Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Leo najitolea kukuwekea sungusungu akulinde ili usinywe sumu maana uamuzi wa rais utakuwa umekuumiza vibaya.

Mlizoea kuwabagua watu kwa itikadi zao na kama siyo mwana ccm au mramba miguu mnamuona kama mnyama.
Mbona Mghwira ni mkuu wa nkoa wa Kilimanjaro? Sema wewe shida yako ni hadi Lisu ateuliwe ndio utaona hatubagui.

Mwambie arudi sasa aje tumteue
 
Kama lengo ni kuijenga Tanzania sio shida. Lengo letu liwe moja kuipeleka nchi yetu mbele. Hivyo vyama vipo tu na vitazidi kuja
Ingependeza kama tungekuwa tayari tuna katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.

Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.

Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania

Safi sana.
Tunamtaka rais kama huyu.
Kwenye vyama vya upinzani kuna watanzania kadhaa wenye sifa ya kutumikia taifa lao.
 
Wewe K.. Magufuli aliku.f.ir.a nini kabla hajafa!?.. kila post unamuwaza yeye. Punguza jazba kuna maisha baada ya JPM. Samehe na kusahau ma.rinda yatarudi tu. hayupo tena duniani.
Pumbaf sana wewe unavutiwa nini kutukana matusi ya nguoni?
 
Na mimi nadhani hivyo hivyo kwamba akishawateua wale vinara ili waingie Serikalini basi WATABWETEKA na kasahau umuhimu wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi. Je, hao wapinzani anaokusudia kuwateua wa Chadema watakuwemo au itakuwa ni wa ACT, TLP, CUF etc na kuwaacha wa Chadema solemba ili kuonyesha hao ni wakorofi hawastahili kuwepo Serikalini? Ngoja tusubiri kuona hii picha ambayo mama amejiandaa kuicheza.
I'm smelling a rat! Huyu anataka kutumia mbinu ile ile aliyotumia shetani mtu Magufuli lakini kwa njia tofauti. Shetani Magufuli aliwashawishi wapinzani kuhama vyama vyao kwa kuwapa vyeo serikalini na huyu Mama atafanya hivyo hivyo bila kuwalazimisha kuhama vyama vyao na kwa rushwa hii mtu mwenyewe atanyong'onyea na kuunga juhudi ili kuimarisha nafasi yake ya uteuzi.

Huu ndiyo ukweli ingawa mchungu!
 
Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.

Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.

Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania

Awamu ya pili ya kuua upinzani. Ila huyu anataka kuua kisomi zaidi
 
Back
Top Bottom