Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Serikali ya mseto inanukia huko mbeleni kwa katiba kubadilishwa ili kuruhusu baadhi ya mambo kama kuunda serikali ya mseto na mengineyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una asili ya ushoga au usagajiSafi kabisa kama akina Mghwira, Silinde ,Katambi, Kitila Mkumbo etc.
NB. Mama usimwingize kabisa mzee wa miga mtetea ushoga Lisu
Mama anawapa MATAGA wakati mgumu sana sanaKuna mwanga unaonekana
Leo mkanywe sumu mjiue tu maana mataga hapa Tanzania hamna nafasi tena.Sijui wanachishangilia Hawa bavicha ni nini, maana hata magu aliwateua kitila mkumbo, Anna mghwira
Shida ni MATAGA wanahangaika sana sa aItakuwa jambo la maana sana ikiwa itapatikana kabla ya 2025 na itokane na rasimu ya Tume ya Warioba. Kinyume cha hapo ni usanii tu.
Pamoja na kuvamia hoja, bado hujajibu swali ambalo hukuulizwa wewe.Ww ndio wale mlipokuwa mnasikia maandamano ya watu kudai haki zao mlikuwa mnasema watu wanataka kuvunja amani.
Mzalendo aliyekuwa anaitisha serikali isifumue mikataba ya madini,kumbe anatumikia tumbo,ndo maana anakula goodtime kwa waliomtuma.Naunga mkono hoja.Lissu Ni mwanasheria nguli, pia lissu ni mzalendo namba moja wa taifa letu.Huyu hatampotosha rais avunje katiba..
Nani amesema anakaa kwa Amsterdam!Sasa atakaa kwa amstwrdam mpka lini
Mkuu, kwa akili ya mama kila kitu kinawezekana. Mama inaonekana anataka kutuvusha kwa vitendo.@Konda msafi (Khumbu) Binafsi naunga mkono wazo lako ila ingefaa kwanza KATIBA Mpya ihusike. .
Mama nakuona kweli umedhamiria kuliunganisha taifa na kuleta maendeleo ya kweli. Nimesikiliza hotuba yako kwa wazee wa Dar es salaam nimeipenda mno, nakushauri kama itakupendeza muite Tundu Lissu na umteue awe mwanasheria mkuu wa serikali. Pia mimi niteue niwe CAG.
Uzuri wa John ni kuwa anaweza kuishi kulingana na mazingira anayokutana nayo.Bwashee umekuwa Sigara kali
Kinaweza kuwa ni kipaumbele chako mkuu, kwa sababu zako mbalimbali, kubadili katiba ya nchi siyo jambo la kukurupuka na kulifanya sababu ya kuridhisha kundi fulani la watu, Katiba ya nchi ndiyo usalama wa nchi. Inahitaji utulivu na planning, it is not kama chama fulani waliposema wataleta katiba ndani ya siku 100, ilikuwa porojo za kisiasa, huwezi kuleta katiba mpya kwa siku 100.Ni kweli muda ni mdogo lakini kipaumbele ni Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi na kuwaondoa hao Covid-19 Bungeni asimuogope huyo mwendawazimu Ndugai.
Sorry computer yangu sasa hivi ina matatizo fulani hivi, inakwenda slow sana minapotumia Mozilla. Umeandika wakati nikiwa bado naedit post ile, ila nilichotaka kusema ni kuwa viongozi wa upinzani wakubali kuwa wanapoteuliwa serikalini basi wajue wanakwenda kutekeleza ahadi ambazo walioko madarakani waliaambia wananchi wakati wa uchaguzi. Ukiwa upinzani na ukateuliwa haina maana kuwa unakuja kutekeleza sera za upinzani. Kwa bahati mbaya upinzani wetu una kitu kinaitwa "msaliti". Mtu akishateuliwa kuingia serikalini anaonekana kama ni msaliti wa upinzani, jambo linalowafanya wateule waamua kuhama vyama.
Shida ni MATAGA wanahangaika sana sa a
Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.
Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.
Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania
OkayUsikariri mkuu. Sasa bila kumsensitize atajuaje?
Serikali ya mseto au uteuzi kwa wapinzani Kama ilivyokuwa kwa Anna mghwira na kitila mkumbo?Serikali ya mseto inanukia huko mbeleni kwa katiba kubadilishwa ili kuruhusu baadhi ya mambo kama kuunda serikali ya mseto na mengineyo.