofikjria.
 
Mkuu hueleweki,

Mwanzoni umesema wewe ni mzee,( sisi tulio uzeeni), baadae umesema unawaomba vijana wenzako mjitahidi!!!!!!!!!. Ila hoja yako iko vizuri.
Anabadilika kama kinyonga kutegemea na mazingira. Mpaka anasahau yeye mzee au kijana.
 
Habarini za boxing day wananchi,

Sisi tulio uzeeni tunafarijika sana kuona kijana Kama Sugu ambaye ameishi maisha ya taadhari zote za kiuchumi akifanikiwa kuwekeza kwenye hoteli huku akiwa hana skendo yoyote ya wizi wa fedha za umma.

Tumezoea kwa miaka mingi miradi ya vijana wa chama Cha Mapinduzi ikihusianishwa na biashara haramu na utakatishaji fedha ingawa hakuna ambaye amewahi kuhojiwa kuhusu tuhuma ambazo uelekezwa kwao.

Kwa mfumo wa siasa za Tanzania kila tajiri lazima awe ndani ya chama Tawala la sivyo atafilisiwa hata Kama hakuna ushahidi wa jinai ndani ya utajiri wake.

Nichukue fursa hii kuwaomba vijana wenzangu tujitahidi sana kutafuta na kuwekeza kwa kesho yenu na vizazi vijavyo. Sugu amejaribu akifuata nyayo za Mwenyekiti wake wa chama, Profesa Jay yupo vyema, Msigwa pia yupo vyema.

Vijana wengine fanyeni kazi, wekezeni bila kulazimishwa kujiunga na chama Tawala. Utajiri ni moja ya nguzo kubwa yakufanikisha maamuzi kwenye jamii

Tunataka wapinzani wenye nguvu ya kiuchumi na si wapinzani wenye mawazo yakufadhiliwa.
bia chama cha mapinduzi hakuna cha kundika.
 
Hotel yake iko Mwanza ....sijui kama anaweza kuelezea alipataje

Katika form za Maadili alitakiwa ajieleze hiyo hotel alijenga kwa vyanzo vipi via Maputo alipokuwa Kuanzia DC Mpaka RC!!
 
Another dirty CCM nincompoop trying to justify the riches of thieving Party leaders to be genuine while trying to portray all other rich people's riches of nonmembers are questionable obtained fraudulently according to findings of your research. Only a stupid CCM member can travel the world snooping on highly regarded rich people instead of findind out how our own Government leaders got filthy rich as soon as we voted them into office. What's it to us the families researched are rich and how they got there? It would have made sense, had you sense, if you found out how our leaders from humble beginnings got rich to start dispensing money to cronies wherever they go. The Krupp family in Germany, for example, is well known and respected industrialist family involved in many industries but you may not find a worker of that name in all the Krupp companies because they started humbly, grew and died out. Wajinga wa CCM wanataka wao tu ndo watajirike, Wapinzani akina Sugu na wenzake hata kidogo walichonacho wanyang'anywe!
Sikuwa namfikiria Sugu kama mpinzani,mine was an assessment on general terms.Naomba unielewe.
 
Swala sio watu kama hawapendi utajiri, au utafutaji au kuwa na uwekezaji mkubwa bali ni mifumo ilivyokaa haimjengi kijana huyo kuanza kuwekeza kwa faida punde amemaliza chuo au pia kijana ambae hajaenda shule anaetaka kufanya biashara yote ni kuanzia elimu inayomuandaa, mifumo ya kisiasa, inategemana na serikali iliyopo madarakani... Hayo mambo niliyokutajia ni vikwazo
 
Back
Top Bottom