Wamekiripoti umetoa.matusi nadhani watakufungialissu arudi apate kuwa mwanasheria mkuu wa serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekiripoti umetoa.matusi nadhani watakufungialissu arudi apate kuwa mwanasheria mkuu wa serikali
CAG Asad arudishweMama nakuona kweli umedhamiria kuliunganisha taifa na kuleta maendeleo ya kweli. Nimesikiliza hotuba yako kwa wazee wa Dar es salaam nimeipenda mno, nakushauri kama itakupendeza muite Tundu Lissu na umteue awe mwanasheria mkuu wa serikali. Pia mimi niteue niwe CAG.
Mkuu, kwa hapa Tanzania na kwa mazingira ya nchi yetu kwa sasa; je, hao minority ni akina nani ama ni makundi gani ndani ya jamii yetu ya kitanzania?
Unapenda sana ushoga? Angalia utaharibiwa NDUNYE..11Safi kabisa kama akina Mghwira, Silinde ,Katambi, Kitila Mkumbo etc.
NB. Mama usimwingize kabisa mzee wa miga mtetea ushoga Lisu
nani karipoti apate kerebu moja matataWamekiripoti umetoa.matusi nadhani watakufungia
Huyo MATAGA hana pa kujishikiza! Ni mnafki mkubwa aliyekua anatetea upumbavu wa kusema maendeleo haya chama..Bwashee umekuwa Sigara kali
Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.
Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.
Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania
Aisee, Wachina na wakorea ama na wale wa haiba hiyo je ni majority hao!? Na dadisi mkuu🙂..Wazungu.
..Waarabu.
..Wahindi.
Safari lazima mhame nchiSasa hapa unapinga au unakubali?
Maana tukisema tumuunge mkono mama yetu kwa nia yake ya kutaka kuwapa kazi wapinzani unakuja na vijimaneno vya hovyo
Asante sana mama hii ndiyo aina ya viongozi tulikuwa tunawasubiri.
Tanzania tulisha zoeshwa huchaguliwi hadi ujikombe, urambe viatu vya mteuzi uukane ukabila wako ndio upate teuzi.
Sipati picha leo hii wale mataga, chawa, sukuma gang watalala wapi masikini.
Ni ajabu sana kuona watu wanvyoweza kuchotwa akili kirahisi rahisi.Bado matakwa yetu Watanzania ya kutaka Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi yako pale pale. Hii danganya toto haisitishi matakwa hayo. Zitto ameula Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. 😜😜
Nadhani umesahau huyo Jiwe ndo aliwateuwa wapinzani. Mkuu wa Mkoa wa Kilimajaro, aliteuliwa kutoka ACT Wazalendo bila kuhama chama. Na alimuahidi Tundu Lissu pia kumpa madaraka. So kikubwa mama yetu anaendeleza.Nenda kwenye kaburi la Jiwe then jipige kifuani ukilia ukisema"Kayafa ulitulisha ujinga na upumbavu"
Mtaumia sana kisaikolojia kudadadeeeeekiiiiWewe hapa tupo tz! Na hao sukuma gang tunasubiri waje wawapelekee bavicha moto hiyo 2025 kwenye uchaguzi mkuu ndio warudi kwao.
Kikubwa kwa sasa kina lema wajiandae kula teuzi
Mnapigwa nyinyi mahinterahamweAtawapiga pin nani sasa kina Lisu?
Sisi ccm tumeahidi kuwapa wenzetu wa upinzani teuzi maana njaa inawauma sana
Mbona huulizi uzalendo wa kuteka watu na kubambikizia kesi za uhujumu uchumi?Uzalendo wa kuwatetea Acacia ili waendelee kutuibia madini?, Uzalendo wa kutumiwa na mabeberu?
Mahinterahamwe lazima mtarudishwa kwenuAisee... Mpe pole sana mwambie aje tumpe kazi