Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Aliyemuagiza Sabaya kumchachafya yuko wapi Leo?Sabaya tu kamchachafya ataweza sasa mengine? Alishashuka hadhi huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyemuagiza Sabaya kumchachafya yuko wapi Leo?Sabaya tu kamchachafya ataweza sasa mengine? Alishashuka hadhi huyo
Akili za sukuma gang mnazijua wenyeweCDM wakijipanga vizuri wanachukua nchi 2025..
provided kuna tume huru......
pambanieni sana tume huru....
acheni blah blah mingi
Mr.zero namsikiliza kumuenjoy tu na macho yake ya makengeza kama nyoka wa makengezaInakuhusu nini wewe chawa wa jiwe?
Mbowe simfahamuMboye ndo nani?
Asiye na makengeza leo yupo anahojiwa na malaikaMr.zero namsikiliza kumuenjoy tu na macho yake ya makengeza kama nyoka wa makengeza
Anataka kumuongelea mkeoAnataka kumuongelea Sabaya?
Keshasema hataki kodi za dhuruma obvious hatopenda kura za dhuruma.....so komaeni njia nyeupe....Samia keshasema mambo ya Katiba Mpya (hence Tume huru) yasubiri kwanza...
Bunge hili la Ndugai halina ubavu wala political will ya kuinitiate mambo ya Katiba. Tutaingia kwenye uchaguzi kwa NEC hii hii ya sasa
Ww bwana mdogo chukua pipi hiyo umepewa wacha blah blahAkili za sukuma gang mnazijua wenyewe
Sukuma gang ni kundi hatarishiWw bwana mdogo chukua pipi hiyo umepewa wacha blah blah
Kama MboweANAHUTUBUA TAIFA KAMA NANI?
Anahutubia kama nani..?
Ahsante sana tunasubiri hotuba yake lakini hii kusema ya kutikisa nchi hapana. Nipo na Mbowe kwenye suala la Mkuu wa Wilaya wa Hai. Alichofanyiwa siyo sawa kabisa, pia Mbowe, asisahu kugusia ripoti ya CAG Chadema imetajwa.
Wewe siupo chato unalinda kaburi?Mbowe asitupotee muda watanzania tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya. Arudi Hai akalime nyanya