Wewe una mradi gani halali au umekaa kuaangalia wenzako wamefanya nini....Makonda ana miradi gani halali? Huyo Hapi zaidi ya per diem na mshahara wa kila mwezi ana vyanzo gani vingine vya mapato?
Nakuelewa mkuu upo sahihiMshahara wa mbunge take home ni zaidi ya million 11, na anakopesheka kwenye taasisi za fedha.
Mbunge yeyote ubunge wake ukiisha akawa na maisha mabovu ni kichaa huyo.
Mzindakaya ana ranji kabisa na kachukuwa sana mikopo kwa bond ya BOT na mikopo isiyokuwa na riba.
Hilo hata mimi nimeliona, yani mkuu wa mkoa wakati ana adress swala la sugu alikua anaongea kwa confidence zote kumbe alikua tayari kashapewa maelekezo na mkubwa wakeTatizo hadi Rais aseme wewe fanya biashara, asiposema vyombo yake vinakuvunjia, aibu sana hii!
Kwahiyo mkuu ukishajua hilo, una kazi yani umekua ukifuatilia watu wamezipataje mali zao hata kama iwe halali au sio halili wewe pambana na njia halali ujipatie chako, ukiwa busy sana na maisha ya watu utayasahau maisha yakoNi vigumu sana kujua the story behind any successful person,kwa kuwa mambo mengi maovu yanafanywa kwa siri kubwa.Hata hivyo nikuhakikishie kwamba there is a story behind Sugus' success,only that people do not know it.Nimefanyia utafiti most of the success stories of the richest families on the Planet including the Rothschild family, the Bruce family, the Kennedys, the Medici family, the House of Hanover, the House of Hapsburg, the Krupp family, the House of Plantagenet, the Rockefeller family, the House of Romanov, the Sinclair family, the Warburg family and the House of Windsor,
they are dirty stories behind their success.Kwa hiyo usijifariji kwamba all is well with Sugu.There is "most likely" a dirty side to his success,you just do not know it.
Pambana na life mzee acha mambo yako ya kujifanya muandishi wa stori za watuNi vigumu sana kujua the story behind any successful person,kwa kuwa mambo mengi maovu yanafanywa kwa siri kubwa.Hata hivyo nikuhakikishie kwamba there is a story behind Sugus' success,only that people do not know it.Nimefanyia utafiti most of the success stories of the richest families on the Planet including the Rothschild family, the Bruce family, the Kennedys, the Medici family, the House of Hanover, the House of Hapsburg, the Krupp family, the House of Plantagenet, the Rockefeller family, the House of Romanov, the Sinclair family, the Warburg family and the House of Windsor,
they are dirty stories behind their success.Kwa hiyo usijifariji kwamba all is well with Sugu.There is "most likely" a dirty side to his success,you just do not know it.
Kusema Msigwa amebobea kwenye kilimo cha nyanya ni kumdharau?
Wewe una utindio wa ubongo nahisi
Makonda anazo za kijambazi alizokuwa akiwanyanganya wafanyabiasharaMakonda ana miradi gani halali? Huyo Hapi zaidi ya per diem na mshahara wa kila mwezi ana vyanzo gani vingine vya mapato?
kilichosababisha uonekane umemdharau ni hii kusema "msigwa yuko vyema kweye kilimo cha nyanya tu" hilo neno tu ndilo limebeba maana nzima ya sentensi yakoKusema Msigwa amebobea kwenye kilimo cha nyanya ni kumdharau?
Wewe una utindio wa ubongo nahisi
Umesomeka mkuu,ina maana ulikuwa unapiga zaid ya mil 100.Hongera saana,vipi sasa mbona watu wengi wanasema kilimo ni kama kubahatisha ama pata potea? Wewe ulikuwa unatumia mbinu gani..Kwani kina shida gani?
Maana ni kama umeandika kimasimango flani hivi!
Kwa taarifa yako mimi binafsi nimewahi kufanya kilimo cha nyanya na mboga mboga, kipato nilichokuwa napata kwa msimu mmoja wa mavuno ni sawa na kununua coaster kama mbili hivi mpya na chenji ya bajaji kama tatu inabaki!
Ni vile tu kwa sasa, plan imebadilika ila nitaridi huko kwenye kilimo!
Refer hata Sumry huko analima maharage na mahindi!
