Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sindano inakukolea tulia hivyo hivyo ili isikatikie maungoniYour reasoning is nothing but stupid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sindano inakukolea tulia hivyo hivyo ili isikatikie maungoniYour reasoning is nothing but stupid
MATAGA kazi bado haujapata??Lissu sasa arudi aje apewe kakazi kama akivyoahidiwa na hayati
Unaongea huku machozi yanakutoka maaana kwa roho mbaya zenu za kayafa hamkutaka maelewano na upinzani.Ndio maana umeambiwa ujiandae kisaikolojia
Mama ana akili sana,amegundua kelele za upinzani ni njaa tu,akiwapa nafasi 2025 itakua kitonga tu
Hao wote waramba miguu hawapati kazi maana mama kashawastukia kuwa ni wauza majunguMATAGA kazi bado haujapata??
Apewe hata ya ulinzi wa kaburiHao wote waramba miguu hawapati kazi maana mama kashawastukia kuwa ni wauza majungu
Mama Mgwira na Dr slaa walipewa nafasi wakiwa upinzani wakati ule mbona wametumikia vizuri tu taifa kwa nafasi zao na wanauwezo mzuri tu wa uongozi. Wengine wamepewa nafasi baada ya kuuunga mkono lakini yote ni kwamba upinzani nako wako wazuri. Mama go on tujenge taifa bora kwa weledi kwa manufaa mapana.Awapangie waliopo, au hawa waliopo ameshawamaliza wamebaki hao walioko nje?
Hayafai kabisa hawa matagaApewe hata ya ulinzi wa kaburi
Nataka awe demu wanguHayafai kabisa hawa mataga
Huyu jamaa kajiongeza, toka mwendazake akwendezake amekuwa kiakili na kifikra.Kwani na wewe ni mpinzani?
Poa ila jiandae maana ana wivu sana huyoNataka awe demu wangu
Niliweka list hapa ambao wanafaa kuteuliwa toka upinzanzaniHuu ushauri Mama nilimpa hapahapa Jukwaani naona huwa anapitia JF yaani.
Wewe mke wa mtu unataka kunitongoza 😀Unapenda kutongozwa
Kwani Anna Mghwila na Kitila Mkumbo, James Mbatia walipoteuliwa walikuwa vyama gani?Mama ni makini haijawahi tokea
Ni mwehu tu anaweza mpa TL cheo.Uwaziri wa sheria utamfaa zaidi na wafungwa wengi sana nchini wataachiwa huru kwani nyingi ni kesi fake au ni kesi ndogo ndogo ambazo faini au kifungo cha nje zitafaa ili kupunguza msongamano wa kutisha kule lupango.
Ni mwehu tu anaweza mpa TL cheo.
Ushaliwa ww ngoja nikupe maneno matamu...Wewe mke wa mtu hataukinitongoza siwezi kukugonga
Paschal alipoona hakumbukwi kupitia threads zake, akaamua kujianika wazi kuwa yenye ni wa kukaya na kuchukua usajili ndani ya chama twawala, haitoshi akaja kututangazia hapa JF, na kisha kutangaza nia. Hii ilikuwa na maana kuwa akumbukwe kwenye teuzi fulani fulani.Angalao sasa hata Paschali Mayala atafanikisha ile Ndoto yake ya Teuzi siku zimekuwa nyingi Bhagoosha!
Ushaliwa ww ngoja nikupe maneno matamu...
nataka nikuoe uwe mke wa ndoa