Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Mungu amueke mahara anapo sitahiri......Nakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
Wajinga kama wewe mpo wengiMWAMBA ALIKUWA MSHAMBA SANA.USHAMBA +UKATILI× UMWAMBA×UBABE=Ndyo ilisababisha kifo chake.maadui wake walipenya hapo.magu alizungukwa na kundi la washamba ambao walishndwa kustudy dunia inataka nn kwa wakati huu.
Daaa! " Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"Nakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
Wewe ulikuwa mfanyakazi hewaMWAMBA ALIKUWA MSHAMBA SANA.USHAMBA +UKATILI× UMWAMBA×UBABE=Ndyo ilisababisha kifo chake.maadui wake walipenya hapo.magu alizungukwa na kundi la washamba ambao walishndwa kustudy dunia inataka nn kwa wakati huu.
Kama unaweza kulia kwa vitu vya kijinga basi machozi yako umeyatumia vibaya. Ukute hata ndugu zako wa karibu wakifariki haupati hata majonzi, ila umeamua kumlilia mtu aliyekataliwa na MunguNakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
Alitakiwa akae na watu fulani hivi wenye mbinu za kijasusi level ya urusi, wampe mbinu za kumkimbiza mwizi kimya kimya bila kelele.MWAMBA ALIKUWA MSHAMBA SANA.USHAMBA +UKATILI× UMWAMBA×UBABE=Ndyo ilisababisha kifo chake.maadui wake walipenya hapo.magu alizungukwa na kundi la washamba ambao walishndwa kustudy dunia inataka nn kwa wakati huu.
Haujamuelewa.Wajinga kama wewe mpo wengi
Dikteta alikuwa mwoga sana ndiyo maana kila mahali alizungukwa na CDF, IGP na DG -TISS. Magufuli alikuwa mwoga na hajiamini, nashangaa watu wanamuita MWAMBA!! Mwamba gani anakufa kwa corona?Magufuli alikuwa mwamba. Africa inahitaji viongozi kama Magufuli.
Mawazo kama haya ni muhimu yawepo ili kubalance mambo.MWAMBA ALIKUWA MSHAMBA SANA.USHAMBA +UKATILI× UMWAMBA×UBABE=Ndyo ilisababisha kifo chake.maadui wake walipenya hapo.magu alizungukwa na kundi la washamba ambao walishndwa kustudy dunia inataka nn kwa wakati huu.
Laana ya Magufuli inaendelea kuwatafuna walioshangilia kifo chake, wanagombana tu na kutukanana kwenye mitandao ya kijamii
Utamkumbuka wewe huyo mhutu muuajiNakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
Dah nomaNakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
Magonjwa hayana baunsaDikteta alikuwa mwoga sana ndiyo maana kila mahali alizungukwa na CDF, IGP na DG -TISS. Magufuli alikuwa mwoga na hajiamini, nashangaa watu wanamuita MWAMBA!! Mwamba gani anakufa kwa corona?