Hotuba ya Freeman Mbowe (CHADEMA) kwa Taifa - Aprili 11, 2021

Hotuba ya Freeman Mbowe (CHADEMA) kwa Taifa - Aprili 11, 2021

Sabaya tu kamchachafya ataweza sasa mengine? Alishashuka hadhi huyo
Mbowe hawezi kuhangaika na dagaa

No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Uongozi_ni_kusikiliza.”%22_.jpg
 
Viongozi wa kudandia matukio ataongelea ripoti ya CAG na kuwataka waliohusika kwenye madudunwajiuzulu na wachukuliwe hatua.Hiki.ndicho ataongea kesho!!
Hapo tatizo liko wapi?
Kama mmekwiba lazima mkamatwe kama mwenzenu Kakoko
 
Samia keshasema mambo ya Katiba Mpya (hence Tume huru) yasubiri kwanza...

Bunge hili la Ndugai halina ubavu wala political will ya kuinitiate mambo ya Katiba. Tutaingia kwenye uchaguzi kwa NEC hii hii ya sasa
Mwenye uwezo wa kuanzisha habari ya katiba mpya ni Rais tu, Bunge wasubiri maelekezo tu! Kumbuka Rais akilianzisha Bunge haliwezi kupinga, lakini Bunge likianzisha Rais kama hataki atakwambia Katiba siyo kipaumbele changu! Mambo yote kwa Rais Mama Sami Suluhu Hasani.
 
Mboe atikise nchi makubwa. Huko nyuma tuliaminishwa hivyo hivyo lakini kila sikukuu alikuwa analia Segerea tukagundua kumbe ni mwepesi na wafuasi wake ni waoga na wanafki
Sawa sikukuu Mbowe alikuwa anazimaliza segerea kwa maagizi ya boss wenu muogopa kukosolewa, muogopa kushauriwa.
Leo hii mh Mbowe anahutubia watanzania, je aliyekuwa anatoa maagizo Mbowe atupwe segerea yuko wapi?
 
Back
Top Bottom