Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sasa hivi amejitolea kulilinda kaburiNilidhani umemfuata Mwendazake mlivyokuwa marafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi amejitolea kulilinda kaburiNilidhani umemfuata Mwendazake mlivyokuwa marafiki
Mbowe hawezi kuhangaika na dagaaSabaya tu kamchachafya ataweza sasa mengine? Alishashuka hadhi huyo
Hapo tatizo liko wapi?Viongozi wa kudandia matukio ataongelea ripoti ya CAG na kuwataka waliohusika kwenye madudunwajiuzulu na wachukuliwe hatua.Hiki.ndicho ataongea kesho!!
Hahaaaaaa [emoji38][emoji38][emoji38] eti anajifanya hamjui kiongozi wa nchi kwa sasa.mbona unauliza jibu
Mwenye uwezo wa kuanzisha habari ya katiba mpya ni Rais tu, Bunge wasubiri maelekezo tu! Kumbuka Rais akilianzisha Bunge haliwezi kupinga, lakini Bunge likianzisha Rais kama hataki atakwambia Katiba siyo kipaumbele changu! Mambo yote kwa Rais Mama Sami Suluhu Hasani.Samia keshasema mambo ya Katiba Mpya (hence Tume huru) yasubiri kwanza...
Bunge hili la Ndugai halina ubavu wala political will ya kuinitiate mambo ya Katiba. Tutaingia kwenye uchaguzi kwa NEC hii hii ya sasa
Sawa sikukuu Mbowe alikuwa anazimaliza segerea kwa maagizi ya boss wenu muogopa kukosolewa, muogopa kushauriwa.Mboe atikise nchi makubwa. Huko nyuma tuliaminishwa hivyo hivyo lakini kila sikukuu alikuwa analia Segerea tukagundua kumbe ni mwepesi na wafuasi wake ni waoga na wanafki
AminaMungu ibariki CHADEMA. CCM ilaaniwe milele.
Kuvaa suluali tu ndiyo unajiita mwanaume?Tatizo la kahaba mwanaume ndio hilo, kulazimisha wateja.
Ccm inajulikana kuwa ni kichaka cha majambazi ya uchaguziHuyu SSH hajafuta usemi wake: hata mkiwapa upinzani kura CCM ndiyo itaunda serikali
Ahutubie taifa yeye nani zaidi ya uenyekiti wa chamaAnataka kumuongelea Sabaya?
Utakuwa umemsaidia sanaWewe sukuma gang njoo uchukue buku saba ya supu maana mrija umekata
Ubarikiwe sanaMbowe pse uwe smart this time kuna watu wako stand wakivutiwa tu na bus tutajazana humo
Mpaka saa tisa ibada bado zinakuwa hazijaisha ??Kanisani haendi,s afanye saa 10 jion
Jifunze kwanza kuandika vizuriMbowe asitupotee muda watanzania tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya. Arudi Hai akalime nyanya
Anayeweza kuhutubia Taifa ni mmija tu....ni Rais was nchi na Amiri Jeshi Mkuu.
Mbona unaweweseka? tulia na ikiwezekana tumia muda wako kumsikilizaViongozi wa kudandia matukio ataongelea ripoti ya CAG na kuwataka waliohusika kwenye madudunwajiuzulu na wachukuliwe hatua.Hiki.ndicho ataongea kesho!!
Angesubiri kwanza kidogo
Unataka utest?Kuvaa suluali tu ndiyo unajiita mwanaume?
KabisaUtakuwa umemsaidia sana
Mataga bhana! Kwani hujui?!Kwani ni kiongozi wa Kitaifa?