Nilidhani umemfuata Mwendazake mlivyokuwa marafikiAnataka kumuongelea Sabaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilidhani umemfuata Mwendazake mlivyokuwa marafikiAnataka kumuongelea Sabaya?
Wewe tuliza mshono angalau 40 ipite basiAnahutubia kama nani..?
Aitishe uchaguzi basi.
Ulishona wewe huo mshono.Wewe tuliza mshono angalau 40 ipite basi
Hotuba ya Mbowe itise nchi? Acha kupotosha umma.
Labda aitishe uchaguzi wa sukuma gangUlishona wewe huo mshono.
Nijibu swali.
Aitishe uchaguzi..!
Nasikia leo ni zamu yako ya kusimama na marehemu pale chato?[emoji28][emoji38]Hotuba ya Mbowe itise nchi? Acha kupotosha umma.
Kila siku nakuambia wewe ni bwege.Nasikia leo ni zamu yako ya kusimama na marehemu pale chato?[emoji28][emoji38]
mbona unauliza jibu
Mwanba anaunguruna.
Atamuongelea bimkubwa wakoAnataka kumuongelea Sabaya?
Freeman Aikael mboye ... Freeman Aikael mboye.. Mungu akupe maisha marefu na yenye busara na hekima .amen [emoji375][emoji120]
Vipi?Anataka kuliunganisha taifa la tanzania lililopasuliwa vipande na watu wa hovyo kama wewe na team yako ya sukuma gang.
Kama ya bimkubwa wako wakati anakufyatuaMr.zero namsikiliza kumuenjoy tu na macho yake ya makengeza kama nyoka wa makengeza
Hujalazimishwa kusikiliza wewe mhudumie vizuri mumeo ndiyo wito wakoMbowe asitupotee muda watanzania tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya. Arudi Hai akalime nyanya
Ataongelea jinsi ukivyoachika kwa mumeoViongozi wa kudandia matukio ataongelea ripoti ya CAG na kuwataka waliohusika kwenye madudunwajiuzulu na wachukuliwe hatua.Hiki.ndicho ataongea kesho!!