I'll forever grieve for this man.Nakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
Watanzania wengi ni zero brain na wenye ugonjwa wa akili..... hizo fiction ndo zinakutoa machozi?Nakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
Hii sentensi yako mjomba sijaielewa unaweza fafanua..na pia tujue Dunia ilikuwa inataka nini kwa.muda ule..wengine tunajifunza mjomba usishangaeMWAMBA ALIKUWA MSHAMBA SANA.USHAMBA +UKATILI× UMWAMBA×UBABE=Ndyo ilisababisha kifo chake.maadui wake walipenya hapo.magu alizungukwa na kundi la washamba ambao walishndwa kustudy dunia inataka nn kwa wakati huu.
Nimepita tuu, naomba weka na tu picha jomba..!!Dikteta alikuwa mwoga sana ndiyo maana kila mahali alizungukwa na CDF, IGP na DG -TISS. Magufuli alikuwa mwoga na hajiamini, nashangaa watu wanamuita MWAMBA!! Mwamba gani anakufa kwa corona?
We bana weeee...hayo yako, JITAFAKARI..Mnapangwa sana. Jumlisha hiko kinanda ndio ukaingia kingi. Hiko kinanda hata awekewe aliyembaka mwanao wa miaka mitatu akiongea. Utamuonea huruma.
Laana maana yake nini kwaniWe bwege kweli, unajua hata maana ya laana wewe. Mfuateni huyo mfu wenu muus
Yeye Magufuli alijifanya baunsa na akawa anapanga nani aishi na nani auawe. Akawa anapanga nani awe tajiri na nani awe maskini. Na akina Kabudi wakamuita munguMagonjwa hayana baunsa
Mwamba was for real 🙏🙏🙏 !Nakuombea Kwa Mungu wetu wa mbinguni akulaze mahala pema peponi kiongozi wetu. Kwa hakika pengo lako halitasahaulika kamwe miongoni mwetu watanzania. Tulikupenda sana lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu aliamua kukuchukua .Endelea kupumzika kwa amani Kiongozi wetu mpendwa.
You are intellectually dishonest, unpatriotic, Hypocrite , you are the idiot without any common sense.Watanzania wengi ni zero brain na wenye ugonjwa wa akili..... hizo fiction ndo zinakutoa machozi?
Idiot ni huyo unayemlilia aliyeogopa chaguzi.You are intellectually dishonest, unpatriotic, Hypocrite , you are the idiot without any common sense.
Uchaguzi gan?.Idiot ni huyo unayemlilia aliyeogopa chaguzi.
We hujui au unajitoa akili?Uchaguzi gan?.
Wewe ambaye umestudy namna dunia inavyotaka umemzidi nini?MWAMBA ALIKUWA MSHAMBA SANA.USHAMBA +UKATILI× UMWAMBA×UBABE=Ndyo ilisababisha kifo chake.maadui wake walipenya hapo.magu alizungukwa na kundi la washamba ambao walishndwa kustudy dunia inataka nn kwa wakati huu.