Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kuvamia hoja, bado hujajibu swali ambalo hukuulizwa wewe.
Swali ni upo tayari kuitetea katiba mpya endapo itavunjwa?
Kama ndugai kaweza kuwa spika, ashindwe lissu kuwa mwanasheriaAmpe kichaa uanasheria ,lisu hafai kuwa kiongozi wa umma
Wewe K.. Magufuli aliku.f.ir.a nini kabla hajafa!?.. kila post unamuwaza yeye. Punguza jazba kuna maisha baada ya JPM. Samehe na kusahau ma.rinda yatarudi tu. hayupo tena duniani.View attachment 1776564
Kwaheri Magufuli Shujaa wa Mazezeta
John anapiga huku na kuleUzuri wa John ni kuwa anaweza kuishi kulingana na mazingira anayokutana nayo.
Acha kelele wewe mwambie mbelgiji aje tumpangie kazi aache kukaa kwa wanaumeWewe ndiyo ulikuwa unashangila unaguzi wa baba yako .
Sasa mama kaamua kuufyekelea mbali huo ubaguzi.
Kwi iiiiiiiiishaaaaaaaaaaa
Mkuu Mataga baadhi yao wanabadilika na upepo unakovumia,wote ni njaa tu zinawasumbua.Bwashee umekuwa Sigara kali
Basi ngoja tuanze na mbowe tumpe wilaya ya haiAwapangie waliopo, au hawa waliopo ameshawamaliza wamebaki hao walioko nje?
Kwani jiwe ndio aliagiza? Ushahidi unao?Kama ccm mlikuwa na kazi ya kumpa, kipi kilimfanya jiwe aagize ashambuliwe kutaka kumuua?
Hayupo.. Mwambieni arudi apewa kaziHayati angemuua.
I'm smelling a rat! Huyu anataka kutumia mbinu ile ile aliyotumia shetani mtu Magufuli lakini kwa njia tofauti. Shetani Magufuli aliwashawishi wapinzani kuhama vyama vyao kwa kuwapa vyeo serikalini na huyu Mama atafanya hivyo hivyo bila kuwalazimisha kuhama vyama vyao na kwa rushwa hii mtu mwenyewe atanyong'onyea na kuunga juhudi ili kuimarisha nafasi yake ya uteuzi.Uwaziri wa sheria utamfaa zaidi na wafungwa wengi sana nchini wataachiwa huru kwani nyingi ni kesi fake au ni kesi ndogo ndogo ambazo faini au kifungo cha nje zitafaa ili kupunguza msongamano wa kutisha kule lupango.
Jibu utayari wako wa kuitetea hiyo katiba mpya, hilo ndilo swali.... njia utakazotumia kutetea hazina maana kama hujui utayari upo au la.Njia za kutetea katiba ni zaidi ya moja, ww unataka ipi?
Sasa kule anakaa kwa naniNani amesema anakaa kwa Amsterdam!
Niliona mitandaoni ameanza kazi wiki hii katika kituo cha redio, na mtu wa kwanza kumuhoji alikuwa mwenyekiti wa CDMLissu sasa arudi aje apewe kakazi kama akivyoahidiwa na hayati
Na J J Mnyika!Safi sana ,asimuache Zitto.
Kwa mume wakoSasa kule anakaa kwa nani
Hata hivyo kwani hajui kama no means sheria.Kama ndugai kaweza kuwa spika, ashindwe lissu kuwa mwanasheria
Kama lengo ni kuijenga Tanzania sio shida. Lengo letu liwe moja kuipeleka nchi yetu mbele. Hivyo vyama vipo tu na vitazidi kujaI'm smelling a rat! Huyu anataka kutumia mbinu ile ile aliyotumia shetani mtu Magufuli lakini kwa njia tofauti. Shetani Magufuli aliwashawishi wapinzani kuhama vyama vyao kwa kuwapa vyeo serikalini na huyu Mama atafanya hivyo hivyo bila kuwalazimisha kuhama vyama vyao na kwa rushwa hii mtu mwenyewe atanyong'onyea na kuunga juhudi ili kuimarisha nafasi yake ya uteuzi.
Huu ndiyo ukweli ingawa mchungu!