Nimesema clearly kwamba watu wakubwa matajiri sana niliofanyia utafiti wana dirty stories.Tena very dirty,na sitabadili msimamo wangu,kwa kuwa ndio ukweli.Huwaoni akina Bill Gates,Anthony Fauci wanayofanya?These are clear examples.Wewe si unawaona wauza unga,watoa makafara mpaka watoto na baba zao,ni very clear,msikimbie ukweli.Si unaona yanayotokea Syria,Yemen nk.Yote hayo ni kutafuta utajiri.Utajiri is synonymous to evil,ndio maana hata neno la Mungu maeneo mengi limeongelea negatively about riches,mpaka kusema wazi kwamba ni vigumu tajiri kuurithi ufalme wa Mungu!Huo ndio ukweli,whether you like it or not.Pambana na life mzee acha mambo yako ya kujifanya muandishi wa stori za watu
Sawa mkuu ila tuyaache hayo, cha msingi ni kutafuta pesa kwa jashoNimesema clearly kwamba watu wakubwa matajiri sana niliofanyia utafiti wana dirty stories.Tena very dirty,na sitabadili msimamo wangu,kwa kuwa ndio ukweli.Huwaoni akina Bill Gates,Anthony Fauci wanayofanya?These are clear examples.Wewe si unawaona wauza unga,watoa makafara mpaka watoto na baba zao,ni very clear,msikimbie ukweli.Si unaona yanayotokea Syria,Yemen nk.Yote hayo ni kutafuta utajiri.Utajiri is synonymous to evil,ndio maana hata neno la Mungu maeneo mengi limeongelea negatively about riches,mpaka kusema wazi kwamba ni vigumu tajiri kuurithi ufalme wa Mungu.Huo ndio ukweli,whether you like it or not.
Hili ndilo jambo la maana na la msingi.Sawa mkuu ila tuyaache hayo, cha msingi ni kutafuta pesa kwa jasho
Niko kwenye mada,wala sijatoka nje.Najaribu tu kuonyesha kwamba sio kila king'aacho ni thahabu.Hata hivyo najua kwamba jambo hili ni taboo kwa watu wengi wa leo,hawataki kabisa liongelewe kwa kuwa wapo huko.Pambana na life mzee acha mambo yako ya kujifanya muandishi wa stori za watu
Sawa mkuu ila tuyaache hayo, cha msingi ni kutafuta pesa kwa jasho
Umesomeka mkuu,ina maana ulikuwa unapiga zaid ya mil 100.Hongera saana,vipi sasa mbona watu wengi wanasema kilimo ni kama kubahatisha ama pata potea? Wewe ulikuwa unatumia mbinu gani..
Sugu Ni KIJANA?Habarini za boxing day wananchi,
Sisi tulio uzeeni tunafarijika sana kuona kijana Kama Sugu ambaye ameishi maisha ya taadhari zote za kiuchumi akifanikiwa kuwekeza kwenye hoteli huku akiwa hana skendo yoyote ya wizi wa fedha za umma.
Tumezoea kwa miaka mingi miradi ya vijana wa chama Cha Mapinduzi ikihusianishwa na biashara haramu na utakatishaji fedha ingawa hakuna ambaye amewahi kuhojiwa kuhusu tuhuma ambazo uelekezwa kwao.
Kwa mfumo wa siasa za Tanzania kila tajiri lazima awe ndani ya chama Tawala la sivyo atafilisiwa hata Kama hakuna ushahidi wa jinai ndani ya utajiri wake.
Nichukue fursa hii kuwaomba vijana wenzangu tujitahidi sana kutafuta na kuwekeza kwa kesho yenu na vizazi vijavyo. Sugu amejaribu akifuata nyayo za Mwenyekiti wake wa chama, Profesa Jay yupo vyema, Msigwa pia yupo vyema.
Vijana wengine fanyeni kazi, wekezeni bila kulazimishwa kujiunga na chama Tawala. Utajiri ni moja ya nguzo kubwa yakufanikisha maamuzi kwenye jamii
Tunataka wapinzani wenye nguvu ya kiuchumi na si wapinzani wenye mawazo yakufadhiliwa.
100% mkuu70% ya hao watu wapo ndani ya chama cha mapinduzi
Wewe una mradi gani halali au umekaa kuaangalia wenzako wamefanya nini....
Makonda ana bonge ya pharmacy...